Mikumi safi majaribio timu ya taifa kriketi

TIMU ya Mikumi imepata ushindi wa tatu dhidi ya Ngorongoro katika kriketi, ambapo safari hii imeshinda kwa wiketi mbili kwenye Uwanja wa Dar Gymkhana. Timu hizo za kombani zinaundwa na wachezaji nyota wa kriketi nchini kama maandalizi ya timu ya taifa kwa michuano ya kufuzu Kombe la Dunia zitakazochezwa Dar es Salaam mwishoni mwa mwezi…

Read More

CCM yavuna Sh3.5 bilioni za fomu ubunge, udiwani

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejikusanyia zaidi ya Sh3.5 bilioni kutoka kwa watia nia wa udiwani, wabunge na uwakilishi katika kinyany’anyiro cha kupata fursa za kukiwakilisha kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Leo Alhamisi, Julai 3, 2025 katika ofisi ndogo za CCM jijini Dar es Salaam, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafuzo wa…

Read More

Simba V Azam FC… utamu upo kati

SIMBA imetamba leo itaendeleza Ubaya Ubwela pale ilipoishia wakati itakapokuwa wenyeji wa Dabi ya Mzizima dhidi ya Azam FC, huku Wanalambalamba wakijibu mapigo kwamba safari hii hawakubali unyonge mbele ya Mnyama. Mechi hii namba 167 ilipangwa kupigwa Uwanja wa KMC Complex, kuanzia saa 10:00 jioni, lakini juzi Bodi ya Ligi (TPLB) ilitoa taarifa ya kuuhamisha…

Read More

Karabaka bado Haamini mabao | Mwanaspoti

KIUNGO wa JKT Tanzania, Saleh Karabaka amesema japo msimu huu anataka kufunga mabao mengi ikiwezekana 20, lakini bado haamini kilichomtokea hadi sasa kwani tangu aanze kucheza Ligi Kuu ndiyo mara ya kwanza kufikisha mabao manne. Kucheza Ligi Kuu Bara msimu wake wa kwanza ilikuwa baada ya kujiunga na Simba 2023/24 akitokea JKU ya Zanzibar, hivyo…

Read More

Kobe 116 wa Tanzania waliokamatwa Thailand warudishwa

Dar es Salaam. Zaidi ya watoto mia moja wa kobe, wengi wao wakiwa wamekufa, wamerudishwa Tanzania kutoka Thailand, kama ushahidi katika kesi dhidi ya mtandao wa magendo ya wanyamapori. Hayo yamebainishwa na Shirika la Polisi wa Kimataifa (Interpol) katika taarifa yake iliyotoka leo Ijumaa Januari 24, 2025 nchini Thailand. Kobe hao 116 waligunduliwa wakiwa wamefichwa…

Read More

Tembo amuua mtalii wa Marekani nchini Zambia

Mtalii wa Kimarekani mwenye umri wa miaka 64 aliuawa wiki hii na tembo katika mji wa Livingstone kusini mwa Zambia. Katika taarifa siku ya Alhamisi, kamishna wa polisi wa Mkoa wa Kusini Auxensio Daka alisema kuwa Juliana Tourneau alikumbana na hatima yake Jumatano alasiri katika Daraja la Utamaduni la Maramba huko Livingstone. Daka alisema kuwa…

Read More

Simba yatua tena Mamelodi ikitaka winga

SIMBA haipoi. Baada ya kudaiwa kunasa saini ya mmoja wa mabeki wa Mamelodi Sundowns, mara hii imerejea tena ikipambana kuchomoa mtu ndani ya timu hiyo ambaye katika mashindano ya Kombe la Dunia la Klabu kule Marekani ulimshuhudia akikipiga katika kikosi hicho. Achana na Rushine De Reuck, beki unayeweza kumuona mitaa ya Msimbazi msimu ujao, lakini…

Read More