Mlipuko wa drone watikisa uwanja wa ndege Dubai

Dar es Salaam. Hali ya taharuki imetanda katika jiji la Dubai huko Falme za Kiarabu baada ya tukio la mlipuko mdogo kuripotiwa karibu na barabara ya kurukia na kutua ndege katika Uwanja wa Kimataifa wa Dubai. Tukio hilo limesababisha kusimamishwa kwa muda kwa baadhi ya safari za ndege. Taarifa za awali zinaeleza mlipuko huo umehusishwa…

Read More

Morocco yafuzu Kombe la Dunia, Stars yabakiza mbili

Morocco imekuwa timu ya kwanza ya Taifa barani Afrika kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 5-0 nyumbani dhidi ya Niger jana, Septemba 5, 2025 huku Taifa Stars ikibakiza mechi mbili. Ushindi huo ambao Morocco imeupata katika Uwanja wa Prince Moulay Abdallah jijini Rabat, umeifanya ifikishe pointi 18…

Read More

Dk Mwinyi aahidi akiondoka madarakani hataacha madeni serikalini

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, ametaja kinachompa ujasiri wa kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo ni kutokana na kufungua akaunti maalumu ya kulipa madeni, akisisitiza kuwa iwapo akiondoka madarakani hataacha deni lolote la Serikali. Dk Mwinyi amesema baada ya kuona kuna haja ya kutekeleza miradi kupitia utaratibu wa mikopo, alifungua akaunti maalumu ambayo kila…

Read More

Watatu wafariki dunia kwa kuzama maporomoko ya Kipengele, wamo watoto wawili

Njombe. Watu watatu wakiwamo watoto wawili wamefariki dunia katika maporomoko ya maji ya hifadhi ya Mpanga Kipengele, wilayani Mbarali, mkoani Mbeya. Kamanda wa Polisi mkoani Njombe, Mahamoud Banga, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa limetokea katika hifadhi hiyo iliyopo kata ya Mfumbi. “Hilo tukio nilikuwa silijui, lakini RCO hapa ndiyo ananiambia tukio hilo…

Read More

Uwanja wa Mpaka kufungwa kupisha maandalizi AFCON 2027

SERIKALI imetangaza kuufunga Uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia mwezi huu ili kupisha awamu ya mwisho ya ukarabati mkubwa, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027. Akizungumza katika mahojiano na gazeti la The Citizen, Msemaji Mkuu wa Serikali ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,…

Read More