Mkuu wa Msaada wa UN anakaribisha maendeleo kuelekea utapeli wa miezi mitatu-maswala ya ulimwengu

“Karibu maendeleo kutoka Misri, Saudi Arabia, UAE na Amerika kuelekea haraka inahitajika kwa haraka miezi 3 ya kibinadamu huko Sudani,” Bwana Fletcher aliandika kwenye vyombo vya habari vya kijamii. “Tunasimama tayari kutoa,” akaongeza. “Ufikiaji salama, usio na dhamana ni muhimu.” Taarifa ya pamoja iliyotolewa na nchi hizo nne inakuja wakati wa Sudan Mgogoro wa Spiraling…

Read More

Upelelezi kesi ya ‘Dk Manguruwe’ uko hivi

Dar es Salaam. Upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40), maarufu Dk Manguruwe, upo katika hatua za mwisho kukamilika. Wakili wa Serikali, Winiwa Kassala, ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo, Jumata-tu Septemba 29, 2025, wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili ya kutajwa. Mkondya na…

Read More

WANANCHI ZAIDI YA 13,000 WANUFAIKA NA SAMIA ARDHI KLINIKI NCHINI

Na Munir Shemweta, WANMM MTWARA Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Leonard Akwilapoamesema jumla ya wananchi 13,550 wamejitokeza kupata huduma mbalimbali za sekta ya ardhi kupitia Samia Ardhi Kliniki iliyofanyika katika mikoa yote 26 nchini. Dkt. Akwilapo amesema hayo wakati akifunga rasmi Samia Ardhi Kliniki katika viwanja vya Mashujaa mkoani Mtwara tarehe 7…

Read More

UMBALI MREFU SABABU YA WANAFUNZI KUTOFANYA MTIHANI

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Biharamulo, Innocent Mkandara. ………. IMEELEZWA kuwa umbali mrefu wa kufika shuleni pamoja na wazazi kuhama makazi yao ya awali pasipo kutoa taarifa rasmi za wanafunzi wanaosoma shule za msingi wilayani Biharamulo mkoani Kagera ni chanzo cha kuporomoka kwa idadi ya watahiniwa wa darasa la nne. Hayo yamesemwa na mkurugenzi mtendaji…

Read More

Hesabu za Ismail Mgunda Mashujaa

MSHAMBULIAJI wa Mashujaa, Ismail Mgunda, amesema matarajio yake makubwa msimu huu ni kuhakikisha anaingia katika orodha ya wachezaji watakaokuwa wanatajwa kwa mabao mengi ndani ya Ligi Kuu Bara. Msimu uliyopita kabla ya kwenda kujiunga na AS Viya ya DR Congo, mshambuliaji huyo alifunga mabao mawili, kitu ambacho anakitamani katika Ligi Kuu inayoendelea kufanya vitu vikubwa….

Read More

 Wanafunzi 292 washindwa kuripoti shule kwa hofu ya wanyama

Simanjiro. Umbali mrefu wa makazi ya wananchi na uwepo wa wanyama wakali katika maeneo hayo vimetajwa kusababisha wanafunzi 292 kushindwa kuripoti kidato cha kwanza mwaka wa masomo 2024/25 katika Shule ya Sekondari ya Emboreet, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara. Kutokana na changamoto hiyo, Mkuu wa shule hiyo, Aziza Msengesi, leo Agosti 23, 2025 ameiomba Serikali…

Read More