Ofisa Nida ashinda kesi ya kufukuzwa kazi

Dar es Salaam. Mahakama Kuu, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imempa ushindi wa aliyekuwa Ofisa wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Njiti Manyumba dhidi ya mwajiri wake baada ya mabishano makali ya kisheria. Uamuzi huo umetolewa Februari 27, 2026 na Jaji Elizabeth Mkwizu wakati akitoa uamuzi kuhusiana na maombi ya Manyumba kuongezewa muda…

Read More

UAE Yasema Haitakaa Kimya Ikiwa Iran Itaendelea Kushambulia

Global Publishers March 1, 2026 0 Comments Waziri wa Nchi anayeshughulikia Ushirikiano wa Kimataifa, Reem Al-Hashimy. Falme za Kiarabu (UAE) zimesema hazitakaa kimya endapo Iran itaendelea kurusha makombora na droni dhidi ya nchi hiyo, alisema Waziri wa Nchi anayeshughulikia Ushirikiano wa Kimataifa, Reem Al-Hashimy, katika mahojiano na CNN. Akizungumza na Becky Anderson wa CNN, Al-Hashimy…

Read More

Mstaafu anapotamani kurudisha kadi yake ya ustaafu!

Pamoja na miaka 66 aliyo nayo, mstaafu wetu anamiliki anachoita kitambulisho kimoja tu kinachomtambulisha kuwa yeye ni mstaafu wa shirika lililokuwa kubwa enzi zake la ‘nanihii’, alichopata siku alipostaafu kwa hiari yake miaka 15 iliyopita! Mstaafu wetu pia ana tarakimu za kadi ya Nida, sio kadi yenyewe, aliyoiomba miaka sita iliyopita, lakini akakata tamaa na…

Read More

Nepal inaonyesha mabadiliko yanayotokana na vijana, na wito wa hatua za ulimwengu-maswala ya ulimwengu

Aliandaa changamoto na mafanikio ya hivi karibuni ya Nepal kama sehemu ya wito mpana wa kuimarisha hatua za kimataifa. Bwana Thapa alifunguliwa kwa kubaini harakati za kisiasa zinazoongozwa na vijana mapema mwezi huu-“maandamano ya Gen-Z”-ambayo yalidai utawala wa uwazi, fursa sawa katika jamii ya Nepalese na mwisho wa ufisadi. “Matarajio yao ni ya chini ya…

Read More

Elfadhil arusha taulo Tanzania Prisons

BAADA ya kuitumikia Tanzania Prisons kwa miaka 16, aliyekuwa nahodha wa timu hiyo Jumanne Elfadhil ametangaza kupumzika akiahidi kuisaidia timu hiyo kwa mawazo atakapohitajika, huku akitoa neno juu ya matokeo ya mechi mbili kwa Wajelajela hao. Elfadhil amekuwa katika kikosi hicho tangu alipoanza kuitumikia mwaka 2009 alipojiunga nayo, kwa sasa amesema hatarajii kurejea uwanjani tena…

Read More

SERIKALI YA AUSTRIA KUFADHILI MIRADI YA UMEME TANZANIA

  …………………. 📌 Ni inayozalisha umeme kutokana na Jua; Takataka 📌 Ufadhili huo ni kupitia Benki ya UniCredit ya Austria 📌 Serikali ya Tanzania yaahidi ushirikiano Serikali ya Austria kupitia Benki ya UniCredit  imeahidi kuipatia fedha Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kiasi cha Euro Milioni 20 sawa na takribani Shilingi bilioni 60 kwa…

Read More

Wadau wataka mabadiliko ya sheria wanaojaribu kujiua

Dodoma. Wakati wataalamu wa afya ya akili na wanasheria wakishauri kufanyika marekebisho ya sheria ili wanaojaribu kujiua wapewa tiba  saikolojia, badala ya kukabiliwa na mashtaka, baadhi ya waliofikwa na kadhia hiyo wameeleza wanayopitia. Kwa mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu mtu yeyote anayejaribu kujiua ana hatia ya kosa. Akizungumza Septemba 10, 2025 wakati wa…

Read More