Uchumi duni watajwa chanzo ongezeko magonjwa sugu kwa jamii

Mbeya. Imebainika kuwa ukosefu wa kipato kwa baadhi ya wananchi ni chanzo cha ongezeko la magonjwa sugu yasiyoambukizwa, kutokana na kukosa fedha kugharamia matibabu na kuzifikia huduma kwa wakati. Hatua hiyo imetajwa kusababisha baadhi ya wananchi wanaobainika na matatizo ya figo, ini, saratani, afya ya akili kufanyiwa uchunguzi wa maradhi hayo tatizo likiwa limeshakuwa sugu….

Read More

Miaka 31 ya Kumbukumbu ya Mauaji ya Kimbari, Rwanda Yaonesha Mafanikio ya Mshikamano na Maendeleo

Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Jenerali Patrick Nyamvumba akizungumza leo Aprili 03, 2025 na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam katika kuelekea kumbukizi ya miaka 31 tangu kutokea mauaji ya Kimbari nchini Rwanda. Kushoto ni  Mratibu mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa Tanzania, Susan Ngongi Namondo  Mratibu mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa Tanzania, Susan…

Read More

Cheza sloti ya God Of Coins uwe milionea

  KUHUSU kuongeza Pesa zako kwetu ni jumumu letu, cha kufanya sogea pale Meridianbet kasino, kisha cheza michezo ya kasino ya mtandaoni ukiwemo mchezo huu wa God of Coins. Kama bado hujajisajili Jisajili hapa na upewe bonasi ya ukaribisho hadi 300% Meridianbet kasino ya mtandaoni ni moja ya chimbo la madini ya pesa na kila…

Read More

Sasisho la kibinadamu la Gaza, mauaji zaidi huko Sudani, na kumaliza kutokujali nchini Myanmar – Maswala ya Ulimwenguni

Migomo mingi mara moja hadi Ijumaa iliripotiwa katika Jabalya al Balad na vitongoji vya Nazla, Ofisi ya UN kwa Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu (Ocha) alisema katika yake Sasisho la hivi karibuni. Kama matokeo, karibu watu 900 waliripotiwa kukimbia kuelekea kitongoji cha Sheikh Radwan na Jiji la Gaza Magharibi. Kifungu salama, misaada zaidi UN na…

Read More

Mbowe akatisha mkutano wake Geita kisa mvua

Geita. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kuwa hatima ya maisha ya Watanzania ipo kwenye mikono, mioyo na akili zao. Amesema kila kona ya nchi kuna malalamiko bila kujali aina ya shughuli wanazofanya na kusema, utafiti uliofanywa na chama hicho umebaini malalamiko na matatizo mengi ya wananchi yanatokana na mfumo wa utawala unaotokana na Katiba…

Read More

Wenye ulemavu wa kupitiliza kufundishwa wakiwa nyumbani

Rombo. Serikali imeanza utekelezaji wa usajili wa mwongozo wa watoto wenye ulemavu unaowapa nafasi wale wenye changamoto zaidi kufundishwa wakiwa nyumbani. Hayo yameelezwa leo Jumapili Desemba 22, 2024 na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda wakati akikabidhi viti mwendo kwa watoto wenye mahitaji maalumu wilayani humo. Amesema Serikali haitamwacha mzazi abebe jukumu…

Read More

Wizara ya Nishati, Equinor wakutana Afrika Kusini

Wizara ya Nishati Tanzania imekutana na kufanya mazungumzo na Kampuni ya Equinor Tanzania AS kujadili, pamoja na mambo mengine, maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa kusindika gesi asilia (LNG). Mazungumzo hayo yalifanyika Novemba 05, 2024 Jijini Cape Town – Afrika Kusini wakati wa Mkutano wa Wiki ya Nishati Afrika, mkutano ulioleta pamoja wadau zaidi ya…

Read More