Lusajo: Safari hii, hatutawaangusha | Mwanaspoti

NAHODHA wa Azam FC, Lusajo Mwaikenda amesema wanajua wana kazi kubwa ya kufanya msimu huu kuhakikisha wanafikia malengo, huku akimtaja kocha Florent Ibenge ni wa viwango na hawapaswi kumuangusha. Mwaikenda aliyemaliza msimu uliopita na mabao saba na asisti tatu, aliliambia Mwanaspoti, wachezaji wapo tayari kwa ushindani na kila mmoja anajua kazi kubwa iliyopo mbele yao….

Read More

OFISI ZA JAMII FORUMS ZADAIWA KUVAMIWA

 :::::: Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo, amesema Ofisi zao zimevamiwa na kwa kile alichodai kuwa uvamizi ulikuwa na Lengo la kumtafuta yeye Kupitia ukurasa wa Melo amechapisha taarifa inayosomeka “Kuna ‘uvamizi’ usio rafiki uliofanyika muda sio mrefu katika ofisi za JamiiForums, Mikocheni jijini Dar wakinitafuta mimi .. Nalaani vitendo kama hivi, ila umma utaujua…

Read More

Dk Bashiru avunja ukimya akimwombea kura Samia

Singida. Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Dk Bashiru Ali, amevunja ukimya kwenye kampeni za mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan, akieleza namna alivyopokea kijiti cha urais katika mazingira magumu lakini akalivusha Taifa salama. Dk Bashiru ameeleza hayo leo Septemba 9, 2025 kwenye mkutano wa kampeni za Samia,…

Read More

Ligi Kuu Bara: Hawa mbona kazi wanayo!

MSIMU mpya wa Ligi Kuu Bara wa 2025-2026 unaanza leo ukiwa ni wa 62 tangu ilipoanza 1965. Kila timu kati ya 16 zinazoshiriki zinaanza hesabu mpya kuwania pointi 90 kupitia mechi 30 kila moja, kukiunda na jumla ya mechi 240 kwa msimu mzima. Klabu zinazoshiriki ni watetezi Yanga, Simba, Azam, Singida Black Stars, Tabora United,…

Read More

Bado Watatu – 42 | Mwanaspoti

SAA mbili na nusu asubuhi niliwasili kwenye nyumba namba 313 iliyokuwa eneo la Chuda. Ilikuwa ni asubuhi ya siku ya pili, ambapo jana yake tulikwenda katika hospitali ya Muheza kuzungumza na askari mstaafu aliyetupa siri ya kuachiwa kwa kina Unyeke.Mtu tuliyekuwa tunamtuhumu kuhusika na mauaji ya kina Unyeke, Thomas Christopher, aliandikisha katika usajili wa laini…

Read More

Mechi za kujiuliza Ligi Kuu Bara

UHONDO wa Ligi Kuu Bara unaendelea leo kwa mechi mbili kupigwa ambapo saa 8:00 mchana, Pamba Jiji itaikaribisha TRA United kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, huku saa 10:15 jioni Mtibwa Sugar ikipambana na Fountain Gate.Hizi ni mechi za kujiuliza kwa timu zote kwani hazijapata ushindi tangu kuanza kwa Ligi Kuu Bara msimu huu. Kwa Pamba…

Read More

Waliokuwa watumishi Kigamboni wapandishwa kizimbani

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Fedha na Mhasibu wa Manispaa ya Kigamboni, Jonathan Manguli (38) na wenzake 12, wakiwamo wafanyabiashara wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka 10, yakiwamo ya kuchepusha fedha na kuisababishia Wizara ya Tamisemi hasara ya Sh165 milioni. Washtakiwa wengine waliokuwa watumishi wa manispaa hiyo ni mhasibu Godfrey Martiny (44), mkuu…

Read More

Jisajili na Meridianbet na Ushinde Mkwanja Mrefu Leo

MERIDIANBET ikiwa kama kampuni kubwa ya ubashiri Tanzania, wanakwambia kuwa kushinda Mamilioni leo ni nje nje kabisa. Unachotakiw akufanya ni kuingia kwenye akaunti yako na kutengeneza mkeka wa ushindi sasa. EPL kule Uingereza kuna mechi moja ambayo itapigwa kati ya Wolves vs Aston Villa ambao msimu huu wamekuwa na mwenendo mzuri sana kwenye ligi kwani…

Read More