Dabo apotezea ushindi, aelekeza nguvu fainali

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Youssouph Dabo amesema licha ya timu hiyo kupata ushindi mnono wa mabao 5-2, dhidi ya Coastal Union ila amesahau matokeo hayo, na nguvu kwa sasa anazielekeza mechi ya fainali Jumapili. Kauli ya Dabo inajiri baada ya timu hiyo kutinga fainali ya Ngao ya Jamii na sasa inasubiri mshindi kati ya…

Read More

Yanga yacheza na akili kubwa

KUNA akili kubwa imechezwa na Yanga kipindi hiki kuna presha kubwa imeelekezwa kwa kocha mkuu wa kikosi hicho, Romain Folz. Folz raia wa Ujerumani, amekuwa kwenye presha ya mashabiki wakishinikiza asitishiwe mkataba wake kwa kile wanachokiona Yanga haichezi soka safi licha ya kutopoteza mechi. Hata hivyo, uongozi wa Yanga ambao awali ulikuwa katika mchakato wa…

Read More

Jogoo Veterean yafurahia ujio wa Meridianbet

  Kampuni ya ubashiri Tanzania Meridianbet katika suala zima la kuendeleza sekta ya michezo na imeungana na Timu ya Jogoo Veteran iliyopo Mbezi Juu na kutoa jezi mpya kwa wachezaji wa timu hiyo, ili kuunga mkono juhudi za kukuza michezo katika jamii. Timu ya Jogoo Veteran, ambayo inajivunia wachezaji wao wenye uwezo na kujituma kwelikweli,…

Read More

KUNENGE ARIDHISHWA NA UWEKEZAJI WA KUUNGANISHA MAGARI BAGAMOYO KUSHIRIKISHA VIJANA WA KITANZANIA

Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo Julai 24,2025 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametembelea kiwanda cha kuunganisha magari aina ya FAW cha Rostar Vehicle Equipment Ltd ,wilayani Bagamoyo na ameridhishwa na kazi kubwa inayoendelea kufanyika .  Amepongeza wawekezaji hao kushirikisha vijana wa Kitanzania kupata ajira na mafunzo ya kuunganisha magari hayo. “Vijana wana uwezo! Ni wabunifu,…

Read More

Madiwani Kasulu sasa wanatumia IPad vikaoni

Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma leo Jumanne Septemba 10,2024imetekeleza mpango wa kuhama kutoka katika uendeshaji wa vikao  vya mabaraza yamadiwani kwa kutumia makabrasha na kuanzakutumia vishikwambi. Ambapo jumla ya vishikwambi 70 vilimenunuliwa na kugawiwa kwa waheshimiwa madiwani,Kamati ya Uinzi na Usalama yaWilaya ya Kasulu,wakuu wa divisheni navitengo pamoja na baadhi ya viongozi Chama…

Read More

Fahamu mazoezi yanayoboresha tendo la ndoa

Dk Anold Kegel ni mwanasayansi wa tiba bingwa wa magonjwa ya wanawake wa Marekani na mgunduzi wa mazoezi yajulikanayo Kegel, yenye kuboresha tendo la ndoa kwa wanawake. Uzoefu mkubwa wa kukabiliana na changamoto mbalimbali za kiafya kwa wanawake kulimwezesha kubaini udhaifu wa misuli ya kitako cha kiuno, kwa wanawake waliotoka kujifungua. Wazo lake hilo ndilo…

Read More