Rukwa yazindua dawati maalumu uwezeshaji biashara
Rukwa. Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Charles Makongoro amesema uzinduzi wa dawati maalumu la uwezeshaji biashara ni hatua muhimu itakayowawezesha wafanyabiashara kuendesha shughuli zao kwa weledi na kuchangia ustawi wa Taifa. Akizungumza leo Alhamisi Septemba 18, 2025, katika viwanja vya ofisi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Rukwa wakati wa uzinduzi wa dawati…