Rukwa yazindua dawati maalumu uwezeshaji biashara

Rukwa. Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Charles Makongoro amesema uzinduzi wa dawati maalumu la uwezeshaji biashara ni hatua muhimu itakayowawezesha wafanyabiashara kuendesha shughuli zao kwa weledi na kuchangia ustawi wa Taifa. Akizungumza leo Alhamisi Septemba 18, 2025, katika viwanja vya ofisi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Rukwa wakati wa uzinduzi wa dawati…

Read More

Veta Moshi yapunguza gharama kwa kutumia nishati safi

Moshi. Chuo cha Ufundi Stadi (Veta) Moshi kimeanza safari ya kuachana na nishati chafu na kuelekea matumizi ya nishati safi, hatua inayolenga kupunguza gharama za uendeshaji, kulinda afya za watumiaji na kuhifadhi mazingira.  “Kwa mujibu wa waraka wa Serikali wa kuhamasisha taasisi kuachana na nishati chafu, tumeanza kutumia majiko yanayochoma kuni mbadala (briquettes) na sasa…

Read More

Mikakati kumaliza changamoto ya umbali wa shule Fukayosi yaanza -3

Bagamoyo. Changamoto ya baadhi ya wanafunzi kutembea umbali mrefu katika Kata ya Fukayosi, iliyobainishwa na uchunguzi wa Mwananchi, imeanza kupatiwa ufumbuzi kupitia hatua mbalimbali zinazochukuliwa. Uchunguzi wa Mwananchi katika baadhi ya vijiji vya Kata ya Fukayosi, ikiwemo Mkenge, Kidomole na Mwavi, katika Halmashauri ya Bagamoyo mkoani Pwani, ulibaini kuwa baadhi ya wanafunzi wa shule za…

Read More

Mwili wakutwa kwenye bwawa Kahama

Kahama.  Mwanamume ambaye hajafahamika jina wala makazi yake amekutwa amefariki dunia kwenye bwawa la maji lililopo Kata ya Nyihogo, Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga. Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji  Wilaya ya Kahama,  Stanley Luhwago akizungumza leo Septemba mosi, 2025, amesema tukio hilo limetokea Agosti 31, 2025. Amesema walipokea taarifa kutoka kwa wananchi waliouona…

Read More