Yule Mmorocco wa Azam atua mchana wa leo

UNAKUMBUKA Mwanaspoti mapema wiki hii tuliwajulisha juu ya mipango waliyonayo Azam FC ya kumleta Kocha wa zamani wa Raja Casablanca na klau nyingine kadhaa, Rachid Taoussi? Basi hivi unavyosoma, jamaa keshatua nchini leo mchana tayari kuanza kazi na klabu hiyo. Azam ilikuwa ikimalizana na kocha huyo ikielezwa atapewa mkataba wa miaka miwili kuchukua nafasi ya…

Read More

Hatua za kuchukua kuepuka malaria kali

Dar es Salaam. Wizara ya Afya, imeitaka jamii kujikinga dhidi ya ugonjwa wa malaria, ikitaja hatua za kuchukua kuepuka ugonjwa huo, huku  takwimu zikionyesha kuongezeka kwa wagonjwa na vifo vya malaria nchini. Kulala ndani ya chandarua chenye dawa, kufukia madimbwi, kufyeka nyasi, kupaka  dawa zinazozuia mbu na kufika vituo vya afya pindi wanapopata homa,  ni…

Read More

Adam afunguka kilichomng’oa Mashujaa | Mwanaspoti

MUDA mchache baada ya uongozi wa Mashujaa FC kuweka bayana kuachana na kinara wa mabao wa timu hiyo, Adam Adam  mchezaji huyo amevunja ukimya na kufunguka kilichomng’oa. Mshambuliaji huyo mwenye mabao saba katika Ligi Kuu ambaye mkataba alionao na klabu hiyo unaisha mwisho wa msimu huu, ameliambia Mwanaspoti  ameachana na timu hiyo baada ya kuomba…

Read More

Mpina, Makamba wafunguka kukatwa CCM

Dar es Salaam. Mbunge wa Kisesa anayemaliza muda wake, Luhaga Mpina ametoa kauli baada ya uamuzi wa kikao cha Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kutopendekeza jina lake katika mbio za kuwania ubunge wa jimbo hilo. Wakati huohuo, Mbunge wa Bumbuli, January Makamba naye ameeleza kuhusu uamuzi huo, huku akigusia kile kinachodaiwa kuwa kuenguliwa…

Read More

NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA WILAYA YA KIGAMBONI.

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Dalmia Mikaya  Septemba 26,2025 amepokea vifaa tiba viivyotolewa na benki ya NMB ikiwa ni sehemu ya benki hiyo kurudisha sehemu ya faida yake katika Jamii. DC Dalmia amesema vifaa vilivyotolewa ni pamoja na vitanda vya Wanawake kujifungulia na vitanda vya uchunguzi 20 pamoja na mashine 20 za kusaidia kupumulia kwa…

Read More

Nasser amtisha mtetezi Mbio za Rwanda

MTANZANIA Yassin Nasser  ambaye yuko mbele ya bingwa mtetezi Karan Patel wa Kenya kwa pointi 28, anaanza kuliona taji la ubingwa wa Afrika, na azma hii itaamuliwa katika raundi ya tatu ya mbio za magari ubingwa wa Afrika nchini Rwanda mwishoni mwa juma hili. Rwanda Mountain Gorilla  ndiyo jina rasmi la raundi hii ambayo Mtanzania…

Read More