Simba yatoa msimamo ishu ya Kibu Denis

Uongozi wa Simba umepanga kumchukulia hatua za kinidhamu kiungo wake mshambuliaji, Kibu Denis kutokana na kushindwa kuwasili kwenye kambi ya timu hiyo kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na michuano mingine itakayoshiriki msimu ujao na badala yake amekuwa akitoa sababu tofauti kila siku. Simba kwa sasa iko jijini Ismailia, Misri…

Read More

Morogoro yapunguza idadi wagonjwa wa rufaa Muhimbili

Morogoro. Idadi ya wagonjwa wanaopewa rufaa kutoka Hospitali ya Rufaa Morogoro kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili na nyingine za kanda imepungua kutoka wastani ya wagonjwa 80 hadi kufikia wasiozidi 40 kwa mwezi. Hiyo imetajwa kutokana na maboresho ya miundombinu, vifaa tiba, vipimo vya kisasa na uwepo wa madaktari bingwa wa magonjwa mbalimbali hospitalini hapo. Hayo…

Read More

CCM ilivyopanga upya wawakilishi Zanzibar

Unguja.Wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) kikihitimisha mchakato wake wa ndani wa kuwapata wagombea watakaopeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu mwaka huu, ni majimbo mawili pekee ambapo wateule walishinda katika kura za maoni, lakini majina yao hayakuteuliwa Zanzibar. Badala yake, majina ya waliokuwa wameshika nafasi ya pili katika mchakato huo ndiyo yameteuliwa kupeperusha bendera…

Read More

TASAC yakabidhi gawio Bilioni 19, Rais Samia atoa maagizo

Kwa mafanikio makubwa, Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limejitokeza kama moja ya taasisi za serikali zilizoshiriki katika utoaji wa gawio kwa mfuko wa Hazina ya Taifa zilizopokelewa na Mheshimiwa, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo tarehe 11 Juni, 2024 Ikulu jijiji Dar es Salaam. Gawio hilo limewasilishwa…

Read More

ONGEA NA ANTI BETIE: Mke wangu hanikati kiu hata akijitutumua

Katika uhusiano wa ndoa, suala la kutotoshelezwa kimapenzi ni jambo linaloweza kumgusa mtu yeyote, na mara nyingi halimaanishi kwamba mwenzi wako hafai au hashughuliki. Wakati mwingine, hata akiwa anajituma kadiri ya uwezo wake, bado unaweza kuhisi hakukati kiu ipasavyo. Hili si tatizo la mtu mmoja linawagusa nyote, hivyo haipaswi kulaumiana kwa namna yoyote ile. Wanaume…

Read More

WAZIRI JAFO AKUNWA NA UWEKEZAJI KIWANDA CHA MAGODORO YA DODOMA ASILI,ATAKA WALIFIKIE SOKO LA AFRIKA

WAZIRI wa Viwanda na Biashara,Mhe.Dkt.Selemani Jafo,akikagua na kujionea shughuli za uzalishaji katika Kiwanda Cha Magodoro ya Dodoma Asili kilichopo katika eneo la Four Ways leo Aprili 10,2025 Jijini Dodoma. …. WAZIRI wa Viwanda na Biashara,Mhe.Dkt.Selemani Jafo (Mb) amewataka Wamiliki wa Kiwanda Cha Magodoro ya Dodoma Asili kuhakikisha wanalifikia Soko huru la Afrika AfCFTA) katika uuzaji…

Read More

MAGAMBA FOREST WALKATHON AND ADVENTURE SEASON III KUFANYIKA DESEMBA 17 HADI 20 MWAKA HUU

Na Oscar Assenga, LUSHOTO. MATEMBEZI Maalumu ndani ya Hifadhi ya Misitu ya Mazingira Asilia Magamba (Magamba Forest Walkathon and Andventure Season 111) yenye lengo la kutangaza na kuhamasisha utalii zinatarajiwa kufanyika Desemba 17 -20 katika mji wa Lushoto mkoani Tanga huku maandalizi yakielezwa kukamilika kwa asilimia 85. Akizungumza na Mtandao huo Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi…

Read More

Lema asimama na Lissu, ampa neno Mbowe

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amemshauri mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Freeman Mbowe kusikiliza ushauri wa familia yake wa kumtaka kutogombea tena nafasi hiyo.Lema amesema Mbowe mara kadhaa amekuwa na nia ya kupumzika na kuwaachia nguvu mpya vijana kuendeleza mapambano, lakini watu wanaoitwa…

Read More