Wakulima 2,000 kunufaika na vifaa vya kilimo cha umwagiliaji
Zaidi ya wakulima wadogo 2,000 katika mikoa saba nchini wanatarajiwa kupatiwa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya Sh3.5 bilioni kwa ajili ya kufanya kilimo cha umwagiliaji katika mikoa hiyo.
Zaidi ya wakulima wadogo 2,000 katika mikoa saba nchini wanatarajiwa kupatiwa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya Sh3.5 bilioni kwa ajili ya kufanya kilimo cha umwagiliaji katika mikoa hiyo.
Dar es Salaam. Tangu utotoni ndoto yake ilikuwa kuwa daktari, kadiri alivyokua shauku ya kuikaribia taaluma hiyo iliongezeka. Aliamini njia pekee ya kufanikisha ndoto hiyo ni kuongeza juhudi kwenye masomo, jambo alilotekeleza hadi pale alipoanza kusumbuliwa na maradhi. Mwaka 2022 akiwa kidato cha pili afya ilizidi kutetereka, ikamlazimu kukatisha masomo ili kupata tiba. Aliporejea shuleni…
Arusha. Wamejinasua. Hili ndilo neno linaloweza kuelezea namna wanandoa Ayubu Mfaume na Pilly Mohamed walivyoponea chupu chupu kutupwa jela miaka 20 baada ya kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroini, kufuatia kuachiwa huru na Mahakama ya Rufani Tanzania. Hii ni mara ya pili kwa wanandoa hao kumshinda Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) katika Mahakama ya…
Dar es Salaam. Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali (IGP) na wenzake wawiili akiwamo Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalumu ya Dar es Salaam (ZCO), wamefikishwa mahakamani kwa madai ya kumshikilia Waziri mstaafu, Geofrey Mwambe kinyume cha sheria. Shauri hilo la maombi namba 289778/2025 limefunguliwa na…
Tarehe 18 Septemba, 2024 Jiji London Uingereza, Ndugu Rabia Abdalla Hamid, Katibu wa NEC Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa amefanya mazungumzo na Bw. Shem Ochola, Naibu Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Common wealth Foundation ambaye aliambatana na Bi. Sheila Ruiz, Meneja wa Uhamasishaji na Ubunifu kutoka katika taasisi hiyo. Katika Mazungumzo hayo Bw….
CDQ amezindua Visualizer ya Wimbo Maarufu “Suwe” “Suwe” — wimbo wa mtaani wenye mvuto mkubwa kutoka kwa CDQ, uliotayarishwa na Masterkraft na kumshirikisha Ayanfe, sasa umeambatana na visualizer rasmi! Ukijulikana kwa korasi yake ya kuvutia, nguvu ya kipekee, na mchanganyiko mzuri wa Afro-fusion na rap ya asili, “Suwe” umekuwa ukitamba sana kwenye vituo vya…
USHINDI wa mabao 2-0 iliyoupata Pyramids dhidi ya Al Ahly, umetibua mambo katika klabu hiyo mabingwa wa kihistoria wa Ligi ya Mabingwa Afrika na sasa moto unawaka huku anayesakwa ni aliyeikataa Yanga. Ni hivi. Kocha wa Al Ahly, Jose Riveiro amekalia kuti kavu ligi kuu ya Misri, akihesabu siku baada ya kuanza vibaya akiwa na…
Kifo cha Raisi kimetangazwa na televisheni ya taifa ya Iran baada ya juhudi za kufika eneo la tukio lililochukua saa kadhaa kutokana na hali mbaya ya hewa. Kiongozi huyo wa Iran, Waziri wake wa mambo ya nje Hossein Amirabdollahian, Gavana wa mkoa wa Azerbaijan mashariki uliopakana na Iran na maafisa wengine wamefariki katika ajali hiyo ya…
Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi amesema anachokikumbuka kwa aliyekuwa mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile ni jinsi alivyomsimamia mitihani miwili kwa nyakati tofauti. Hayo amebainisha alipojitokeza kuomboleza na kuhani msiba wa Dk Faustine Ndugulile nyumbani…
::::::: Na Mwandishi Wetu ,Bukoba Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limesema kuwa Serikali imewekeza fedha nyingi katika miradi ya ujenzi wa Bandari za Kemondo na Bukoba hivyo fedha hizo zinatakiwa kuleta tija na zirudi kutokana huduma zitazotolewa na Bandari hizo. Akizungumza na waandishi…