TANZANIA IMEENDELEA KUIMARISHA USHINDANI WA HAKI ZA UDHIBITI WA BIDHAA BANDIA
Na Maandishi Wetu, Dodoma. Tanzania inaendelea kuimarisha ushindani wa haki na udhibiti wa bidhaa bandia kupitia Tume ya Ushindani (FCC) pia Sheria ya Alama za Bidhaa, 1963 inalinda biashara halali na watumiaji dhidi ya udanganyifu. FCC inaidhinisha miungano 4 katika sekta ya fedha, ikilenga kuimarisha mfumo wa malipo ya kidijitali na huduma za benki. Aidha,…