WANAKC,WANAGDSS WATAKIWA KUPAZA SAUTI KUELIMISHA JAMII KUSHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM VITUO vya Taarifa na Maarifa (KC) na wanaGDSS wametakiwa kupaza sauti zao kuhakikisha jamii inapata uelewa mkubwa na kuweza kujitokeza kujiandikisha kwneye daftari la kudumu la wapiga kura ili kuweza kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Vilevile wametakiwa kutengeneza ajenda ambayo itasukuma jamii kujitokeza kwenye uchaguzi wa Serikali…

Read More

BALOZI NCHIMBI ZIARANI MKOA WA SIMIYU

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na viongozi wa Chama na Serikali, wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza, Ndugu Masanja Michael Lushinge (smart) na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Ndugu Said Mtanda, mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza. Dkt Nchimbi, alikuwa safarini…

Read More

DC Mbozi afariki dunia, akumbukwa kwa uchapakazi

Mbeya/Manyara. Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Ester Mahawe amefariki dunia, viongozi wa Serikali na Chama cha Mapinduzi (CCM), wakimkumbuka kwa uchapakazi. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa), Mohamed Mchengerwa kwa niaba ya Rais, Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha mkuu huyo wa wilaya kilichotokea leo Januari 14, 2025…

Read More

Mlandizi Queens kama KenGold tu

HATIMAYE Mlandizi Queens imeshuka daraja rasmi baada ya kucheza mechi 15 bila ushindi ikitoka sare moja sawa na Ken Gold iliyoshuka Ligi Kuu baada ya kupokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Coastal Union wikiendi iliyopita. Timu hiyo imeshuka rasmi na inarejea Ligi daraja la kwanza ilipotoka msimu uliopita kutokana na mwenendo mbaya wa Ligi…

Read More

Wanafunzi Mkinga walia na uhaba, uchakavu wa madarasa

Mkinga. Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mazolakilifi, iliyopo Kijiji cha Mazola wilayani Mkinga mkoani Tanga, wameomba msaada wa kuboreshewa vyumba vya madarasa yao ambavyo vipo katika hali mbaya, yakiwa yamejaa nyufa na kuhatarisha usalama wao. Wakizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano ya matundu kumi ya vyoo yaliyojengwa na Shirika lisilo la Serikali la World Vision…

Read More

Katwila, Mwangata wapewa ‘thank you’ Mtibwa

MABOSI wa timu ya Mtibwa Sugar umewapiga chini, Kocha mkuu wa timu hiyo,  Zuberi Katwila pamoja na wasaidizi wawili,  Kocha wa Makipa, Patrick Mwangata na Meneja, Henry Joseph kutokana baada ya timu na mwenendo mbaya katika michezo ya Ligi kuu Bara ikiwa inaburuza mkia kwa sasa. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Mtibwa kimesema, Bodi…

Read More