DC Mpogolo azindua vitabu kwenye MwanaClick

Dar es Salaam. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amesema utunzi wa vitabu unaofanywa na watu mbalimbali nchini ni ushahidi wa wazi wa mapinduzi chanya ambayo Tanzania imeyapitia katika nyanja mbalimbali za maendeleo. Mpogolo amesema kuwa kitendo cha Watanzania kujitokeza kuandika na kuchapisha vitabu ni ishara ya jamii inayozidi kukomaa kielimu, kiutamaduni na kitaaluma,…

Read More

Kiungo Kagera ajitabiria Coastal | Mwanaspoti

KIUNGO mkabaji mpya wa Coastal Union, Geofrey Manyasi amesema anaamini msimu huu utakuwa mzuri kwa wana Mangushi na hayatomkuta yaliyomtokea msimu uliopita akiwa na Kagera Sugar. Manyasi amejiunga na Coastal katika dirisha kubwa la usajili msimu huu lililofunguliwa Agosti 15, 2025, akitokea Kagera Sugar iliyoshuka daraja kutoka Ligi Kuu msimu uliopita. Nyota huyo wa zamani…

Read More

Mgombea urais NLD alia na usawa, heshima

Dar es Salaam. Wakati Chama cha National League for Democracy (NLD) kikiwa kimetangaza kuzindua kampeni zake Septemba 4, 2025 mkoani Tanga, mgombea urais wa chama hicho, Doyo Hassan Doyo, ametoa tahadhari akidai kwamba kwa siku tatu tangu kuanza kwa kampeni, kuna viashiria vya kutokuwepo kwa usawa na heshima kwa wagombea urais. Akizungumza leo Jumapili, Agosti…

Read More

CHAN 2024: Staa Kenya ajifariji

NDOTO ya Kenya kwenye mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN 2024 imeishia hatua ya robo fainali, lakini kiungo Alpha Onyango ametoa matumaini kwa mashabiki wa timu hiyo. Onyango alibeba tuzo ya mchezaji bora wa mechi ya robo fainali dhidi ya Madagascar na kupoteza kwa mikwaju ya penalti 4-3 baada ya sare…

Read More

Uzinduzi Mabasi ya Mwendokasi Mbagala Wasogezwa Mbele – Global Publishers

DAR-Huduma ya Mabasi Yaendayo Haraka (Mwendokasi) katika barabara ya Mbagala, ambayo awali ilitarajiwa kuanza Septemba 1, 2025 imesogezwa mbele kutokana na kutokamilika kwa miundombinu muhimu ikiwamo mageti janja na kituo cha kujazia gesi. Akizungumzia kuhusu kutokamilika kwa miundombinu hiyo, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart),Dkt. Athuman Kihamia amesema, kuchelewa…

Read More

PROF. KABUDI ASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA JUMUIYA YA MADOLA JIJINI LONDON

:::::::: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Palamagamba Kabudi, ameshiriki katika maadhimisho ya Siku ya Jumuiya ya Madola yaliyofanyika jijini London, Uingereza, yakihusisha nchi wanachama 56 wa jumuiya hiyo. Sherehe hiyo ilijumuisha matukio mbalimbali, ikiwemo hafla ya kupandisha bendera katika Bunge la Uingereza, uwekaji wa shada la maua katika Milango ya Kumbukumbu…

Read More