Morocco yaweka rekodi CHAN ikitwaa ubingwa
MOROCCO imeweka rekodi mpya katika michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) baada ya kutwaa taji la tatu ikiwa ndiyo timu iliyochukua mara nyingi zaidi. Rekodi hiyo imeiweka kufuatia ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Madagascar katika mchezo wa fainali uliochezwa leo Agosti 30, 2025 kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Michezo wa Moi uliopo…
NENO KWA NENO UJUMBE MZITO WA DK.BASHIRU KWA WATANZANIA KUHUSU RAIS SAMIA
“Niwape ushuhuda wa pili kiongozi wetu huyu alionesha umakini, utulivu na ujasiri mpaka tukavuka” Na Said Mwishehe, Michuzi TV KWA mara ya kwanza Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Cha Mapinduzi(CCM) na Katibu Mkuu Kiongozi Dk.Bashiru Ally amevunja ukimya kwa kutoa ya moyoni baada ya kuwa kimya kwa miaka minne bila kupanda katika majukwaani. Dk.Bashiru…
BALOZI MULAMULA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA KATIBU MKUU WA UN BALOZI XIA HUANG
:::::: Mjumbe Maalum wa Masuala ya Wanawake Amani na Usalama Barani Afrika, Mhe. Balozi Liberata Mulamula amekutana na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya Amani na Usalama wa Kanda ya Maziwa Makuu( UN Special Envoy on the Great Lakes Region), Balozi Xia Huang katika mazungumzo maalumu ya kubadilishana uzoefu…
Mbunge Shigongo Apongeza Maboresho ya Afya chini ya Rais Samia – Video
Global Publishers March 16, 2026 0 Comments Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo, amesema kuwa ameridhishwa na juhudi za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuboresha huduma za afya nchini, ikiwemo maboresho makubwa yanayofanywa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili. Shigongo aliyasema hayo wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge katika hospitali…
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AWAJIBU WANAOSEMA CCM INABEBA WATU NA MAGARI KUJAZA UWANJA
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Rungwe MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hasan amewajibu wanaosema Chama hicho kinabeba wanachama wake kwenye magari kuwapeleka katıka mikutano ya kampeni zake ambapo amesema siyo shida wala siyo aibu kuwasafirisha wanaokwenda katika mikutano. Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi wa Wilaya Rungwe mkoani Mbeya wakati wa mkutano…
DC NYAMWESE AWAPA SOMO WANAWAKE HANDENI MJI MATUMIZI YA SIMU JANJA KIBIASHARA
Na Mwandishi Wetu, Handeni Wanawake katika Halmashauri ya Mji Handeni wametakiwa kutumia simu janja na teknolojia ya kidijitali kwa kuwa ni nyenzo muhimu ya kukuza biashara na kujikwamua kiuchumi kupitia fursa mbalimbali zinazopatikana mtandaoni. Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese ameyasema hayo wakati akizindua Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi katika kongamano…
MAHOJIANO MAALUMU: DCEA yaeleza udhibiti maiti kusafirisha dawa za kulevya-3
Dar es Salaam. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), imesema kwa sasa kila maiti inayotoka nje ya nchi kuja nchini, inakaguliwa kubaini iwapo haijatumika kama chombo cha kusafirisha dawa hizo. Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas Lyimo amesema hatua hiyo inatokana na kubainika mbinu ya matumizi ya maiti kusafirisha dawa za kulevya,…
Mchakato wa ujenzi wa barabara ya kulipia Chalinze – Morogoro kuanza upya
Dar es Salaam. Kamishna wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP), David Kafulila ametaja sababu za kuchelewa kwa ujenzi wa barabara ya kulipia ya Chalinze hadi Morogoro ikiwamo kampuni zilizoomba zabuni hiyo kutokidhi vigezo. Kafulila amesema hayo wakati akijibu hoja ya Alphonce Temba aliyehoji ni lini mradi wa barabara hiyo unaotarajiwa kugharimu…
Mwalimu aahidi barabara ya lami Sengerema–Geita
Mwanza. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimeahidi kuwa, kikichaguliwa kuunda Serikali baada ya uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025, kitahakikisha Jimbo la Buchosa linaunganishwa kwa barabara ya lami na Wilaya ya Sengerema pamoja na Mkoa wa Geita. Kwa sasa, wananchi wa Buchosa wanalalamikia ubovu wa miundombinu kutoka Nyehunge kwenda wilayani Sengerema, hali inayosababisha usafiri kuwa…