Bato saba kali Azam vs Yanga kwa Mkapa
KUNA mechi kubwa itapigwa Jumapili hii Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam ambapo wenyeji Azam FC watakapokutana na bingwa mtetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga, nenda kaone ufundi mwingi kwenye dabi hiyo ya Dar es Salaam. Mchezo huo utakuwa wa kwanza msimu huu kwa timu hizo kukutana kwenye ligi lakini kama unavyofahamu hakuna…