AIRTEL YATANGAZA WASHINDI WA DROO YA SANTA MIZAWADI

Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano kutoka Airtel, Jackson Mmbando akizungumza jijini Dar Es Salaam leo Desemba  24, 2024, wakati wa kutangaza washindi wa Santa Mizawadi wa Airtel, zawadi hizo ni za  kusheherekea sikukuu ya Christimas pamoja na Airtel. Kushoto ni Meneja Masoko na Ubuni wa Airte Husein Simba. KAMPUNI ya Airtel imetangaza Washindi wa droo…

Read More

Ilichosema TEC kushambuliwa kwa Padri Kitima

Dar es Salaam. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limetaka hatua za haraka kuwabaini na kuwakamata wote waliohusika na shambulizi dhidi ya Katibu Mkuu wa baraza hilo, Padri Charles Kitima. Baraza hilo limesema hadi sasa linapata ushirikiano kutoka kwa Serikali na vyombo vya usalama. TEC imekuja na wito huo, siku moja baada ya taarifa ya…

Read More

TANZANIA YAAPA KUNG’ARA FEASSA 2025 KAKAMEGA

Na OR-TAMISEMI, TARIME 12/08/2025 MKURUGENZI wa Idara ya Elimu, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Emmanuel Shindika, amewakabidhi bendera ya taifa wanamichezo wa Tanzania watakaoshiriki Mashindano ya Michezo ya Shule za Sekondari Afrika Mashariki (FEASSA) 2025, huku akiwaasa kudumisha nidhamu, utulivu na mshikamano kipindi chote cha mashindano hayo. Akizungumza kabla ya kuwakabidhi bendera hiyo, Dkt….

Read More