Bato saba kali Azam vs Yanga kwa Mkapa

KUNA mechi kubwa itapigwa Jumapili hii Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam ambapo wenyeji Azam FC watakapokutana na bingwa mtetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga, nenda kaone ufundi mwingi kwenye dabi hiyo ya Dar es Salaam. Mchezo huo utakuwa wa kwanza msimu huu kwa timu hizo kukutana kwenye ligi lakini kama unavyofahamu hakuna…

Read More

Wataja mbinu kuboresha elimu watu ya  wazima

Dar es Salaam. Wataalamu mbalimbali wa elimu nchini wametoa mapendekezo manne ya kuboresha Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Tanzania (TEWW). Miongoni mwa mapendekezo hayo ni pamoja na Serikali kuandaa waraka utakaowasaidia wanafunzi wanaotoka nje ya mfumo rasmi wa elimu, kurudi kwenye masomo kupitia taasisi hiyo kwa lazima. Pia, wamependekeza Serikali kuandaa waraka wa elimu…

Read More

Tiba mpya kuboresha via vya uzazi, urembo sehemu za siri

Dar es Salaam. Wakati wanawake wakikabiliana na changamoto mbalimbali za kiafya zinazohusiana na sakafu ya nyonga, matumaini mapya yanaanza kuonekana kupitia tiba za kisasa, inayohusisha huduma za kurekebisha na kuboresha via vya uzazi pamoja na urembo wa sehemu za siri. Baadhi ya changamoto hizo zimekuwa zikiwafanya wanawake wenye uhutaji kutumia vilainishi kujitibu ukavu na uchafu…

Read More

Wabunge Chato, madiwani wanne wafikishwa kortini tuhuma za rushwa

Chato. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Mkoa wa Geita imewafikisha mahakamani wabunge wawili wa Chato, Pascal Lutandula (Chato Kusini), Cornel Magembe wa (Chato Kaskazini) na madiwani wanne akiwemo aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chato, Bathoromeo Manunga wakituhumiwa kwa rushwa wakati wa mchakato wa kumpata mwenyekiti wa halmashauri hiyo. Mbali nao, wengine ni…

Read More