Sababu Tanzania kuendelea kukumbwa na uhaba wa maji

Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Maji Duniani leo Machi 22, 2026, wadau wa maendeleo na mazingira wameainisha sababu kadhaa zinazoendelea kuchangia uhaba wa maji nchini, huku upotevu wake ukitajwa kuwa miongoni mwa changamoto kubwa. Mbali na upotevu huo, wadau wameeleza kuwa usambazaji duni wa maji, ukosefu wa…

Read More

Kama hakutaki usimlazimishe | Mwananchi

Katika maisha ya uhusiano wa kimapenzi, watu wengi hujikuta wakihangaika kulazimisha uhusiano ambao tayari umefika mwisho au hauna uhai tena. Moja ya ukweli mgumu lakini muhimu kukubalika ni huu: ukiona mwenza wako hakutaki tena, mwache aende zake. Usilazimishe mapenzi. Mapenzi ya kweli hayawezi kulazimishwa. Yanatoka moyoni kwa hiari, si kwa mashinikizo. Unapojikuta unapigania nafasi yako…

Read More

Wademokrati US wataka kubadilishwa utawala wa Marekani, Trump na Netanyahu wamesababisha maafa ya binadamu

Kinara wa Wademokrati katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amekosoa serikali na Warepublican nchini humo kwa hakika vita dhidi ya Iran na kusisitiza udharura wa kubadilishwa utawala wa Marekani. Hakim Jafris ambaye ni mtangazaji wa New York katika Kongresi ya Marekani ameandika katika mtandao wa kijamii wa X kwamba: “Donald Trump na Warepublican wenye misimamo…

Read More

Kituo cha nyuklia cha Iran chagongwa sawa na ‘darasa moja la watoto’ waliouawa, kujeruhiwa kila siku nchini Lebanon – Masuala ya Ulimwenguni

Pointi muhimu Watu 1,000+ waliuawa na 2,584 kujeruhiwa nchini Lebanon tangu Machi 2 Iran yaathiriwa na kituo cha nyuklia Mashirika ya Umoja wa Mataifa yameonya kuwa watu milioni 45 wanaweza kukabiliwa na njaa ikiwa vita dhidi ya Iran vitaendelea “Ongezeko la hivi majuzi limeua au kujeruhi sawa na darasa moja la watoto kila siku,” alisema…

Read More

Kwa nini wanawake hawawezi kupata ulinzi dhidi ya unyanyasaji wa kina wa AI – Masuala ya Ulimwenguni

Minong’ono ilimfuata nje ya mtandao. Mkondoni, matumizi mabaya yameingizwa, hayajadhibitiwa: maoni, kejeli, zilizoshirikiwa, picha za skrini. Yeye alikuwa kamwe akakubali yoyote ya hayo. Hilo lilikuwa halijamzuia mtu yeyote. Ndani ya dakika chache, maelfu walikuwa wameona yaliyomo. Ndani ya masaa, mamilioni. Jinamizi lilikuwa limeanza tu. Siku zilipita kabla ya majukwaa kujibu. Kufikia wakati huo, picha zilikuwa…

Read More

Ligi Kuu Zanzibar kupigwa Bara

BODI ya Ligi Zanzibar (ZBL), inatarajia kufanya marekebisho ya kanuni za mashindano ili kuruhusu timu za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) kutumia viwanja vya Bara kwa ajili ya mechi. Hatua hiyo inalenga kuongeza ushindani wa ligi hiyo na kutoa fursa kwa wachezaji wa Zanzibar kuonekana zaidi na kutambulika kwenye soka la Tanzania. Akizungumza na Mwanaspoti, Mtendaji…

Read More

Ushindani mkali NBC PL wafungua vita mpya ufungaji bora

MISIMU mitano ya Ligi Kuu Bara imekuwa ikitawaliwa na mastaa wakubwa kutoka nje ya nchi wakitwaa kiatu cha ufungaji bora mara tatu,  lakini kwa sasa inaonekana mambo yanaweza kubadilika na mzani ukawa sawa. Kwa sasa staa kutoka DR Congo, Fabrice Ngoy anayechezea Namungo ndiye kinara wa mabao akiwa ameshafunga manane, lakini bado takwimu zinaonyesha kuwa…

Read More

Majeraha yavuruga mipango ya Yanga kutetea ubingwa

UNA mabao ya Yanga yapo nje kutokana na mitambo ya mabao kupata majeraha na kupewa muda wa kupumzika ili kutibiwa irejee kwenye ufiti. Kukosekana kwao kumechambuliwa na watalamu jinsi inavyoleta athari hasi. Katika mechi 15 Yanga imeshinda 11, sare nne, inamiliki mabao 31, imefungwa mawili, ina pointi 37. Kati ya mabao hayo Prince Dube kafunga…

Read More

MASHEKHE WAMPONGEZA MBUNGE LUTANDULA KUFUTURISHA WAISLAMU

Mbunge wa Jimbo la Chato Kusini,Pascal Lutandula …………. MASHEKHE wa Bakwata Jimbo la Chato Kusini wamepongeza matendo ya huruma yaliyoonyeshwa na Mbunge wa Jimbo hilo Pascal Lukas Lutandula baada ya kuwafuturisha waislamu wasiojiweza katika mwezi mtukufu wa Ramadhan. Pongezi hizo zimetolewa kwa nyakati tofauti katika Sikukuu ya Eid El-Fitr na Mashekhe wa misikiti ya Bakwata…

Read More

ZPL kuongezwa thamani kuitangaza Zanzibar

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema lengo la kuwekeza fedha nyingi kwenye sekta ya michezo ni kuhakikisha inakuwa msingi unaowezesha kukuza vipaji, kuongeza ushindani na kuifikisha Zanzibar katika viwango vya kimataifa. Hayo yalielezwa na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi wakati alipokutana na uongozi wa taasisi ya Tanzania Securities Limited, Ikulu mjini Zanzibar….

Read More