UMEME UNACHOCHEA UCHUMI, AJIRA NA LISHE KWA WANANCHI WA VIJIJINI – RC PWANI*
*📌 Bilioni 46.6 kusambaza umeme kwenye Vitongoji 330 mkoani Pwani* *📌 Wateja wa awali zaidi ya 10,000 kunufaika* Kibaha, Pwani📍 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge leo, tarehe 28 Januari, 2026 wakati wa hafla ya kuwatambulisha wakandarasi wa kampuni ya Nakuroi Ltd; kampuni iliyoshinda zabuni ya mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji 330…