
BULALA AZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KWIMBA KWA NDEREMO NA VIFIJO VYA KIHISTORIA
Uzinduzi wa kampeni za uchaguzi katika Jimbo la Kwimba zimeacha alama yankudumu baada vya kuzinduliwa kwa nguvu na hamasa kubwa atika Kata ya Hungumalwa, ambapo wananchi zaidi ya 7,000 walihudhuria mkutano wa Katika uzinduzi huo wa kihistoria, kijana Cosmas Bulala alitambulishwa rasmi kama kama Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kwimba huku comrade Shija Malando akitambulishwa rasmi kuwa…