DC RUFIJI AAGIZA USAJILI MPYA KWA WAFUGAJI FEBRUARI 2026

Mwamvua Mwinyi, Rufiji Januari 30, 2026 MKUU wa Wilaya ya Rufiji, Luteni Kanali Fredrick Komba, ameagiza wafugaji wote wilayani humo kuanza usajili upya kuanzia Februari mwaka huu, ikiwa ni hatua ya kuimarisha utekelezaji wa mpango wa ranchi ndogo unaolenga kudhibiti migogoro kati ya wakulima na wafugaji pamoja na kupata takwimu sahihi za mifugo. Komba alisema…

Read More

Airtel Yazindua Minara 5 Mpya ya Mawasiliano Tanga, Iringa, Ruvuma, Sumbawanga na Mwanza

Tanzania, 16 Januari 2026. KAMPUNI ya Airtel Tanzania imezindua minara mitano mipya ya mawasiliano katika maeneo ya Kilindi – Tanga, Mbalamaziwa – Njombe, Ruanda – Songea, Miombo – Sumbawanga, na Buhongwa – Mwanza, hatua inayolenga kuimarisha upatikanaji wa mtandao na kuboresha huduma za simu na intaneti kwa wananchi wanaoishi katika maeneo hayo. Uwekezaji huu ni…

Read More

Burkina Faso yafuta vyama vyote vya siasa

Ouagadougou. Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imefanya uamuzi wa kihistoria kufuta rasmi vyama vyote vya siasa nchini humo, hatua iliyothibitishwa na baraza la mawaziri jana Januari 29, 2026. Uamuzi huo unakuja ikiwa ni mwendelezo wa juhudi za serikali ya kijeshi kudhibiti upinzani huku ikiendelea kukabiliana na vitisho vya usalama vinavyotokana na makundi yenye uhusiano…

Read More

Uislam na adabu ya kubisha hodi

Dar es Salaam. Hakika Uislamu umeipa nafasi kubwa sana elimu ya malezi ya kijamii. Haukuacha jambo dogo wala kubwa isipokuwa umelifafanua. Umebainisha kwa kina haki za wazazi, haki za wanandoa na watoto, haki za majirani, pamoja na miamala yote na maadili ya Kiislamu. Miongoni mwa maadili hayo ni adabu ya kupiga hodi. Adabu hii ni…

Read More

KONA YA MSTAAFU: Miradi inayotokana na hela ya mstaafu!

Watu wamekuwa wakisifia sana mitandao ya jamii kuwa inasaidia kuiamsha jamii yetu ijitambue ili kuleta maendeleo ya kweli kwenye nchi. Ni jambo jema. Tusameheane tu kwamba hakuna meza za kupiga makofi ili kushangilia hoja hii njema kama kule “naniliu”! Wananchi wamekuwa wakitoa mifano hai kulithibitisha hili kuwa tangu nchi yetu ipate uhuru wake miaka 65…

Read More

Wanawake wanapochagua ukimya kuokoa afya ya akili

Alikuwa amezoea kuamka na simu mkononi. Kila taarifa, ujumbe na hata picha aliyoweka kwenye mitandao ya kijamii ilikuwa sehemu ya maisha yake ya kila siku. Lakini siku moja, aliamua kuifunga simu, kuondoka mtandaoni.Aliyafanya haya si kwa sababu hakupenda tena dunia ya kidijitali, bali kwa sababu dunia hiyo ilikuwa imemgeuka. Asha si jina halisi ni binti…

Read More