Sukuk, dhamana za kisheria mbadala wa hati fungani

Sukuk, inayojulikana pia kama hati fungani za Kiislamu, imekuwa mbadala maarufu wa uwekezaji katika masoko ya hisa na mitaji duniani. Uwekezaji huo unasimamiwa kwa mujibu wa Shariah, ambayo ni kanuni za kifedha za Kiislamu, na inatoa fursa ya kuwekeza katika miradi mbalimbali kwa kufuata misingi ya kuepuka riba na miamala isiyokubalika kisharia. Tofauti na hati…

Read More

ZFF yaanza uchunguzi vurugu Uhamiaji vs KVZ

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), kupitia Kamati yake ya Mashindano, limetangaza kufuatilia kwa kina tukio linalodaiwa Kikosi maalum cha Ulinzi cha Valantia Zanzibar kuvamia uwanja pamoja na kusababisha vurugu katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA CUP), kati ya Uhamiaji FC dhidi ya KVZ FC, huku ikilaani vikali tukio hilo…

Read More

Dk Mwigulu ataka TRA kuweka mabango  miradi iliyotekelezwa kwa kodi za wananchi

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameilekeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kuweka mabango kwenye miradi iliyotekelezwa kwa kodi za wananchi, ili kuonyesha namna Watanzania waliyoshiriki kuijenga. Mtendaji huyo mkuu wa shughuli za Serikali, amesema hatua hiyo itawezesha Watanzania kutambua namna ambavyo fedha zao zinavyotumika kupitia kodi wanazozilipa. Dk Mwigulu ametoa kauli hiyo…

Read More