Korea Kaskazini yaonesha kituo chake cha urutubishaji urani – DW – 13.09.2024
Taifa hilo lililofanya jaribio lake la kwanza la nyuklia mwaka 2006 na liko chini ya vikwazo vya Umoja wa Mataifa kutokana na mipango yake ya kuunda silaha zilizopigwa marufuku, halijawahi kuweka wazi maelezo kuhusu kituo chake cha kurutubisha urani. Vifaa kama hivyo vinazalisha urani iliyorutubishwa kwa kiwango cha juu — ambayo inahitajika kutengeneza vichwa vya…