Maelfu waandamana Venezuela kupinga ushindi wa Rais Maduro

  Vikosi vya usalama nchini Venezuela vimetumia mabomu ya machozi na risasi za mpira kuwatawanya waandamanaji walioingia mitaani kupinga matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi rais Nicolas Maduro. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Matokeo hayo ya uchaguzi wa juzi Jumapili yanapingwa na upande wa upinzani pamoja na kutiliwa mashaka na mataifa kadhaa ya kigeni. Maelfu…

Read More

POLISI WATAKIWA KUCHUKUA HATUA KWA WANAOJIHUSISHA NA VITENDO VYA UKATILI WA KIJINSIA

Askari Polisi nchini wametakiwa kuendelea kuchukua hatua kwa watu wanaojihusisha na vitendo vya ukatili wa kijinsia na unyanyasaji dhidi ya watoto ili kudhibiti vitendo hivyo ambavyo vimekuwa vikijitokeza mara kwa mara kwenye jamii. Rai hiyo imetolewa na Mratibu wa Dawati la Jinsia na Watoto, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Faidha Suleiman akiwa na Mkaguzi Msaidizi…

Read More

Wanafunzi 121 wa UDOM waondolewa masomoni

Dodoma. Wanafunzi 121 wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), wameondolewa katika masomo (discontinue) kwa tuhuma za kuchezea matokeo, huku kesi 15 zikiendelea na uchunguzi zaidi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kitengo cha mawasiliano na masoko cha chuo hicho,  jumla ya wanafunzi 170 walituhumiwa kuchezea mfumo wa matokeo (SR2) mwaka 2023/24. “Serikali iliunda kikosi kazi…

Read More

Samia ataja miradi ambayo Tanzania inashirikiana na IDA

Rais wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu amehutubia viongozi pamoja na wageni mbalimbali walioshiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na kubainisha miradi ambayo Tanzania inashirikiana na Mfuko Maalum wa Benki ya Dunia ambao unatoa mikopo nafuu na misaada kwa nchi zinazoendelea (IDA), kuitekeleza. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Rais Dk. Samia…

Read More

Wagonjwa 12 hufanyiwa upasuaji wa ubongo, mgongo Bugando

Mwanza. Watu saba wamefanyiwa upasuaji wa kuondoa uvimbe kwenye ubongo na tatizo la mgongo, miongoni mwa 12 wanaotakiwa kupatiwa tiba hiyo kwenye kambi maalumu ya siku tano iliyoanza Agosti 19, 2024 na inatarajiwa kukamilika Agosti 23, 2024 katika Hospitali ya Bugando. Jopo la madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando jijini Mwanza…

Read More

WALIOATHIRIWA NA UPEPO WAPATIWA MSAADA TUMBATU

NA FAUZIA MUSSA Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali inaendelea kuzifariji familia 98 zilizoathiriwa na upepo mkali uliovuma katika kijiji cha Tumbatu siku za karibuni. Kufuatia tukio hilo lililotokea mwishoni mwa mwezi wa Agosti, Taasisi ya Sister Island imekabidhi kilo 1350 za mchele kwa wananchi hao. Akizungumza mara baada ya kukabidhi chakula hicho, huko Kichanagani…

Read More

Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamo ya Chadema

  JESHI la Polisi Tanzania limepiga marufuku maandamano yaliyopangwa kufanyika tarehe 23 Septemba, 2024 na Chama cha Demokrasia na Maemdeleo (CHADEMA). Anaripoti Mwandishi Wetu, Kilimanjaro … (endelea). Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime amesema kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii walisikia viongozi wa Chadema wakihamasisha wananchi wa jiji la Dar…

Read More

Asaka rekodi ya kupanda Mlima Kilimanjaro akipiga danadana

WAKATI wengine hupanda Mlima Kilimanjaro kwa kutembea kawaida, staa wa danadana kutoka Sweden, Emil Jylhänlahti, ameanza safari ya kuupanda mlima huo maarufu duniani huku akichezea mpira kwa danadana. Staa huyo wa dunia anayetikisa dunia, Emil Jylhanlahti, sasa amepewa majukumu mapya kuwa mkuu wa programu ya soka kwa watoto wa Norrby IF nchini Sweden. Nyota huyo…

Read More