
Maelfu waandamana Venezuela kupinga ushindi wa Rais Maduro
Vikosi vya usalama nchini Venezuela vimetumia mabomu ya machozi na risasi za mpira kuwatawanya waandamanaji walioingia mitaani kupinga matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi rais Nicolas Maduro. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Matokeo hayo ya uchaguzi wa juzi Jumapili yanapingwa na upande wa upinzani pamoja na kutiliwa mashaka na mataifa kadhaa ya kigeni. Maelfu…