
Naibu Spika Zungu akemea tabia ya kuwatelekeza wagonjwa kisa fedha
Dodoma. Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu amewataka madaktari na wauguzi kuwa na utu katika kuwahudumia wagonjwa hasa kwenye suala la gharama. Zungu ametoa kauli hiyo bungeni jijini Dodoma leo Alhamisi April 17, 2025 wakati Naibu Waziri wa Tamisemi, Dk Festo Dugange alipokuwa anajibu swali la nyongeza la Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia…