Taliban yaadhimisha miaka mitatu madarakani – DW – 15.08.2024

Katika sherehe za kusherehekea mwaka wao wa tatu tangu kuutwaa mji mkuu Kabul, zimefanyika katika kituo cha zamani cha anga cha Marekani iliotumika kusuka mipango ya kuwaondoa Taliban madarakani. Hotuba za viongozi hazikubeba ahadi za kumaliza changamoto za wananchi na badala yake ziliilenga jumuiya ya kimataifa, kuwataka kutoingilia masuala yake ya ndani huku wakiweka msisitizo…

Read More

Miaka minne ya Magufuli kaburini, Chato kumkumbuka leo

Dar es Salaam. Jumatano ya Machi 17, 2021, Tanzania iligubikwa na wingu zito la kumpoteza Rais aliyekuwa madarakani, Dk John Pombe Magufuli maarufu JPM. Ni kwa mara ya kwanza Taifa hilo la Afrika Mashariki kushuhudia Rais aliyekuwa madarakani akifariki dunia. Kifo chake kilitangazwa na Samia Suluhu Hassan, aliyekuwa Makamu wa Rais. Dk Magufuli aliyezaliwa Chato…

Read More

Watatu waachiwa huru usafirishaji gramu 997.91 za heroini

Arusha. Mahakama Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, imewaachia huru washtakiwa watatu walioshtakiwa kwa kosa la kusafirisha gramu 997.91 za dawa za kulevya aina ya heroini. Hukumu iliyowaachia huru washtakiwa hao imetolewa Mei 23, 2025 na Jaji Sedekia Kisanya aliyesema upande wa mashitaka umeshindwa kuthibitisha shitaka hilo pasipo kuacha shaka. Walioachiwa huru ni Mohamed…

Read More

Serikali kugharimia matibabu ya majeruhi Hanang

Babati. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amesema Serikali itagharamia matibabu kwa wanafunzi majeruhi wa ajali ya magari mawili yaligongana na kusababisha vifo vya watu wanne jana. Sendiga ameyasema hayo leo Jumapili Septemba Mosi, 2024 baada ya kuwatembelea majeruhi wa ajali hiyo ambao wamelazwa Hospitalini ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara, mjini Babati. Ajali…

Read More

Dk Nchimbi aeleza sababu CCM kuomba ichaguliwe tena

Katavi. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema mafanikio makubwa yaliyopatikana miaka mitano iliyopita, yanakifanya chama hicho kutoka kifua mbele kuomba tena ridhaa ya Watanzania kuwaongoza. Amesema maeneo mbalimbali nchini kuna miradi mingi imekamilika au inaendelea kutekelezwa mathalani ya afya, elimu, barabara, kilimo, ufugaji, uvuvi na maji inayochochea uchumi…

Read More

Kagoma aibuka, avunja ukimya ishu ya Simba

YUSUPH Kagoma ndilo jina linalotajwa sana kwenye mitandao ya kijamii hivi sasa na hii ni baada ya staa huyo wa Simba kufuta utambulisho wake na timu hiyo kwenye mtandao wake wa kijamii ‘Instagram’. Sakata hilo limeenda sambamba na kuachwa Dar es Salaam wakati Simba ikiondoka nchini Jumatano alfajiri kwenda nchini Algeria kwa ajili ya mchezo…

Read More

Kanda ya Ziwa ilivyopindua meza mapato ya halmashauri

Kabla ya mwaka 2022 Kanda ya Dar es Salaam ilikuwa ukiongoza katika ukusanyaji wa mapato ya ndani ya halmashauri nchini, ikiziacha mbali kanda nyingine tano. Hata hivyo, mwaka 2023 ulikuja kivingine baada ya Kanda ya Ziwa kujinasua kutoka nyuma na kusimama kileleni katika orodha ya kanda zenye makusanyo makubwa ya mapato ya halmashauri. Kanda ya…

Read More

Zitto aahidi kupigania meli mpya, maisha mapya Kigoma

Kigoma. Mgombea ubunge wa Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema kuwa iwapo wananchi wa mji huo watamrudisha tena bungeni, atahakikisha mradi mkubwa wa ujenzi wa meli na chelezo wenye thamani ya zaidi ya Sh600 bilioni unakamilika kwa wakati na kwa ubora unaostahili. Akihutubia maelfu ya wananchi leo, Jumamosi, Septemba 20, 2025, katika…

Read More