Huduma za Benki ya CRDB sasa viwango vya kimataifa

 Dar es Salaam. Tarehe 8 Septemba 2025: Baada ya saa 72 za maboresho ya mfumo wa uendeshaji wa benki (Core Banking System), huduma za Benki ya CRDB sasa zimerejea zikiwa bora, zenye kasi kubwa zaidi kukidhi viwango vya kimataifa. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela amesema Benki iliweka juhudi kubwa kuhakikisha jambo hili…

Read More

Katwila aachiwa msala Geita Gold

ALIYEKUWA Kocha wa Bigman, Zubery Katwila amejiunga na Geita Gold kwa mkataba wa mwaka mmoja baada ya dili lake la kwenda Coastal Union ya Tanga iliyofanya mazungumzo naye mwanzoni ya kumhitaji kuingia dosari. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa timu hiyo zimelidokeza Mwanaspoti kuwa Katwila amesaini mkataba wa mwaka mmoja na muda wowote kuanzia sasa…

Read More

Watanzania wahimizwa kuwekeza UTT Amis wavune faida

Dar es Salaam. Uwekezaji katika mifuko ya uwekezaji ya taasisi ya Serikali inayosimamia na kuendeleza mifuko ya uwekezaji wa pamoja UTT Amis umetajwa kuwa bora, hakika na salama zaidi huku ukiwa na utajiri wa faida ya mtaji. Hayo yamebainishwa leo Alhamisi ya Septemba 4, 2025 wakati wa mjadala wa Mwananchi Space ulioandaliwa na Mwananchi Communications…

Read More

Ukata unavyotesa vyama vya upinzani

Dar/ mikoani. Kampeni si lelemama ndivyo unaweza kuelezea kile kinachotokea kwa baadhi ya vyama vya siasa vya upinzani kushindwa kufanya mikutano ya kampeni, huku suala la ukata likitajwa kuwa miongoni mwa sababu za tatizo hilo. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), ndicho pekee katika vyama vya upinzani kinachoonekana kufanya mikutano kwa kuzingatia ratiba iliyotolewa na…

Read More

TADB YATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM ZANZIBAR

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) leo Machi 9, 2026 imetembelea watoto wenye mahitaji maalum katika vituo viwili vya kulelea watoto Zanzibar kwa lengo la kuwafariji na kuwaunga mkono katika kipindi hiki cha mfungo mtukufu wa Ramadhani. Katika ziara hiyo, benki ilifika katika Kituo cha ZASO Children Home kilichopo Fuoni Mambo Sasa ambacho kina…

Read More