Mradi wa KKKT wazalisha umeme, wanufaisha vijiji saba Makete

Njombe. Wananchi wa vijiji saba wilayani Makete mkoani Njombe wananufaika na upatikanaji wa umeme wa uhakika kufuatia mradi wa uzalishaji umeme wa Ijangala uliofadhiliwa na Wakala wa Umeme Vijijini (Rea). Umeme unaozalishwa katika mradi huo unatajwa kusaidia kuongeza upatikanaji wa umeme wa uhakika pamoja na kutoa ajira kwa wananchi wa eneo hilo. Hayo yameelezwa leo…

Read More

Wanafunzi 12 kizimbani wakidaiwa kumuua mwenzao

Arusha. Wanafunzi 12 wa Shule ya Sekondari Qash, wamepandishwa tena kizimbani Mahakama ya Wilaya Babati, wakikabiliwa na shtaka moja la mauaji ya mwanafunzi mwenzao, Yohana Konki. Wanafunzi hao waliofikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza Septemba mosi 2025, leo wamepandishwa mahakamani hapo kwa ajili ya kesi dhidi yao kutajwa na imepangwa kutajwa tena Septemba 24. Katika…

Read More

Gor Mahia kuwasili  leo kuwahi Simba Day

Ofisa Habari wa Simba, Ahmed Ally, amesema timu ya Gor Mahia kutoka Kenya ambayo itacheza mechi ya kirafiki kwenye kilele cha wiki ya Simba Day itawasili usiku wa leo hapa nchini. Leo Simba ilitembelea na kutoa msaada katika Kituo cha Kutunza Watoto Wenye Uhitaji cha Twarika Kadiliya kilichopo Mabibo, Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi…

Read More

MKURUGENZI WA JAMIIFORUMS MAXENCE MELLO AOMBA KUJIUZULU UJUMBE WA TUME YA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI

:::::::: Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, @jamiiforums Maxence Melo, ameomba Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya kujiuzulu ujumbe wa Bodi katika Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi.  Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijami wa Instagram wa Melo @macdemelo amechapisha taarifa inayosomeka “Leo, Septemba 06, 2025 nimemuandikia rasmi Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari juu…

Read More