Wanandoa wauawa kikatili, miili yachomwa moto

Mbeya. Wanandoa wanaodaiwa kuwa raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wameuawa katika Kijiji cha Chafuma, wilayani Momba. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na Jeshi la Polisi Agosti 23, 2025 tukio la mauaji lilitokea Kata ya Kapele iliyo Tarafa ya Ndalambo, juzi Agosti 22, saa nane mchana. Taarifa hiyo iliyotolewa na Kamanda…

Read More

Yanayokwamisha ufanisi wa ATCL yatajwa

Dar es Salaam. Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kukosa umiliki wa viwanja, kutumia ndege kubwa kwa safari za ndani na bei ya nauli kuwa juu,  zimetajwa kuwa sababu za shirika hilo kukosa ufanisi unaotarajiwa. Imeelezwa fedha nyingi hutumika kwa shughuli za uendeshaji tofauti na mapato yanayopatikana. Hayo yameelezwa wakati wa uzinduzi wa Kitabu cha ‘ATCL…

Read More

BENKI YA NCBA YAPANDA MITI 11000

Ferdinand Shayo ,Arusha . Benki ya NCBA imeshiriki zoezi la kupanda miti ya asili 11000 katika eneo la Olkokola Wilayani Arumeru Mkoani Arusha kwa kushirikiana na shirika la Kijani Pamoja kwa lengo la kuhakikisha uoto wa asili unarejea na kutimiza adhma ya Benki hiyo kupanda miti milioni 10 ifikapo mwaka 2030. Akizungumza katika Zoezi la…

Read More

Mtanzania matumaini kibao Misri | Mwanaspoti

NYOTA wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga TUT FC inayoshiriki Ligi ya Wanawake nchini Misri, Hasnath Ubamba amesema anaamini utakuwa msimu bora kwake licha ya kwamba ni mara ya kwanza kucheza nje ya mipaka ya Tanzania. Mshambuliaji huyo alisajiliwa msimu huu kwa mkopo wa mwaka mmoja na mabingwa hao wa Misri akitokea Fountain Gate Princess inayoshiriki…

Read More

Uponyaji baada ya kusafirishwa – maswala ya ulimwengu

Miaka nane iliyopita, Maria aliondoka Caracas, Venezuela, akiendeshwa na fursa za kupungua na tumaini la kumaliza masomo yake ya mifugo. Katika miaka 21 tu, alikubali ofa kutoka kwa mtu aliyemjua ambaye aliahidi kazi huko Trinidad na Tobago, kusafisha nyumba, meza za kungojea. Ilionekana kama njia ya kuishi, njia ya kujisaidia yeye na familia yake nyumbani….

Read More

Aziz KI kukipiga mara ya kwanza Wydad AC

LEO huenda ikawa siku ya kwanza kumshuhudia nyota wa zamani wa Yanga na Burkina Faso, Stephane Aziz Ki ndani ya kikosi cha Wydad Athletic Club itakapokuwa ikicheza mechi ya kirafiki dhidi ya Sevilla kutoka Hispania. Mchezo huo utakuwa maalumu kwa ajili ya maandalizi ya Wydad kuelekea michuano ya Klabu Bingwa ya Fifa ya Dunia itakayopigwa…

Read More

TET YAPONGEZWA UANDAAJI WA TUZO KWA WALIMU

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema itaendelea kusimamia ufanyaji wa mtihani wa mwisho kwa walimu wa kuwapima ubora wao na kuwapa leseni kama ilivyo taaluma zingine kwa lengo la kuwaongezea thamani na kupata haki sawa ya ajira. Ameyasema hayo Juni 25, 2024 Jijini Dar es Salaam, Waziri…

Read More

Chatanda ahimiza wanchi kushiriki Uchaguzi Mkuu

MWENYEKITI wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mary Chatanda, amewasihi wananchi hususan wanawake kujitokeza kwa wingi katika uchsguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Amesema ni haki ya Kila mtanzania kushiriki katika uchaguzi huo na kuwachagua Viongozi watakaochagiza juhudi za maendeleo zinazofanywa na serikari chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kuwaletea maendeleo. Chatanda ameyasema hayo wlayani…

Read More