Simba, Yanga kutibua maandalizi Taifa Stars AFCON 2025
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ itakuwa na muda wa wiki moja tu kujiandaa na Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zitaakzofanyika Morocco kutokana na uwepo wa mechi ya Dabi ya Kariakoo baina ya Yanga na Simba ya Ligi Kuu Tanzania Bara, Desemba 13, 2025. Mchezo wa marudiano baina ya timu hizo mbili…