Wanufaika wa Samia Scholarship Extended wahakikishiwa ajira Ulaya

Arusha. Wahitimu wa Kidato cha sita waliofaulu kwa alama za juu zaidi mwaka 2025 walionufaika na programu ya Samia Scholarship Extended DS/AI+ kusoma Shahada ya Kwanza kwenye masomo ya sayansi, ubunifu na akili unde wamehakikishiwa kupata elimu yenye kiwango kinachokubalika kimataifa na uhakika wa ajira kwenye kampuni zilizowekeza nchini Ireland. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu…

Read More

Nguvu ya jua katika ujenzi wa uchumi wa bluu

Kuna methali ya Kiswahili inayosema, “Samaki mkunje angali mbichi.” Tunaielewa vyema maana yake ni kushughulikia fursa au tatizo mapema kabla halijawa gumu. Leo, katika zama hizi za mabadiliko ya tabianchi na msukosuko wa kiuchumi, tunaweza kuitumia kuelezea jambo lingine: tunapaswa kukumbatia nishati mbadala mapema ili kuufikia ustawi wa bahari zetu, ambao tunauita “Uchumi wa Bluu.”…

Read More

KCMC kuanza kutoa matibabu ya moyo rasmi 2027

Moshi. Wakati tafiti zikionesha asilimia 30 ya watu wanaougua matatizo ya moyo wanatoka Kanda ya Kaskazini, Hospitali ya KCMC, mkoani Kilimanjaro imepanga kutumia Sh25 bilioni kujenga kitengo cha matibabu ya moyo katika hospitali hiyo, kitachokuwa taasisi ya pili kwa ukubwa nchini. Ujenzi wa kitengo hicho unalenga kuboresha huduma za matibabu ya magonjwa ya moyo katika…

Read More

UDP kukomalia kilimo cha umwagiliaji ikishinda uchaguzi mkuu

Siha. Mgombea Urais kupitia Chama cha UDP, Saumu Rashidi ametangaza mambo matano ambayo anakwenda kushughulika nayo pindi atakapopata ridhaa ya wananchi ya kuwa kiongozi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Miongoni mwa mambo anayopigania mgombea huyo kipaumbele cha kwanza ni kilimo cha umwagiliaji, viwanda, afya, elimu pamoja na maji. Saumu amesema leo Jumatano Septemba 24,…

Read More

Polisi waimarisha ulinzi, kesi ya Lissu Mahakama Kuu Dar

Dar es Salaam. Wakati Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, akitarajia kupandishwa kizimbani leo katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kwa ajili ya usikilizwaji wa hoja au maelezo ya awali ya kesi ya uhaini inayomkabili, ulinzi umeimarishwa kuanzia nje, getini hadi ndani ya Mahakama. Ulinzi huo umeimarishwa na askari…

Read More

TUGHE KUWANOA WAFANYAKAZI NA WAAJIRI ILI KUBORESHA UTENDAJI KAZI

 :::::::::::: 14 Septemba 2025, ARUSHA Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kimeandaa mafunzo yatakayowakutanisha Wafanyakazi na Waajiri yanayojulikana kama “Semina ya Waajiri na Viongozi wa Matawi ya TUGHE yatakayofanyika jijini Arusha kuanzia tarehe 15-18 Septemba 2025. Mafunzo hayo muhimu yanatarajia kuwakutanisha takribani washiriki 1000 kutoka kutoka Serikalini na Taasisi za Serikali na…

Read More

Dk Bashiru avunja ukimya akimwombea kura Samia

Singida. Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Dk Bashiru Ali, amevunja ukimya kwenye kampeni za mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan, akieleza namna alivyopokea kijiti cha urais katika mazingira magumu lakini akalivusha Taifa salama. Dk Bashiru ameeleza hayo leo Septemba 9, 2025 kwenye mkutano wa kampeni za Samia,…

Read More

CCM yashinda kiti cha udiwani Shiwinga

Mbozi. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka na ushindi katika uchaguzi mdogo wa udiwani wa Kata ya Shiwinga Jimbo la Mbozi mkoani Songwe, baada ya mgombea wake, Menard Mzumbwe kupata kura 5,030 kati ya kura halali 5,210 zilizopigwa. Uchaguzi huo umefanyika leo Alhamisi, Februari 26, 2026. Akitangaza matokeo rasmi msimamizi wa uchaguzi wa Kata ya Shiwinga,…

Read More