Waliofariki dunia ajalini Kilimanjaro yafikia sita

Moshi. Idadi ya watu waliofariki dunia katika ajali iliyohusisha gari aina ya Noah na lori mkoani Kilimanjaro wakitokea harusini Tanga, imefikia sita baada ya majeruhi wengine kufariki dunia. Waliofariki dunia katika ajali hiyo ni Rebecca Tarimo, Asia Lyimo, Zainabu Lyimo, Farida Mazimu, Maira Lyimo na Samwel Nyerembe. Ajali hiyo ilitokea jana Septemba 28, 2025 eneo…

Read More

Chadema yaiambia UN mabadiliko ya kikatiba muhimu Tanzania

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemweleza Mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN) kuwa msimamo wa chama hicho ni uchunguzi huru ufanyike ili wale wote waliobainika kuhusika na vurugu za Oktoba 29,2025  zilizosababisha vifo na majeruhi wawajibishwe. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa jana Jumanne  Machi 10,2026 Chadema,…

Read More

Mbinu kukabiliana na machungu ya kuachwa

Kuachwa na mwenza ni moja ya mambo yenye uchungu mkubwa katika maisha ya binadamu. Inaweza kuvunja moyo, kuharibu mtazamo wa maisha, na kusababisha hali ya kutojiamini, huzuni na hata msongo wa mawazo. Watu wengi hujikuta katika hali ya kukata tamaa, kujitenga na jamii au hata kupoteza mwelekeo wa maisha. Hali hii huathiri si tu hisia…

Read More

MAKAMU WA RAIS AELEKEA NCHINI GUINEA YA IKWETA

………….. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, leo tarehe 26 Machi 2026 amewasili Jijini Malabo nchini Guinea ya Ikweta, ambapo anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Nchi za Afrika,…

Read More

DG EWURA ASHIRIKI KIKAO CHA WADAU WAKUU WA MAFUTA NCHINI

********** Mkurugenzi Mkuu wa EWURA Dkt James Mwainyekule, leo, 4 Machi, 2026 ameshiriki kikao cha ngazi ya juu cha wamiliki wa kampuni za bidhaa za mafuta aina ya petroli nchini (OMCs) kilichoitishwa na Waziri wa Nishati Mhe. Deogratias Ndejembi (Mb) ili kujadili mikakati ya iliyowekwa na serikali kuimarisha hali ya upatikanaji wa mafuta hususani kipindi…

Read More