TANZANIA INATARAJIA KUPOKEA DOLA MILIONI 74 KUTOKA IFAD

  Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban, akizungumza wakati alipokukutana na kufanya mazunguzo na Mkurugenzi Mkazi Mpya wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bw. Sakphouseth Meng ambaye alifika Wizarani hapo kujitambulisha, jijini Dodoma.Mkurugenzi Mkazi Mpya wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bw. Sakphouseth Meng, akizungumza…

Read More

Mitaala 96 Udsm yapitiwa upya iendane na wakati

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimefanya maboresho ya mitaala 96 kwa kuipitia upya ili iendane na soko la ajira. Maboresho hayo yamefanywa kupitia Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Uchumi (HEET) ambao unalenga kuboresha mazingira ya kujifunzia na mitaala ya taasisi za elimu ya juu ili…

Read More

MWENGE WA UHURU WAWASILI MKOA WA KASKAZINI UNGUJA

Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Idrisa Kitwana Mustafa kushoto akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Rashid Hadidi Rashid ili kuukimbiza katika Mkoa wake na Kutembelea Miradi mbalimbali Zanzibar Ukiwa na Ujumbe “Tunza Mazingira na Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Ujenzi wa Taifa Endelevu” Na Sabiha Khamis Maelezo Kiongozi…

Read More

Kazi, mapenzi katika safari ndefu ya Rihanna na Drake

Mwaka 2005, Toronto, Canada wakati Drake, 37, akifanya kazi ya kucheza muziki wa asili katika moja ya migahawa ya jiji hilo la nyumbani kwao, anatambulishwa kwa Rihanna, 36, mwanamuziki wa Pop aliyeanza kutikisa dunia. Rihanna alivutiwa na kijana huyo na kusema kweli mambo yalienda kasi, haikuchukua muda Drake akaonekana katika video ya wimbo wa Rihanna,…

Read More

Waziri Ndege: Watoto wenye mahitaji maalumu wasifichwe

Babati. Jamii nchini imetakiwa kuacha tabia ya kuwaficha watoto wenye uhitaji maalumu majumbani, kwani kufanya hivyo kunawanyima haki yao ya msingi ya kupata elimu, malezi bora na fursa za maisha. Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora, Regina Ndege ameeleza hayo leo Januari 12, 2026 wakati akigawa viti mwendo…

Read More

CCM waomba wapigadebe stendi ya Nyegezi waondolewe

Mwanza. Baadhi ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Nyegezi jijini Mwanza wameziomba mamlaka husika kuwaondoa wapigadebe katika Stendi Kuu ya Mabasi Nyegezi kwa madai kuwa uwepo wao unachangia kuongezeka kwa vitendo vya uhalifu, ikiwemo wizi. Ombi hilo limetolewa leo Jumatatu, Januari 13, 2025, katika kikao cha CCM Kata ya Nyegezi kilichokuwa kikijadili…

Read More

KMKM, Mlandege zatinga nusu FA kibabe

WABABE wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), KMKM na Mlandege, jioni ya leo Jumatano zimetinga nusu fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Zanzibar (ZFF Cup) kanda ya Unguj,  baada ya kushinda mechi za robo fainali. KMKM iliibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya New King katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Mao Zedong,…

Read More

Mafanikio ya Tanzania Sekta ya Bahari yaivuta Comoro

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Mafanikio makubwa ya Tanzania katika sekta ya bahari yameivutia nchi ya Comoro kutaka kujifunza masuala mbalimbali kupitia Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI), ikiwemo uwezo wa kuwahudumia meli, uongozaji wa vyombo vya majini, na utaalamu wa biashara ya bahari ili kujenga rasilimali watu. Kauli hiyo ilitolewa Septemba 3, 2024…

Read More