Srelio haitaki kurudia makosa | Mwanaspoti

BAADA ya timu ya Srelio kupoteza michezo miwili ya kwanza, kocha wa timu hiyo Miyasi Nyamoko amesema kwa mechi dhidi ya maafande wa ABC hawatarudia makosa katika vita ya Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). “Kwa kweli hadi tunafikia michezo tulizopoteza, tumeitana na tumejadiliana, ili kujua kitu kilichotungusha na tumeshajua sababu na sasa…

Read More

AKIBA COMMERCIAL BANK PLC YAWAZAWADIA WASHINDI WA KAMPENI YA TWENDE KIDIGITAL TUKUVUSHE JANUARI

Na Mwandishi wetu-Dar es salaam Akiba Commercial Bank imewashukuru wateja wake kwa kushiriki katika kampeni “twende kidigital tukuvushe Januari” na imewahimiza kuendelea kutumia huduma zake za kidijitali kama vile ACB Mobile, Internet Banking, ACB VISA Card, na ACB Wakala ili kufurahia uzoefu wa kipekee wa kibenki. Shukrani hizo zimetolewa Jijini Dar es salaam Januari,2025 Mkuu…

Read More

Mwalimu Agundua Ubunifu wa Kifaa cha Kuongeza Usikivu

*Ugunduzi umetokana na yeye mwenyewe kuwa na changamoto ya usikivu hafifu Na Chalila Kibuda ,Michuzi TV TangaMWALIMU wa VETA Kigoma Innocent Maziku agundua kifaa cha kuongeza usikivu kutokana na yeye mwenyewe kuwa na usikivu hafifu. Maziku amebainisha hayo katika Banda la VETA katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu ya Ubunifu na Ujuzi yanayoendelea katika Viwanja…

Read More

Fainali ya FA Yanga v Singida BS vita ipo hapa

ZANZIBAR: IMEPITA takribani miezi minane sawa na siku 243 tunarudi tena New Amaan Complex, Zanzibar kushuhudia Singida Black Stars ikicheza dhidi ya Yanga. Safari hii itakuwa fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) itakayofanyika Jumapili ya Juni 29, 2025 kuanzia saa 2:15 usiku. Mara ya mwisho timu hizo zilikutana uwanjani hapo katika mchezo wa Ligi Kuu…

Read More

Wanafunzi Chuo cha Ustawi wa Jamii kushiriki Tuzo za kimataifa Hult Prize Kenya

KUPITIA wazo Lao la kibishara na kibunifu linalohusu “Recycling of plastic waste into eco-brick “ (Utengenezaji na uzalishaji wa tofali kwa kutumia taka za plastiki) wanafunzi watatu kutoka #chuochaustawiwajamii  ni Miongoni mwa wanafunzi kutoka vyuo mbali mbali Duniani wanaokutana Jijini Nairobi Nchini Kenya Kuwania Tuzo hii.  Tuzo ya Hult ni shindano kubwa zaidi la ujasiriamali…

Read More