Jipange na gharama hizi za matibabu ya moyo, usipoacha haya
Dar es Salaam. Kama huzingatii ushauri wa wataalamu juu ya kubadili mfumo wa maisha, upo hatarini kupata maradhi ya moyo ambayo kulingana na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) matibabu yake ni hadi Sh30 milioni. Maradhi mengine ambayo wataalamu wanaonya kuathiri moyo, ni shambulio la moyo ambayo matibabu ni Sh6 milioni kuzibua mshipa mmoja, kuwezesha…