Wakulima Rombo waomba Serikali kudhibiti pembejeo duni

Rombo. Wakulima wa kahawa katika Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro, wameiomba Serikali kuchukua hatua madhubuti kudhibiti uuzwaji wa pembejeo duni, wakisema hali hiyo imekuwa kikwazo kwa juhudi zao za kukabiliana na magonjwa ya mimea, hususan kutu ya majani. Wamesema magonjwa hayo yanapunguza uzalishaji kwa kiasi kikubwa na kuwaathiri kiuchumi, kwani kahawa ni zao tegemeo kwa…

Read More

Wanawake wawili wanaswa wakiwa ‘utupu’ madhabahuni, Kilimanjaro

Hai. Wanawake wawili wanaodhaniwa kuwa ni washirikina wamekutwa wakiwa watupu (bila nguo) alfajiri ya leo Machi 15, 2025, katika madhabahu ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, Jimbo la Hai, Usharika wa Nkwarungo, Machame Kaskazini, wilayani Hai, mkoani Kilimanjaro. Tukio hilo limezua taharuki kubwa wilayani hapa, ambapo wanawake hao walikamatwa na…

Read More

BARRICK YAFANIKISHA KONGAMANO YA WANAFUNZI VYUO VYA ELIMU YA JUU MKOANI MWANZA

KAMPUNI ya Barrick nchini imedhamini kongamano la Vyuo vya elimu ya juu mkoani Mwanza lililoandaliwa na taasisi ya AIESEC Tanzania na kufanyika katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino ambapo wanafunzi walioshiriki walipata fursa ya kujengewa uwezo kuhusiana na masuala ya kujiamini,jinsi ya kujiajiri na kupata ajira sambamba na kutambua fursa zilizopo zinatozotokana na mabadiliko ya…

Read More

Rais Samia atengua tena sita

Dar es Salaam. Wakati mjadala wa mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyowaondoa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, January Makamba na aliyekuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Rais Samia Suluhu Hassan  amefanya utenguzi wa viongozi wa taasisi za mawasiliano nchini. Katika taarifa kwa umma iliyotolewa leo Jumanne Julai 23 2024 na Kurugenzi…

Read More

Kila mmoja anapaswa kujua haya kuhusu VVU

Virusi vya Ukimwi au VVU huenezwa kwa njia ya kuongezewa damu, kuwa na jeraha la wazi au michubuko na kugusana na damu au maji maji ya mwilini ikiwamo ya sehemau za siri yenye maambuki-zi wakati wa kujamiana. VVU vinaweza kuwapo kwa kiasi kidogo sana katika machozi na mate. Ili kuambukizwa kwa njia ya ma-te, itahitajika…

Read More

DKT. KIJAJI AKUTANA NA MENEJIMENTI YA WIZARA

…………. Na Sixmund Begashe, Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Dkt. Ashatu Kijaji, amekutana na Menejimenti ya Wizara pamoja na wataalamu kutoka idara na vitengo mbalimbali vya Wizara hiyo, kwa lengo la kupokea taarifa za utekelezaji wa shughuli za Wizara na kujenga uelewa wa pamoja kuhusu maendeleo ya sekta ya uhifadhi na utalii nchini….

Read More

Mbunge azikataa ‘English Medium’ za Serikali

Dodoma. Mbunge wa viti maalumu (CCM), Taska Mbogo amezichongea manispaa na halmashauri kwa kuanzisha shule za mkondo wa Kiingereza ‘English Medium’ na kulipia ada, hali ambayo ni tofauti sera ya Serikali ya elimu bila malipo. Mbogo amesema hayo leo Alhamisi Aprili 18, 2024 wakati akichangia taarifa ya makadirio ya mapato na mtumizi kwa mwaka wa…

Read More

Shinikiza ya misaada ya UN inaendelea kwenda Gaza licha ya ndege za Israeli – maswala ya ulimwengu

“Wenza wetu wa kibinadamu wanatuambia kwamba wenzi wao wanaendelea na juhudi zao, licha ya kuripoti ndege za Israeli kwenye strip,” alisema, akigundua kuwa migomo mingine iligonga maeneo karibu na ile inayoitwa ‘mstari wa manjano’-eneo la buffer lililowekwa na jeshi la Israeli ndani ya Gaza kama sehemu ya makubaliano ya kukomesha. “Tunasisitiza tena kwamba vyama vyote…

Read More

WASTAAFU ELFU 50 KUPATIWA VITAMBULISHO VYA KIELEKTRONIKI

Na. Saidina Msangi na Jordan Mbwambo, WF, Dodoma. WASTAAFU wanaolipwa na Serikali wapatao 609 katika Wilaya ya Dodoma Mjini, wamepatiwa vitambulisho vya kielektroniki katika zoezi la kugawa vitambulisho hivyo linalotekelezwa na Wizara ya Fedha ambapo inalenga kuwafikia wastaafu wapatao elfu 50 nchini. Hayo yalibainishwa na Mhasibu Mkuu wa Serikali Msaidizi- Huduma za Mfuko Mkuu, Wizara…

Read More