Hekaheka ya kusaka maji kilomita 24 Handeni

Tanga. Wakati maji yakigeuka lulu kwa wakazi wa Mkata Magharibi, wilayani Handeni, mkoani Tanga, kwa Sadick Idd, safari ya kuyafuata imegeuka chanzo cha maumivu na msongo wa mawazo. Idd anasimulia Januari 21, 2026 alipata ajali alipofuata maji kwenye Bwawa la Sua, akiwa na baiskeli iliyobeba madumu matano. “Sikuwa na namna tangu Julai 2025 hatuna maji. …

Read More