Vita vya Vietnam na Gaza vilibomoa udanganyifu vijana juu ya viongozi wa Amerika – maswala ya ulimwengu

Waandamanaji hukusanyika mbele ya Ikulu ya White House kwenye Pennsylvania Avenue mnamo 1966 kupinga Vita vya Vietnam. Mikopo: Chama cha Kihistoria cha White House na Mauro Teodori (San Francisco, USA) Ijumaa, Mei 2, 2025 Huduma ya waandishi wa habari SAN FRANCISCO, USA, Mei 2 (IPS) – Miaka minane kabla ya serikali iliyoungwa mkono na Amerika…

Read More

Lawi rasmi ni Mnyama | Mwanaspoti

DILI LIMEKAMILIKA: Ndivyo ilivyo baada ya klabu ya Simba kumsajili beki wa kati wa Coastal Union, Lameck Lawi kwa  mkataba wa miaka miwili kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo msimu ujao. Lawi ambaye anamudu kucheza beki wa kati ataungana na Che Malone kucheza eneo hilo baada ya Henock Inonga na Keneddy Juma kutajwa kuondoka ndani…

Read More

SERIKALI YASHUHUDIA MKATABA WA USD MILIONI 30 KUJENGA MINARA TANZANIA KATI YA TOA TANZANIA NA BII

Waziri wa habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye(katikati) na balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Divid Concar (Kulia) wakishuhudia Mtendaji Mkuu wa TOA Tanzania Innosent Mushi wapili kushoto na Mkurugenzi wa Uwekezaji wa British International Investment Sithembumenzi Vuma (wapili kulia) wakibadilishana hati za mikataba wa kuboresha huduma za mawasiliano nchini. Katika mkataba huo British…

Read More

WORLD VISION TANZANIA YAGAWA MICHE YA MATUNDA NA MBEGU ZA MBOGAMBOGA KWA SHULE ZA MSINGI SHINYANGA

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro (mwenye tisheti nyekundu kushoto) , maafisa kutoka World Vision Tanzania, maafisa wa kilimo na elimu wa wilaya, pamoja na wataalamu wa kata za Pandagichiza, Iselamagazi na Itwangi wakiwa wameshikilia pakti za mbegu za mbogamboga Na Mwandishi Wetu – Shinyanga Shirika la World Vision Tanzania, kupitia mradi wake…

Read More

Yanga kurudia ya mwaka 1965 kwa kuigomea Dabi?

MECHI ya watani wa jadi, Yanga na Simba maarufu kama Dabi ya Kariakoo, imeota mbawa baada ya kuahirishwa na Bodi ya Ligi kwa sababu ya malalamiko ya Simba kuhusiana na sakata la kuzuiwa kufanya mazoezi ya mwisho kabla ya mchezo. Mchezo huo ulipangwa kufanyika Machi 8 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, ikiwa ni marudio katika…

Read More