Sintofahamu fidia mradi wa bomba la mafuta EACOP

Dar es Salaam. Wakati wananchi wa Manyara wakilalamika kulipwa fidia ndogo waliyolipwa kupisha ujenzi wa Bomba la  Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema malipo hayo yamezingatia taratibu zote za ulipaji fidia za kitaifa na kimataifa. Akizungumza na Mwananchi leo Alhamisi, Mei 30, 2024 Mkurugenzi wa TPDC,  Musa…

Read More

Maafande wa Prisons yampigia hesabu Mpole

KOCHA wa maafande wa Tanzania Prisons, Mkenya Zedekiah ‘Zico’ Otieno, ameanza mipango ya kuisuka upya timu hiyo katika dirisha dogo litakalofunguliwa Januari Mosi, 2026, huku akimfuatilia aliyekuwa mshambuliaji wa Pamba Jiji, George Mpole. Chanzo kutoka katika timu hiyo, kimeliambia Mwanaspoti, Zedekiah anahitaji mshambuliaji mpya wa kuongeza nguvu, baada ya kuondoka kwa Abdulkarim Segeja, ili akasaidiane…

Read More

HII HAPA SABABU WACHEZAJI WENGINE KUTOITWA KIKOSINI TAIFA STARS – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kocha msaidizi Kikosi cha Taifa Stars, Hemed Morocco amefafanua kwanini wachezaji wa kitanzania wengine wanaotarajiwa kuwepo kikosini hawajumuishwi kutokana na mapendekezo yanayotolewa. “Najua kuwa Watanzania wangependa kuona wachezaji wengi wa Kitanzania ambao wanacheza soka la kulipwa nje wakiitwa, lakini lazima wajue kuwa sisi kama walimu kuna mambo ambayo huwa tunazingatia na wachezaji wapo wengi hivyo…

Read More

Singida Black Stars mabingwa wapya Kagame 

SINGIDA Black Stars imeweka historia kwa kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Cecafa Kagame kwa mara ya kwanza baada ya kuifunga Al Hilal ya Sudan mabao 2-1 katika mechi ya fainali iliyopigwa leo Septemba 15, 2025 kwenye Uwanja wa KMC Complex uliopo Mwenge jijini Dar es Salaam. Ni Clatous Chama ambaye ameifanya Singida Black…

Read More

Siku saba za presha umeya, uenyekiti wa halmashauri

Dar es Salaam. Joto la uteuzi wa kuwania umeya wa majiji, manispaa na wenyeviti wa halmashauri limehamia ngazi ya kamati za siasa za mikoa, zitakazochuja na kupendekeza majina ya wagombea hao kwa ngazi ya kitaifa. Hatua hiyo ni baada kamati za siasa za wilaya za Chama cha Mapinduzi (CCM) zilizoketi leo Jumamosi Novemba 22 nchi…

Read More

Ni bajeti ya kimkakati Zanzibar

Unguja. Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ikitaja vipaumbele vitano katika bajeti ya mwaka 2024/25, uchumi kwa mwaka 2024 unakadiriwa kukua kwa wastani wa asilimia 7.2 kutoka ukuaji wa asilimia 7.1 mwaka 2023. Akisoma hotuba ya bajeti ya Serikali Juni 13, 2024, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Saada Mkuya amesema mapato ya Serikali…

Read More

Maisha duni familia ya pacha waliotenganishwa – 3

Dar es Salaam. Wakati Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi akiwaomba Watanzania wenye uwezo kumjengea nyumba Tabora, Hadija Shaban (24), mama wa pacha waliotenganishwa kutokana na hali yake duni ya maisha, Mwananchi imejionea hali halisi. Hadija alirejea nchini Novemba, 2024 baada ya watoto wake Hussein na Hassan Amir, wenye miaka mitatu…

Read More