TRA MOROGORO YATUMIA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE KUTOA ELIMU YA KODI
NA FARIDA MANGUBE , MOROGORO Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, mamlaka ya mapatao Tanzania (TRA) Mkoa wa Morogoro imetumia maadhimisho hayo kutoka elimu ya masuala ya kodi pamoja na huduma ya usajili wa namba za utambulisho wa mlipa kodi (TIN). Maadhimisho hayo kimkoa yameyofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro ambapo yamewakutanisha wanawake kutoka…