Shally Raymond aibua shangwe kwa wajumbe UWT Kilimanjaro

Moshi. Aliyekuwa mbunge wa Viti Maalumu Shally Raymond, ameibua shangwe kutoka kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalumu wa Umoja Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Kilimanjaro, licha ya jina lake kutojumuishwa katika orodha ya walioteuliwa kugombea nafasi hiyo. Mkutano huo unafanyika leo Jumatano Julai 30, 2025 katika Uwanja wa Chuo Kikuu cha Ushirika…

Read More

CHATANDA ACHANGIA MILIONI 2.66 KUFANIKISHA UNUNUZI WA GARI KANISA KUU LA KKKT JIMBO LA SONGEA

Na Mwandishi Wetu, Songea, Ruvuma. Mwenyekiti wa UWT Taifa, *Ndg Mary Pius Chatanda (MCC)* ameongoza harambee ya ununuzi wa gari kwa ajili ya usafiri wa Mchungaji Julia Philemoni katika Kanisa Kuu la Jimbo la KKKT Songea. Katika harambee hiyo, Chatanda alichangia pesa taslimu *Shilingi Millioni Mbili na Laki Sita na Elfu Sitini (2,660,000/=).* #uwtimara#Jeshiladktsamiadktmwinyi#Kaziiendelee#Ushindinilazima#Miaka63YaUhuru

Read More

MAANDALIZI YA MKUTANO WA 26 WA KAMATI YA MAWAZIRI WA ASASI YA SIASA, ULINZI NA USALAMA YA SADC YAANZA JIJINI LUSAKA

Mbali na Balozi Shelukindo, viongozi wengine kutoka Tanzania wanaoshiriki Mkutano wa Makatibu Wakuu ni pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Faraji Mnyepe, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob Mkunda, Balozi wa Tanzania nchini Zambia, Mhe. Lt. Jen. Mathew Mkingule, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na…

Read More

Yaliyotupa nguvu, yatakayotupa nguvu zaidi kwa miaka mingi ijayo

Msemo wa wahenga unasema: “Kile kisichokuua kinakufanya kuwa na nguvu zaidi.” Msemo mwingine unasema hivi: “Meli bandarini iko salama, lakini haijajengwa kwa ajili ya kubaki bandarini.” Hiyo ndiyo imekuwa safari ya Mwananchi Communications Ltd (MCL) – kuchunguza, kuthubutu na kushinikiza mipaka, ingawa ndani ya mipaka husika. Katika mchakato huo tulijikuta tukiungua vidole mara kwa mara….

Read More

SGA yatwaa tuzo Chaguo la Mtumiaji Afrika 2025

Dar es Salaam. Kampuni ya Ulinzi ya SGA Security kwa mara nyingine imetajwa kuwa mtoa huduma za usalama anayeaminika zaidi Afrika na kutwaa tuzo ya chaguo la mtumiaji kwa mwaka 2025. Tuzo hiyo ilitangazwa kwenye Tamasha la Tuzo ya Chaguo la Mtumiaji Afrika kwa mwaka 2025 jijini Dar es Salaam, na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali…

Read More

Sarakasi za uchaguzi serikali za mitaa

Dar/Mbeya. Vyama vya upinzani vimebainisha sababu mbalimbali, zilizotumika kuwaengua wagombea wao kwenye kinyang’anyiro cha kuwania uongozi katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27. Licha ya kuzibainisha, vimeendelea kusisitiza haki kutendeka ili kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na wenye haki,  kwa wagombea wao kurejeshwa kwenye mchuano huo ili kuwapa fursa wananchi kuwa na machaguo mengi….

Read More

Tanzania na Algeria kushirikiana katika upatikanaji wa dawa salama, bora na fanisi.

Tanzania na Algeria zimekubaliana kushirikiana katika kuboresha uhusiano kwenye upatikanaji na uzalishaji wa dawa zenye usalama, ubora na ufanisi  katika nchi hizo. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Dawa nchini Algeria  alipokutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Wizara ya Afya Tanzania uluoongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa TMDA, Dkr. Adam Fimbo pamoja na Balozi wa Tanzania…

Read More