FCC, ZFCC ZASAINI MKATABA KULINDA USHINDANI WA HAKI SOKONI

:::::::: Tume ya Ushindani (FCC) ya Tanzania Bara na Tume ya Ushindani wa Haki Zanzibar (ZFCC) zimetia saini mkataba wa makubaliano wenye lengo la kuhakikisha kuwepo kwa mazingira ya ushindani wa haki katika masoko na kulinda maslahi ya walaji ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Makubaliano hayo yamelenga kuimarisha ushirikiano wa kisheria, kitaalamu na…

Read More

CCM yamteua Kirumbe Naibu Katibu Mkuu Wazazi

Dar es Salaam. Mbunge wa Kigoma Mjini aliyemaliza muda wake, Kirumbe Ng’enda ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara. Ng’enda anaukwaa wadhifa huo, akimrithi Mirumbe Chacha kuwa Katibu wa Uchumi na Fedha wa chama hicho. Taarifa ya uteuzi wa Ng’enda inakuja siku moja baada ya jina lake…

Read More

Hewa yenye sumu katika mji wa bandari wa Tanzania inatishia mamilioni, watafiti wanaonya – maswala ya ulimwengu

Umati wa watu katika kitovu cha biashara cha Kariakoo huko Dar es salaam, ambapo uchafuzi wa hewa umeenea. Mikopo: Kizito Makoye Shigela/IPS na Kizito Makoye (Dar es Salaam, Tanzania) Jumatano, Septemba 24, 2025 Huduma ya waandishi wa habari DAR ES SALAAM, Tanzania, Septemba 24 (IPS) – Siku ya mchana moto huko Kariakoo, kitovu cha biashara…

Read More

Simulizi tamu ya Tepsie Evance na Okello wa Yanga

STAA wa zamani wa Simba na Taifa Stars, Shaban Kisiga aliwahi kusema kipaji kinakijua kipaji kingine hata kama wachezaji wanacheza timu tofauti. Hali hiyo imetokea kwa winga wa Azam anayecheza JKT Tanzania kwa mkopo, Tepsi Evance ambaye jina la utani wanamwita Okello. Kauli ya Kisiga ilitokana na kiungo wa zamani wa Yanga, Haruna Niyonzima aliyewahi…

Read More

Mgombea ubunge aahidi benki ya wafugaji Ngorongoro

Ngorongoro. Mgombea ubunge wa Jimbo la Ngorongoro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yannick Ndoinyo, ameahidi kuanzisha benki ya wafugaji endapo atachaguliwa, ili kuwawezesha wakazi wa eneo hilo hasa wafugaji kupata huduma za kifedha kwa urahisi, ikiwemo mikopo yenye masharti nafuu. Mbali na hilo pia ameahidi kuanzisha kiwanda cha kusindika nyama ili wafugaji hao waweze kunufaika…

Read More

BHOJANI AMWOMBEA KURA RAIS DK.SAMIA KISUTU

MGOMBEA Udiwani wa Kata ya Kisutu, Tousif Bhojani, amewataka wananchi wa kata hiyo kumpa kura za kishindo  mgombea urais kwa kitekiti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi mkuu wa Okotoba 29 mwaka huu.  Ameyasema hayo Dar es Salaam, leo baada ya kurejesha fomu ya uteuzi wa  udiwani katika Ofisi…

Read More

TBS na udhibiti wa bidhaa hafifu

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wazalishaji, wasambazaji, wafanyabiashara na waingizaji wa bidhaa nchini kuhakikisha bidhaa wanazozalisha au kuuza zinakidhi matakwa ya viwango na ubora ili kulinda afya za wananchi na kutimiza azma ya Serikali ya kuhakikisha upatikanaji wa bidhaa bora sokoni. Akizungumza leo Septemba 1, 2025 na waandishi wa…

Read More