Fanya Hivi Kama Unaona Mpenzi Wako Hamuendani!

NI Jumanne nyingine tunakutana kwenye eneo letu la kupeana elimu ya uhusiano. Ulimwengu huu ni mzuri kama utampata mtu sahihi. Mtu ambaye mnapendana kwa dhati na hakuna hata mmoja wenu ambaye anamsumbua au kumyanyasa mwenzake.  Kizazi cha sasa kimetawaliwa na ugomvi, usaliti, tamaa na kila aina ya mambo mabaya. Bahati mbaya sana hata wale walioko…

Read More

Mchezo wa Kabaddi ulivyo na namna unavyochezwa

INAWEZEKANA ulishawahi kusikia mchezo unaoitwa Kabaddi na unatamani kujua kiundani mchezo huo namna unavyochezwa au unaona unavyoochezwa lakini huelewi. Lakini unatakiwa ufahamu kwamba, ili kukusanya pointi, huko inabidi kazi kubwa ifanyike. Kabla ya kwenda mbali, unatakiwa ufahamu kwamba, Kabaddi ni mchezo wa kale wenye asili ya India, uliotokana na mazoezi ya kivita na mbinu za…

Read More

Nashon aichomoa Simba mkwanja wa maana

KIKOSI cha Simba jana kilikuwa kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo Mbweni, jijini, Dar es Salaam, kucheza dhidi ya TRA United, huku kiungo mpya wa timu hiyo, Kelvin Nashon, akiingiza zaidi ya Sh230 milioni, ili kukamilisha dili hilo. Mechi hiyo ya Ligi Kuu, ni ya raundi ya pili, baada ya ile ya kwanza iliyopangwa kufanyika…

Read More

Muacheni Yakoub akapambane na Camara

UKIONA mchezaji anasajiliwa na hizi timu zetu mbili kubwa za Kariakoo, yaani Simba na Yanga ukute ana kitu ambacho zimekitathimini na kuona kama kinaweza kusaidia kuimarisha vikosi vyao. Sasa mchezaji kusajiliwa huwa ni jambo moja na kwenda kuipa timu iliyomsajili matunda chanya hubakia kuwa jambo lingine ambalo linaweza kutokea au lisitokee. Kijiweni hapa huwa tunashangaa…

Read More

NMB yatangaza neema kwa wadau wa utalii

Dar es Salaam. Wakati sekta ya utalii nchini Tanzania ikiendelea kuwa kinara katika uingizaji wa fedha za kigeni, wadau na wafanyabiashara wanaohusika kwenye sekta hiyo wamehakikishiwa ushirikiano ili kuendelea kukua kwa kasi. Kwa mujibu wa takwimu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT), zaidi ya watalii milioni 5.3 wametembelea vivutio na hifadhi mbalimbali nchini na kuingiza…

Read More