Goti la uchumba la mwanamume mjadala mpana

Dar es Salaam. Ilikuwa siku ya furaha, lakini tukio la Steven Mabula, kupiga goti mbele ya Marietha Lazaro alipomvisha pete ya uchumba, lilitia doa hafla hiyo. Wapo walioelewa ishara ya tukio hilo, lakini haikuwa hivyo kwa baba wa Steven. Aliamini kijana wake amekiuka misingi ya mila na desturi. “Nilipiga goti bila kufahamu ishara hiyo ina…

Read More

Madagascar, Sudan mmetupa somo CHAN

KIJIWE kilipoa sana baada ya Taifa Stars kutolewa na Morocco katika robo fainali ya mashindano ya CHAN 2024 ambayo kesho Jumamosi yatafikia tamati. Hatuwezi kuchangamka na huku timu ambayo inasimama kama alama ya kutuunganisha Watanzania na mwenyeji, kuaga katika ardhi ya nyumbani. CHAN imetufunza mengi na miongoni mwa masomo tumeyapata kwa timu mbili za Madagascar…

Read More

Usichofahamu kuhusu waziri wa kwanza mwanamke Tanzania

Imeandikwa na Mzee wa Atikali: Buriani mama yangu mkubwa Tabitha Siwale, waziri wa kwanza mwanamke “Mama Tabitha Siwale became Tanzania’s first female Minister in 1975”. Prof. M. Mwandosya, Jan. 20, 2014. “Pole sana Ganga. Hiki ni kilio chetu sote tuliomfahamu Mama Siwale na Taifa pia. Mama Siwale alifungua njia za uhuru wa wanawake kujieleza na…

Read More

Ahadi Katiba mpya zawaibua Warioba, wanasheria nguli

Dar es Salaam. Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Jo-seph Warioba amesema licha ya ahadi za kuvutia kuhusu uanzishwaji wa mchakato wa Katiba mpya, nyuma ya kauli hizo kuna kikwazo cha utashi wa kisiasa kinachodhoofisha upatikanaji wake. Amesema kutokana na kikwazo hicho mara nyingi tume na taasisi zinazoundwa kuhusiana na suala hilo, huegemea zaidi katika masilahi binafsi…

Read More

CGIAR Inakuza Ustahimilivu wa Wakulima Katika Kukabiliana na Mishtuko ya Hali ya Hewa – Masuala ya Ulimwenguni

Ismahane Elouafi, Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Muungano wa Vituo vya Kimataifa vya Utafiti wa Kilimo (CGIAR). Credit: CGIAR na Umar Manzoor Shah (baku) Jumamosi, Novemba 16, 2024 Inter Press Service BAKU, Nov 16 (IPS) – Wakati mazungumzo ya COP29 yakiendelea huko Baku, viongozi wa kilimo wanatoa hitaji la kuhimili hali ya hewa na masuluhisho yanayotokana…

Read More

Dira ya 2050 ndani ya jicho la wadau wa elimu

Dar es Salaam. Wadau wa elimu nchini wameendelea kuitazama Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2050 kwa jicho la matumaini makubwa, hasa katika nguzo ya pili inayohusu “Uwezo wa Watu na Maendeleo ya Jamii”. Kwa mujibu wa dira  hiyo, elimu ni injini kuu ya maendeleo ya watu na jamii, na hivyo uwekezaji wake unaelekezwa katika…

Read More

Gharama za kahawa, chai na kakao zinashuhudia muswada wa uagizaji wa chakula duniani ukipanda zaidi ya dola trilioni 2 – Masuala ya Ulimwenguni

Ya mara mbili kwa mwaka ripotiambayo inaangazia maendeleo yanayoathiri soko la kimataifa la chakula na mifugo, inaangazia kwamba gharama kubwa zaidi za kakao, kahawa na chai ndizo zinazochangia ongezeko hilo, huku tofauti za bili zikiendelea katika viwango vya mapato. Bei ya kakao imepanda karibu mara nne wastani wao wa miaka kumi mapema mwaka huu, bei…

Read More