DC MNZAVA AMSHUKURU RAIS SAMIA AKIONGEZA BAJETI YA MOSHI
Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Godfrey Mnzava, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuiwezesha Manispaa ya Moshi kupata ongezeko la bajeti ya shilingi bilioni 4 kwa mwaka wa fedha 2025/2026 — hatua anayoitaja kuwa ni uwekezaji mkubwa wa Serikali ya Awamu ya Sita katika kasi ya maendeleo ya…