SERIKALI KUNUNUA MATREKTA 10,000-DKT. MWIGULU

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imepanga kununua matrekta 10,000 na kuanzisha vituo jumuishi 1,000 vya huduma za zana za kilimo katika ngazi ya Kata, hatua itakayoongeza tija, kupunguza gharama na kuwapa wakulima muda zaidi wa kushiriki shughuli nyingine za kiuchumi. Ametoa kauli hiyo leo Jumanne, Februari 3, wakati akifungua Mkutano wa Kwanza wa…

Read More

DIGITAL MINERAL MARKET TRANSFORMS TRADE IN SINGIDA

Stakeholders Laud Transparent Indicative Pricing System as Small Scale Output Soars Singida Mineral sector stakeholders in Singida Region have hailed the Singida Mineral Market as a game changer, citing significant improvements in transparency, fairness and efficiency driven by the adoption of a digital indicative pricing system. Artisanal miners, mineral processors and traders operating in the…

Read More

Vikwazo matibabu ya kisukari nchini vyatajwa

Unguja. Wakati wagonjwa wa kisukari wakiongezeka, usambazaji usiothabiti wa dawa ya insulini hususani maeneo ya vijijini, gharama kubwa na uwezo mdogo wa familia nyingi kumudu matibabu, vimetajwa kuwa vikwazo katika kupambana na ugonjwa wa kisukari. Pia, utegemezi mkubwa wa insulini kutoka mataifa ya Ulaya, upungufu wa wataalamu na uelewa mdogo wa jamii kuhusu dalili za…

Read More

MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WAWASILISHA TAARIFA ZA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO KWA NGAZI YA KATA

Na Nasra Ismail, Geita. Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Geita leo Februari 3,2026 katika Mkutano wake wa Kawaida wa robo ya pili kwa mwaka 2025/26 limewasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za maendeleo kwa ngazi ya kata. Awali akizungumza katika baraza Hilo katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri uliopo Nzera,  Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri…

Read More

Ukonga Kings imerudi Ligi ya Kikapu Dar

TIMU ya Ukonga Kings imerejea katika Ligi Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), baada ya kuifumua Magone kwa mechi 2-0 katika nusu fainali ya Ligi Daraja la Kwanza, na hivyo kujihakikishia nafasi ya kucheza fainali huku ikijikatia tiketi ya kupanda daraja. Itakumbukwa kwamba Ukonga Kings ilishuka daraja 2023, ambapo awali 2022 timu hiyo iliyolewa…

Read More

Makocha wagusia kutojiamini kikapu | Mwanaspoti

IMEKUWA ni kawaida kwa baadhi ya wachezaji wazawa wa kikapu nchini kutojiamini katika mechi wanazocheza kutokana na aina ya ushindani wanaokutana nao kutoka kwa wachezaji wa timu pinzani. Makocha wakongwe wa kikapu wamezungumzia sababu zinazochangia hilo kutokea wakidai licha ya hofu kuwa jambo la kawaida, lakini ina sababu zingine nje ya ukweli ubora wanaoweza kuwa…

Read More