RAIS DKT.SAMIA AANZA ZIARA YA KIKAZI DUBAI,UAE KUFANYA MAZUNGUMZO NA VIONGOZI NA WADAU WA KIMATAIFA
Leo Jumanne, Februari 3, 2026, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ameanza ziara ya kikazi hapa Dubai, UAE kwa kufanya mazungumzo na viongozi na wadau wa kimataifa. Katika ratiba ya leo, Rais Samia anakutana na Mhe. Gaston Browne, Waziri Mkuu wa Antigua and Barbuda, pamoja na kufanya mazungumzo ya…