Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy
Michezo

Simba ni Misri au Uturuki

July 8, 2025 Admin

MABOSI wa Simba SC kwa kushirikiana na benchi la ufundi la timu hiyo wameanza mikakati ya maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26, ambapo imefahamika kuwa

Read More
Habari

NELSON MANDELA KAMBI YA KITAIFA KWA WANAFUNZI WA PROGRAMU YA SAMIA EXTENDED SCHOLARSHIP DSA+

July 8, 2025 Admin

  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Kituo cha Tehama Rasimali (ICT-RC) katika Taasisi ya NM-AIST

Read More
Michezo

Beno Ngassa ajibana Dodoma Jiji

July 8, 2025 Admin

WINGA machachari, Beno Ngassa amejiunga na timu ya Dodoma Jiji kwa mkataba wa miaka miwili kuitumikia katika msimu ujao. Ngassa alikuwa na wakati mzuri kwenye

Read More
Habari

RAIS DKT.SAMIA APOKEA TUZO MAALUM ‘POWER OF 100 WOMEN AWARD’ KUTOKA BENKI YA ACCESS TANZANIA GROUP JIJINI DAR

July 8, 2025 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Access

Read More
Michezo

Sita wakalia kuti kavu KMC FC

July 8, 2025 Admin

MASTAA sita wakalia kuti kavu KMC,wasubiri kikao cha mabosi kufanya maamuzi ya hatima ya kusalia kwao ndani ya klabu hiyo, baada ya mikataba yao kumalizika.

Read More
Habari

Wataalamu serikalini kutathmini uendeshaji bora bandari ya uvuvi Kilwa

July 8, 2025 Admin

Lindi. Wakati Bandari ya Uvuvi Kilwa ikitarajiwa kukamilika mwaka huu, wataalamu kutoka Wizara ya Uchukuzi na Wizara ya Mifugo na Uvuvi wameunda kamati ndogo ya

Read More
Habari

Wagonjwa wa ngozi waongezeka Bugando yashauri uvaaji kofia, nguo ndefu

July 8, 2025 Admin

Mwanza. Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando imesema magonjwa ya ngozi yameongezeka kwa wananchi kutokana na mabadiliko ya tabianchi, uchafuzi wa hali ya hewa na

Read More
Habari

Vifaranga milioni 2.5 vya matango bahari, samaki vyazalishwa kuchochea uchumi wa buluu

July 8, 2025 Admin

Unguja. Katika kuhakikisha rasilimali za uchumi wa buluu zinakuwa na kunufaisha wananchi, vifaranga milioni 2.5 vya samaki na matango bahari vimezalishwa visiwani Zanzibar. Kati ya

Read More
Habari

Barrick yaingiza Sh12 trilioni katika uchumi wa Tanzania

July 8, 2025 Admin

Bulyanhulu. Kampuni ya Barrick imewekeza Dola 4.79 bilioni za Marekani(Sh12 trilioni) katika uchumi wa Tanzania katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. Barrick imeeleza hayo Jumatatu

Read More
Habari

Wafanyakazi maeneo haya wapo hatarini kuugua ‘Silicosis’

July 8, 2025 Admin

Shinyanga. Watu wanaofanya kazi katika maeneo yanayozalisha vumbi ikiwemo migodini, mashineni na maeneo mengine kama hayo wametajwa kuwa hatarini kuugua ugonjwa wa Silicosis. Ugonjwa huo

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 5 6 7 … 3,690 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.