Pamba Jiji yataka mashine moja tu dirisha dogo

PAMBA Jiji kwa sasa ipo katika nafasi ya tatu katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, lakini hiyo haina maana kama benchi la ufundi la timu hiyo limeridhika, kwani limesema lipo katika msako wa beki wa kati na linapanga kuwatema nyota kadhaa ili kuimarisha kikosi kwa ngwe inayofuata. Timu hiyo iliyorejea Ligi Kuu msimu uliopita baada…

Read More

Teknolojia ya kidijitali inavyobadili samani za ndani

Dar es Salaam. Mabadiliko ya mitazamo na mitindo ya matumizi ya samani nchini Tanzania yamesababisha kuongezeka kwa bidhaa zenye nakshi na mapambo ya kisasa. Miongoni mwa vipengele vinavyoongeza mvuto huu ni matumizi ya taa za LED ambazo hutumia nishati ndogo kuliko balbu za kawaida, pamoja na mifumo ya kusokota au kuzunguka (rotating systems) na vifaa…

Read More

Brayson: Mbinu zimetubeba JKT Tanzania

BEKI wa JKT Tanzania, David Bryson amekimwagia sifa kikosi cha timu hiyo kilichoanza kwa kasi kubwa msimu huu katika Ligi Kuu, huku akifichua kilichowabeba ni mbinu za kocha Ahmad Ally sambamba na wachezaji kutekeleza kila walichoelekezwa. Brayson aliwahi kuichezea Yanga na KMC kabla ya kutua JKT Tanzania ambayo ameitumikia kwa misimu miwili sasa. Beki huyo…

Read More

UN inaonya juu ya ‘udhalilishaji wa kikanda’ kama Vurugu za DR Kongo zinaongezeka 500,000 – Maswala ya Ulimwenguni

Msemaji wa naibu wa UN alisema Katibu Mkuu António Guterres “alishtushwa sana” na upasuaji katika shambulio kwenda Kivu Kusini, ambapo kile kinachojulikana kama Alliance Fleuve Kongo/Mouvement du 23 Mars (AFC/M23) imeendelea katika miji kadhaa tangu 2 Desemba. UN na Baraza la Usalama wameelezea mara kwa mara wanamgambo wengi wa Tutsi M23 kama wanaungwa mkono na…

Read More

Hali tete maelfu wakimbia DRC, raia wasota kutafuta hifadhi

Dar es Salaam. Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeingia tena katika taswira mpya ya machafuko, ikiwa ni mfululizo wa miaka mingi ya ghasia ambazo zimelifanya eneo hilo kuwa kitovu cha vita visivyokoma. Mashambulizi ya waasi wa M23 yameibuka tena yakishika kasi katika hali inayovuruga makubaliano ya amani yaliyofanyika wiki iliyopita yakipewa matumaini…

Read More

Jeshi la Polisi lathibitisha kumkamata Waziri wa zamani Mwambe

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limethibitisha kumshikilia Waziri wa zamani, Geofrey Mwambe, tangu usiku wa Desemba 7, 2025 alipokamatwa katika eneo la Tegeta, Kinondoni, kwa tuhuma zinazohusiana na makosa ya jinai ambayo bado hayajatajwa, yanayoendelea kuchunguzwa. Taarifa ya polisi iliyotolewa leo Desemba 12, 2025 imeeleza kuwa Mwambe, waziri wa zamani wa katika…

Read More

Sababu vifo vya mapema kwa wanaoishi na VVU

Kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2024 za Shirika la Afya Duniani (WHO), takribani watu milioni 40.8 walikuwa wakiishi na VVU duniani na watu 630,000 walikufa kutokana na magonjwa yanayohusiana na Ukimwi. Eneo la Afrika ndio ambalo limeathiriwa zaidi, likichangia theluthi mbili ya watu wote wanaoishi na VVU duniani. Hasa nchi za kusini mwa jangwa…

Read More