A – Z: Biashara Ya Mafuta Ya Magendo Inavyofanyika Tanzania, Bandari Bubu Hatari Zatajwa – Video

Global Publishers March 26, 2026 0 Comments Uchunguzi uliofanywa na Global TV kupitia makala yake maalum umeweka wazi ukweli unaoshtua kuhusu biashara ya mafuta ya kula ya magendo nchini. Biashara hii, ambayo imekuwa ikisambaa kimyakimya, inaonekana kuwa na mtandao mpana unaovuka mipaka na kuhusisha wahusika mbalimbali kutoka ngazi ya usafirishaji hadi wauzaji wa rejareja. Kwa…

Read More

SMZ yajifunga kitanzi upatikanaji umeme wa uhakika kwa wawekezaji

Unguja. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema inaendelea kuchukua hatua madhubuti kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa umeme wa uhakika visiwani humo, huku ikiahidi kuwa ifikapo mwaka 2028 tatizo hilo litakuwa historia. Hatua hiyo imekuja wakati Zanzibar ikiendelea kutegemea umeme unaosafirishwa kutoka Tanzania Bara kupitia nyaya za chini ya bahari, hali inayokabiliwa na changamoto kutokana…

Read More

Watengeneza maudhui nchini wapewa elimu ya fedha

Dar es Salaam. Wakati tasnia ya uzalishaji maudhui mtandaoni ikizidi kushika kasi nchini, watengeneza maudhui hao (content creators) wametakiwa kuzingatia matumizi ya fedha, kuweka akiba, kusimamia miradi yao, pamoja na elimu ya uwekezaji. Sambamba na hilo wametakiwa kuzingatia ulinzi wa taarifa binafsi wakati wa kuandaa maudhui yao, lugha za kigeni ili wauze nje, bila kusahau…

Read More

ALAF Yaahidi Kuendelea Kuwekeza Katika Afya za Wafanyakazi Kupitia Kili Marathon

Moshi, Tanzania – Kampuni ya ALAF Limited imeahidi kuendelea kuwekeza zaidi katika afya za wafanyakazi wake kwa kuhimiza ushiriki wao katika shughuli za michezo, ikiwemo mbio za Kilimanjaro Premium Lager International Marathon zilizofanyika hivi karibuni mkoani Kilimanjaro. Akizungumza mara baada ya mgeni rasmi, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, kutembelea banda la…

Read More