Nderiananga azindua nyaraka za miongozo ya usimamizi wa maafa kwa Wilaya ya Kibiti 

Na Gustaphu Haule, Mtanzania Digital  NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Ummy Hamis Nderiananga, amezindua nyaraka za miongozo ya usimamizi wa masuala ya maafa kwa Wilaya ya Kibiti mkoani Pwani na kuwataka watendaji wa Wilaya hiyo  kuiweka ajenda ya maafa katika vikao vya ushauri vya Wilaya (DCC). Nderiananga amezindua nyaraka hizo juzi Wilayani…

Read More

Huduma za fedha kidijitali zitakavyoboresha kilimo nchini

Dodoma. Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imeeleza namna huduma za mawasiliano na fedha kidijitali zitakavyoboresha kilimo ambacho kinachangia asilimia 30 ya pato la Taifa. Imeelezwa kuwa wakulima walio wengi bado hawajafikiwa na huduma rasmi za kifedha katika shughuli zao ikiwemo ununuzi wa pembejeo. Hivyo, tume hiyo imesaini makubaliano ya kuingia katika ushirikiano wa…

Read More

NIC yaweka mikakati ya Bima ya Kilimo na Mifugo

Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa NIC Karimu Meshack akizungumza na Waandishi wa Habari kwenye Banda la NIC katika Maonesho ya Kitaifa ya Kilimo Nane Nane yanayofanyika Viwanja vya Nzuguni jijini Dar es Salaam. Na Chalila Kibuda,Michuzi TV NIC Insurance imesema kuwa Bima ya Kilimo ndio mkombozi Kwa wakulima wakati majanga ya kuharibiwa mazao. Hayo…

Read More

JK ndani ya Rombo Marathon & Ndafu Festival

RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk Jakaya Kikwete anatarajiwa kuongoza maelfu ya wanariadha wa mbio za  Rombo Marathon 2024, zinazoenda sambamba na tamasha ya vyakula asilia zitakazofanyika Desemba 23, Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro. Akizungumza na wanahabari, Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Raymond Mwangwala alisema wilaya hiyo imejipanga kupokea watu zaidi ya 3000 kutoka…

Read More

WAKURUGENZI WA NBAA WATEMBELEA BANDA LA BODI

Mkurugenzi wa Huduma za Shirika NBAA CPA Kulwa Malendeja pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu, APC Hotel & Conference Center CPA Wenceslaus W. Mkenganyi wakiwa kwenye picha ya pamoja na watumishi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya…

Read More

Yanga kupangwa na waarabu Aziz Ki asema jambo

KIPINDI hiki ambacho mashabiki wa Yanga wanazidi kupasuka vichwa kuhusu kundi ambalo timu hiyo limepangwa katika Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, kiungo wa zamani wa klabu hiyo Stephane Aziz KI ameizungumzia kwa mara nyingine timu yake hiyo ya zamani mara hii akisema bado ina uwezo wa kufanya makubwa. …

Read More