Elimu na maadili ni sawa na watoto pacha

Arusha. Katika safu hii ya gazeti la Mwananchi inayoitwa Elimu na Maadili, nimeandika makala zaidi ya 200 kuanzia mwaka 2021 hadi sasa. Ninavyoendelea kuandika kuhusu hoja hizo mbili, nimejikuta mara nyingi nashindwa kuzitofautisha, nikijiuliza hivi kweli unaweza kuzungumza juu ya elimu bila kugusa maadili, au inawezekana kujadili maadili bila kujadili elimu? Tukumbuke hapa kwamba natumia…

Read More

Rais Samia amteua Makalla RC Arusha

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi, Agosti 23, 2025 amemteua Amos Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha (RC) kuchukua nafasi ya Kenani Kihongosi. Awali, Makalla alikuwa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) nafasi ambayo Halmashauri Kuu ya CCM, imemteua Kihongosi kuishika. Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano…

Read More

Kenya yaunda kamati ya ushindi ya Odinga – DW – 05.06.2024

Kwenye hotuba ya pamoja kwa wanahabari, Waziri Mwandamizi ambaye pia ni waziri wa masuala ya kigeni, Musalia Mudavadi, amesema kuwa Rais William Ruto angali anampigia debeRaila kupata kiti hicho. Mudavadi amethibitisha kuwa kamati hiyo iliyoundwa inawajumisha washirika wa kisiasa wa Raila pamoja na maafisa wa serikali na lengo lake kubwa ni kusaidia mchakato wa kampeni….

Read More

CITY BULLS, JKT PAMOTO DAR KESHO

UWANJA wa kikapu wa DB Osterbay unatarajiwa kuwaka moto wakati timu kongwe za kikapu nchini, JKT na Vijana (City Bulls) zitakapochuana kesho katika mchezo wa Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Mchezo huo unasubiriwa kwa hamu na wapenzi wa kikapu mkoani humo kutokana na upinzani mkubwa zilio nao timu hizo.  Timu…

Read More

Blinken amsisitizia Netanyahu akubali kusitisha vita Gaza – DW – 19.08.2024

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema mkutano wa saa tatu kati yake na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken ulikuwa mzuri. Blinken anatazamiwa kusafiri kesho Jumanne kwenda Cairo, Misri ambako mazungumzo ya kusitisha mapigano yanatarajiwa kuanza tena wiki hii. Soma Pia:   Kamala Harris aashiria mabadiliko makubwa kwenye sera ya Marekani kuhusu Gaza.   Mkutano…

Read More

ACT-Wazalendo, CCM wanavyonyosheana vidole uvunjifu amani Zanzibar

Unguja. Wakati Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi akieleza kuna kauli zimeanza kutolewa kuashiria uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, Chama cha ACT-Wazalendo kimesema hakuwezi kuwa na amani kama hakuna haki. ACT-Wazalendo imesema licha ya viongozi wakuu kuhubiri amani, lakini matendo yanayotendeka yanaonesha hakuna nia ya dhati ya kuleta amani visiwani humo….

Read More

Mwanafunzi Udom afariki dunia mafunzoni Udzingwa

Morogoro. Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linachunguza taarifa ya kifo cha mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Hezekiel Petro (21) aliyekufa maji kwenye maporomoko ya maji Sanje yaliyopo Hifadhi ya Taifa ya Udzungwa, Kata ya Sanje, Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu, Desemba 23, 2024 mjini hapa, Kamanda…

Read More