
Jaji Mutungi aonya kauli za wanasiasa zinazochochea uvunjifu wa Amani
Dar es Salaam. Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amewataka viongozi wa vyama vya siasa nchini kuchunga kauli zao kwa sababu zinaweza kusababisha uvunjifu wa amani hasa kipindi hiki taifa likielekea kwenye chaguzi. Jaji Mutungi amebainisha hayo leo Septemba 26, 2024 jijini Dar es Salaam baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa viongozi…