RC Malima aagiza madiwani Gairo kununuliwa vishikwambi

Morogoro. Katika kuhakikisha utendaji unakwenda kwa kasi ya sayansi na teknolojia, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amemuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya Gairo, Sharifa Yusuph kuwanunulia madiwani wote vishikwambi. Malima amesema lengo la vishikwambi hivyo ni  kupunguza gharama za matumizi ya karatasi ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi kwenye halmashauri hiyo. Malima ameyasema hayo…

Read More

Kaseja mabosi wake wamemuelewa | Mwanaspoti

UONGOZI wa Kagera Sugar ya kocha Juma Kaseja, umesisitiza kwamba una imani na staa huyo aliyepewa timu hivikaribuni na tena walichelewa kumpa kazi hiyo. Kaseja ambaye alianza kazi mwanzoni mwa mwezi machi,Baada ya kuondoka kwa kocha Melis Medo aliyetimkia zake Singida Black Stars. Kabla ya uwepo wa kocha huyo,Kagera ilikuwa na rekodi ya kucheza mechi…

Read More

19 zachuana kuwania ubingwa Gymkhana

TIMU 19 za soka zitachuana kuwania ubingwa wa Kombe la TBA katika fainali zitakazofika kilele, Julai 19 katika viwanja vya Gymkhana, Dar es Salaam. Mikikimikiki ilianza Julai Mosi kwenye viwanja hivyo vya Gymkhana, huku lengo kubwa likiwa kuboresha afya kwa timu shiriki ambazo zinamilikiwa na taasisi za mabenki hapa nchini. Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa…

Read More

Nyota Tanzania Prisons wapata ahueni

TANZANIA Prisons kukaa nafasi ya 11 katika Msimamo wa Ligi Kuu ikiwa imecheza mechi 28, imeshinda nane, sare sita, imefungwa 14 na kukusanya pointi 30 ni kicheko kwa wachezaji wa timu hiyo wakiamini kwamba wamepata ahueni. Kipa wa timu hiyo, Mussa Mbisa amesema walikuwa wanaishi kwa presha kubwa na kuumiza vichwa namna ya kuhakikisha timu…

Read More

Wafanyabiashara Mbeya, Mwanza wakomaa na mgomo, Iringa nao walianzisha

Mbeya/Iringa/Mwanza. Wakati wafanyabiashara katika mkoa ya Mbeya na Mwanza wakiendelea na mgomo waliouanza jana, mkoani Iringa nako wamegoma. Mgomo wa wafanyabiashara hao wa maduka jijini Mbeya na Mwanza ulianza jana Juni 25, unalenga kuishinikiza Serikali kuondoa utitiri wa kodi na tozo mbalimbali ambazo si rafiki kwa wafanyabiashara. Leo Jumatano Juni 26, 2024, Mwananchi Digital ambayo…

Read More

TMA yaeleza chanzo mvua zinazoendelea kunyesha nchini

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua zinazoendelea kunyesha kwenye maeneo mbalimbali nchini hivi sasa ni za nje ya msimu ambazo zinasababishwa na upepo unaotoka baharini. Imesema mvua za msimu wa vuli bado hazijaanza na zitaanza mwanzoni mwa Oktoba hadi Desemba 2024 huku zikitarajiwa kuwa za wastani na chini ya…

Read More

MTOTO AMEPOTEA, ANATAFUTWA – MICHUZI BLOG

MTOTO REGNALDO SAMWELI MSUYA MIAKA( 16 ) ANATAFUTWA, INADAIWA ALIONDOKA NYUMBANI KWAO 15/12/2024 HADI SASA HAJULIKANI ALIPO.    NYUMBANI KWAO NI KINONDONI MTAA MWANANYAMALA KWA KOPA, DAR ES SALAAM. ANASOMA SHULE YA SECONDARY MAKUMBUSHO KIDATO CHA TATU.  KWA YOYOTE ATAKAYE MUONA TUNAOMBA ATOE TAARIFA KWANYE KITUO CHOCHOTE CHAPOLICE KILICHO KARIBU.TAARIFA NAMBA YA POLISI NI MWJ/RB/1893/2024AU…

Read More

Wabunge wapinga ongezeko la Sh382 bei ya gesi

Dodoma. Baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wameitaka Serikali kuondoa ongezeko la Sh382 kwenye bei ya gesi inayotumika kwenye magari badala yake iongeze vituo vya utoaji wa gesi na kuweka ruzuku kwenye vifaa vya matumizi ya gesi. Wamesema hayo wakichangia makadirio ya bajaeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/2025, ambapo…

Read More