Mgombea udiwani Tanga aahidi kusaka mwarobaini mikopo kausha damu

Tanga. Mgombea udiwani wa Kata ya Msambweni, jijini Tanga kupitia chama cha ACT-Wazalendo, Bakari Idd Chuo ameahidi kutafuta njia mbadala ya kupata mikopo nafuu kwa wananchi wake na kuepukana na ile ya “kausha damu,” ambayo imesababisha baadhi ya ndoa kuvunjika. Akizungumza katika kampeni zake za kujinadi zilizofanyika maeneo ya Tamta, Kata ya Msambweni, jijini Tanga,…

Read More

BULALA AZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KWIMBA KWA NDEREMO NA VIFIJO VYA KIHISTORIA

Uzinduzi wa kampeni za uchaguzi katika Jimbo la Kwimba zimeacha alama yankudumu baada vya kuzinduliwa kwa nguvu na hamasa kubwa atika Kata ya Hungumalwa, ambapo wananchi zaidi ya 7,000 walihudhuria mkutano wa  Katika uzinduzi huo wa kihistoria, kijana Cosmas Bulala alitambulishwa rasmi kama  kama Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kwimba huku comrade Shija Malando akitambulishwa rasmi kuwa…

Read More

Othman ataja mbinu za kuwawezesha wananchi

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman ameeleza namna Serikali itakayoundwa na chama hicho, itakavyowawezesha Wazanzibari kujikwamua kiuchumi. Amesema ACT-Wazalendo, ina mipango lukuki ya kuwawezesha Wazanzibari ikiwemo kuwasaidia wananchi wenye kipato duni au wasiokuwa na njia ya kujipatia kipato. “Hawa ndio wale waliokuwa wamekaa tu au kugalagala bila…

Read More

Simba kuna sapraizi | Mwanaspoti

UKIWEKA kando kile kilichotokea usiku wa jana pale kwenye Dimba la Obed Itani Chilume lililopo Francistown, Botswana, Simba imewaandalia sapraizi mashabiki wake jijini Dar es Salaam ikiwa ni kuwafuta machozi baada ya kupigwa katika Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga. Sapraizi hiyo ni katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali…

Read More

Simba kuna sapraizi | Mwanaspoti

UKIWEKA kando kile kilichotokea usiku wa jana pale kwenye Dimba la Obed Itani Chilume lililopo Francistown, Botswana, Simba imewaandalia sapraizi mashabiki wake jijini Dar es Salaam ikiwa ni kuwafuta machozi baada ya kupigwa katika Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga. Sapraizi hiyo ni katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali…

Read More

Mwanafunzi aliyeuawa, mwili kuchomwa Mbeya azikwa

Mbeya. Mwili wa aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Mzumbe, Ndaki ya Mbeya, Shyrose Mabula, aliyeuawa kikatili kisha kuchomwa moto, umezikwa, huku waombolezaji wakipaza sauti kukemea tukio hilo, wakitaka wahusika wapatikane na kuchukuliwa hatua za kisheria. Maziko yamefanyika leo, Septemba 20, 2025, katika Makaburi ya Iwambi, mkoani Mbeya. Shyrose (21) alikutwa ameuawa, kisha mwili kuchomwa moto…

Read More

Wadau wa mazingira wito jamii kupambana na taka za plastiki

Mwanza. Wakati dunia leo, Septemba 20, 2025  ikiadhimisha Siku ya Usafi Duniani, wadau wa mazingira wameitoa wito kwa jamii kuchukua hatua madhubuti dhidi ya utupaji holela wa taka, hususan za plastiki, ambazo zimeelezwa kuwa na athari kubwa kwa viumbe hai na mazingira kwa ujumla. Akizungumza na wafanyabiashara wa soko la samaki Tampele baada ya kufanya…

Read More