ZPL kuongezwa thamani kuitangaza Zanzibar

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema lengo la kuwekeza fedha nyingi kwenye sekta ya michezo ni kuhakikisha inakuwa msingi unaowezesha kukuza vipaji, kuongeza ushindani na kuifikisha Zanzibar katika viwango vya kimataifa. Hayo yalielezwa na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi wakati alipokutana na uongozi wa taasisi ya Tanzania Securities Limited, Ikulu mjini Zanzibar….

Read More

MAHUBIRI: Nguvu ya maneno ya kinywa chako

Bwana Yesu asifiwe. Karibu kwenye tafakari ya neno la Mungu leo Jumapili. Ninaitwa Mchungaji Gasper Madumla. Somo letu la mahubiri linalotuongoza linasema “Nguvu ya maneno ya kinywa chako”.  Biblia inafundisha wazi kwamba maneno ya mwanadamu yana nguvu kubwa. Siyo sauti tu inayotoka kinywani, bali ni nguvu yenye uwezo wa kuumba, kujenga, au kubomoa. Ndiyo maana…

Read More

Ugumu Simba v TRA United uko hapa!

KUNA dakika 90 muhimu leo zitapigwa pale Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo Mbweni Jijini Dar es Salaam, Simba itakaporejea nyumbani kupambana na TRA United, kwenye mchezo ambao utakuwa wa ushindani mkubwa kila timu ikiwa inahitaji pointi tatu za jasho. Huu utakuwa mchezo wa mwisho kwa timu hizo kabla ligi kuu haijasimama kwa wiki mbili kupisha…

Read More

Mzenji TMA FC afunguka dili la Yanga

KOCHA wa TMA FC, Mzanzibar Haji Ali Nuhu, amesema hadi sasa hakuna makubaliano rasmi yaliyofikiwa kati yake na uongozi wa Yanga, kwa ajili ya kujiunga na kikosi cha timu za vijana, akiungana na Mohamed Badru, aliyewahi kufanya naye kazi. Kocha, Badru ambaye kwa sasa anasimamia programu ya Yanga Soccer School, iliyozinduliwa rasmi tangu, Novemba 15,…

Read More

Mtibwa vs Yanga mtego uko hapa!

YANGA inarudi uwanjani leo ikiendelea na ziara ya mechi za ugenini itakapokutana na Mtibwa Sugar na timu zote mbili zitakuwa na akili moja tu ya kushinda ili kujiweka kwenye nafasi nzuri. Huu utakuwa mchezo wa mwisho kwa timu zote kabla ligi haijasimama kupisha michezo ya timu za Taifa na Taifa Stars itakwenda Rwanda kushiriki michuano…

Read More

Mkataba wa Nashoni, Simba upo hivi!

SIMBA imefanya umafia baada ya kumsajili kiungo wa Singida Black Stars, Kevin Nashon kwa mkataba wa miaka miwili zikiwa ni siku chache tangu walipogomewa saini yake. Simba kabla ya kufanya maamuzi ya kumsainisha mkataba wa awali wa miaka miwili Nashon, ilishafanya utafiti wa kujua amebakiza muda gani Singida Black Stars. Nashon alijiunga na Pamba 04/08/2025 …

Read More

Rais Samia atahadharisha uhuru wa kuabudu usivuke mipaka

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kulinda uhuru wa kila Mtanzania kuabudu kulingana na imani yake, huku akisisitiza umuhimu wa kuheshimu mipaka ya uhuru huo ili kudumisha amani na mshikamano wa taifa. Ameyasema hayo leo Jumamosi, Machi 21, 2026 wakati akishiriki Baraza la Idd El-Fitr lililofanyika jijini Dar es Salaam. Akizungumza…

Read More

yanga yakwama kwa Mtibwa, Simba ishindwe yenyewe

Nuksi ya sare imeendelea kuiandama Yanga baada ya jana kulazimishwa sare ya bao 1-1 na Mtibwa Sugar katika Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Huo umekuwa ni mchezo wa tatu mfululizo kwa Yanga kupata matokeo ya sare tasa katika mechi mbili zilizopita dhidi ya Azam FC na TRA Unted. Sare hiyo inaonekana kuwa na faida kwa Simba…

Read More