Madhara yasababishwayo na ‘stress’ | Mwananchi
Mkazo au shinikizo kitabibu hujulikana kwa jina la ‘Stress’, ni hali ya mwitikio wa mwili kujihami au kujibu mapigo baada ya kupata tishio, changamoto, kuwa katika hatari au mahitaji ambayo mara nyingi husababishwa na wasiwasi unaomwelemea. Shinikizo la jumla lina athari kimwili pale linapoathiri akili na hisia na ndipo hujulikana kama shinikizo la akili. Hali…