AKILI ZA KIJIWENI: Mpanzu atulize mawenge anajua bolu

USAJILI ambao Simba iliufanya wa kumsajili Elie Mpanzu katika dirisha dogo la usajili ulikuwa gumzo kubwa nchini kutokana na jina ambalo mchezaji huyo kutoka DR Congo alikuwa nalo kabla hata hajaja. Ni jambo la kawaida kwa Watanzania kumpamba mtu hata kama hawajajiridhisha kwa kumtazama vya kutosha, wewe wape tu picha, maelezo wataandika wenyewe. Sasa Mpanzu…

Read More

Atupwa jela miezi sita kwa kufunga ofisi za kijiji

Simanjiro. Mkazi wa Kijiji cha Okutu Wilayani Simanjiro mkoani Manyara, Melkzedek Moikani (33) amehukumiwa kwenda jela miezi sita kwa kosa la kufanya fujo na kufunga ofisi ya kijiji kwa kufuli. Imeelezwa kuwa kitendo hicho kilizua hofu kwa wananchi waliofuata huduma katika ofisi hiyo, lakini pia kilikwamisha shughuli za maendeleo. Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatano Mei…

Read More

VIWANDA VYOTE NCHINI KUFANYA KAZI

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt Selemani Jafo amesema atahakikisha viwanda vyote vilivyowekezwa Tanzania anavisimamia ili viendelee kuzalisha na kuchangia uchumi na ajira kwa Watanzania. Dkt. Jafo ameyasema hayo Julai 08, 2024 alipotembelea Kiwanda cha Mbolea cha Itracom Fertilize Limited kilichopo Dodoma ikiwa ni baada ya kuingia ofisini kwake. Alisema jitihada za Serikali ya Rais…

Read More

TBC WATATOA FURSA SAWA KWENYE UCHAGUZI-TCRA

Na Derek MURUSURI, Dodoma SHIRIKA la Utangazaji Tanzania litaendelea kutoa fursa sawa kutangaza kampeni za vyama vyote vitakavyoshiriki uchaguzi wa mwaka huu na mwaka 2025. “Katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, TBC ilifuata ratiba ya kampeni ya vyama vya siasa, na kwingine TBC walifika na vyama vyenyewe havikufika,” alisema Mhandisi Andrew Kisaka, Meneja wa Kitengo…

Read More