Hii sasa sifa…. Yanga yashusha mwingine pale kati

HAWAJAMALIZA. Hivyo ndivyo unaweza kusema baada ya Yanga kuwa kwenye hatua za mwisho kumalizana na aliyekuwa beki wa kati wa Singida Fountain Gate, Abdulmajid Mangalo ili kuongeza nguvu eneo la ulinzi na kuchukua nafasi ya Gift Fred. Yanga eneo hilo la beki wa kati linaundwa na nahodha, Bakari Mwamnyeto ambaye ameongezwa mkataba wa kuendelea kubaki…

Read More

NBAA YAWANOA WAKUFUNZI KUHUSU MTAALA MPYA

        WAKATI serikali ikiendelea kuhamasisha matumizi sahihi ya fedha kwenye Taasisi ambazo inazisimamia ili kuweza kupatiwa hati safi baada ya kufanyiwa ukaguzi wa kimahesabu, Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi Tanzania (NBAA)  imewataka wakufunzi wanaofundisha masomo ya Uhasibu kuachana na njia za zamani za kufundishia na kujikita kwenye njia za kisasa…

Read More

DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA KUBORESHWA JULAI MWAKA HUU

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele akizungumza na waandishi wa habari Mjini Unguja, Zanzibar, leo tarehe 15 Mei, 2024, ambapo ametangaza kuwa uzinduzi wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura utafanyika tarehe 01 Julai, 2024. (Picha na INEC). Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji…

Read More

Kesi ya ‘waliotumwa na afande’ kuendelea Agosti 28

Dodoma. Kesi ya kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti wa Yombo Dovya, Dar es Salaam imeahirishwa hadi Agosti 28, 2024 kupisha shauri la maombi ya marejeo lililofunguliwa katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dodoma. Maombi ya marejeo namba 23476/2024 yamefunguliwa leo, Ijumaa Agosti 23, 2024 na Leonard Mashabara na yametajwa faragha mbele ya…

Read More

Maaskofu watema nondo kuelekea uchaguzi mkuu

Dar es Salaam/mikoani. Kilio cha haki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba, 2025, ni miongoni mwa mambo yaliyochukua nafasi kubwa kutoka kwa viongozi wa dini ya Kikristo nchini, ikiwa ni sehemu ya ujumbe wao katika mahubiri ya Ibada ya Ijumaa Kuu. Wameambatanisha ujumbe huo na msisitizo kwa Watanzania kuhakikisha wakati huu wa kuelekea uchaguzi, wanatumia…

Read More

Makada wawili wa Chadema watimkia ACT-Wazalendo

Dar es Salaam. Wanasiasa wawili waliokuwa sehemu ya kundi la G55 kutoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Emmanuel Ntobi na Glory Tausi, wamejiunga na ACT Wazalendo. Hatua ya wawili hao kutimkia ACT- Wazalendo inakuja wiki mbili tangu wanamuungano wenzao wa G55, walipotangaza kujiunga na Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma). Akizungumza baada ya hatua…

Read More