
Kituo cha uokozi ndani ya Ziwa Victoria chafikia asilimia 80
Mwanza. Ujenzi wa kituo kikuu cha utafutaji na uokozi ndani ya Ziwa Victoria umefikia asilimia 80, ukitoa matumaini ya kuokoa maisha wakati vyombo vya majini vinapozama ziwani humo. Kwa mujibu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (Tasac) zaidi ya watu 5,000 hufariki dunia kwa ajali zinazotokea ndani ya Ziwa Victoria kila mwaka katika kwa…