
TMA YATANGAZA TAHADHARI YA BARIDI KALI NA VUMBI YASIHI TAHADHARI YA KIAFYA
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari kuhusu uwezekano wa kuibuka kwa magonjwa yanayochochewa na baridi kali na vumbi katika msimu wa Juni hadi Agosti 2025 (JJA). Magonjwa hayo ni pamoja na ya macho, homa ya mapafu, na yale yanayoathiri mifugo pamoja na upungufu wa maji, malisho kwa mifugo. Tahadhari hiyo inahusu…