Makonda: Vyombo vya ulinzi, usalama vitokomeze rushwa

Arusha. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama mkoani hapa kushirikiana katika mapambano dhidi ya rushwa na kulindana ndani yao kwa kuwa madhara yake ni makubwa. Amesema vyombo hivyo vinapaswa kushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kuwabaini watendaji wenzao kwenye taasisi wanaokiuka maadili na kuwa…

Read More

KITUO CHA UWEKEZAJI TANZANIA (TIC) KUJENGWA ARUSHA

Mkurugenzi Mtendaji kituo cha uwekezaji Tanzania TIC Bw. Gilead Teri akizungumza na katika kongamano la uwekezaji katika Ukumbi wa mkutano Gran Melia Jijini Arusha, Aprili 30, 2024. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo akizungumza katika kongamano la uwekezaji kwenye sekta ya Utalii Jijini Arusha Leo 30april 2024 Waziri wa…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Karibu sana kocha Heric wa KenGold

NAKUKARIBISHA kwa moyo mkunjufu kocha wa mpira Vladislav Heric ambaye umepata shavu hapo KenGold FC ambayo inashiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Kocha, jambo la kwanza na la msingi nakuomba uangalie msimamo wa ligi na uione timu yako mpya ilipo. Ipo mkiani kabisa na ina pointi sita tu ilizopata kwenye mechi 16. Hadi jamaa wameamua kukufuata…

Read More

Usiyoyajua kuhusu Papa Leo XIV, kutembelea Tanzania

Dar es Salaam. Robert Prevost (69), sasa Papa Leo XIV akiwa wa kwanza kuchaguliwa kutoka Marekani na historia ya kipekee huku mwezi Septemba ukibeba siri nzito katika maisha yake. Septemba ndio mwezi aliozaliwa Leo XIV akiwa Papa wa 267, alioteuliwa kuwa kiongozi wa shirika la Mt Augustine, alioteuliwa kuwa askofu na ndio mwezi alisimikwa kuwa…

Read More

COP16 Huwasilisha kwa Watu Asilia, Mfuatano wa Kidijitali, Lakini Inashindikana Kwenye Fedha – Masuala ya Ulimwenguni

Picha ya mwanamke wa kiasili katika Mkutano Mkuu katika kikao cha COP16 ambacho kilichukua uamuzi wa kihistoria juu ya watu wa kiasili na jumuiya za mitaa. Mkopo: Stella Paul/IPS na Stella Paul (cali, Colombia) Jumapili, Novemba 03, 2024 Inter Press Service CALI, Columbia, Nov 03 (IPS) – Mapazia yaliangukia kwenye Mkutano wa 16 wa Vyama…

Read More

Mahakama yazuia shughuli za Chadema kwa muda

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imezuia kwa muda shughuli zote za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katibu mkuu, mawakala na wafuasi wa chama hicho kushiriki kwa namna yoyote hadi pale kesi ya msingi itakaposikilizwa. Pia, imeagiza mali zote za Chadema zisitumike mpaka pale kesi ya msingi itakaposikilizwa. Kesi ya…

Read More