Huyu ndiye Mirambo anayekaimu nafasi ya Kidao TFF

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemteua Oscar Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu wa shirikisho hilo akichukua nafasi ya Kidao Wilfred ambaye mkataba wake unafikia tamati Septemba 30 mwaka huu. Taarifa iliyotolewa leo Septemba 24, 2025 na Ofisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Cliford Mario Ndimbo, imesema: “Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira…

Read More

DK.NCHIMBI AMPA SALAMU ZA USHINDI WA KISHINDO DK.SAMIA BAADA YA KUPITA MIKOA 11 KUOMBA KURA KWA WANANCHI

*Ampongeza kwa uwezo wake wa kutafuta na kusimamia vizuri mgawanyo wa rasilimali fedha  *Asema heshima ya kumfanya kuwa msaidizi wake ni heshima ya wana Ruvuma wote. Na Said Mwishehe,Michuzi TV MGOMBEA Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema katika mikoa 11 ambayo tayari amefanya mikutano ya kampeni wananchi wameshasema…

Read More

Mwijage amkosha Maximo Kagame | Mwanaspoti

MIONGONI mwa wachezaji ambao kocha wa KMC, Marcio Máximo anavutiwa na uwezo wao kwenye kikosi hicho ni pamoja na Edson Erick Mwijage ambaye amepachika mabao mawili na kutoa asisti mbili katika mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame. Mwijage ambaye ni usajili mpya wa KMC akitokea Kagare Sugar ambayo ilishuka daraja msimu uliopita, amehusika katika mabao…

Read More

Watanzania wahimizwa kuwekeza UTT Amis wavune faida

Dar es Salaam. Uwekezaji katika mifuko ya uwekezaji ya taasisi ya Serikali inayosimamia na kuendeleza mifuko ya uwekezaji wa pamoja UTT Amis umetajwa kuwa bora, hakika na salama zaidi huku ukiwa na utajiri wa faida ya mtaji. Hayo yamebainishwa leo Alhamisi ya Septemba 4, 2025 wakati wa mjadala wa Mwananchi Space ulioandaliwa na Mwananchi Communications…

Read More

LAVENDER CATERING YAANDAA BATA LA MFUNGO

Katika tukio la kipekee kabisa kwenye kipindi hiki cha mfungo wa Ramadan na Kwaresma limegusa watu wengi katika kusheherekea kwa pamoja na familia zao kwa chakula kinacho andaliwa na wataalam na wabobezi wikiendi hii ya tarehe 28 February na 1 March 2026 MBEZI BEACH RAINBOW Dar es salaam. Lavender Catering itaandaa menu ya kifahari yenye…

Read More