Bodaboda zilivyosaidia kupunguza wezi, vibaka mtaani

Dar es Salaam. Wakati asilimia 68 na asilimia 78 ya wanaume na wanawake wakishuhudia ongezeko la vipato kupitia kazi ya bodaboda, Katibu Tawala mkoa wa Dar es Salaam, Dk Toba Nguvila amesema sekta hiyo imesaidia kupunguza wezi mitaani. Hiyo ni kwa sababu watu wengi ambao wangekuwa mtaani bila shughuli ya kufanya sasa wamekuwa wakijitafutia kipato…

Read More

PPAA mguu sawa kutumia kanuni za rufaa Julai 2024

Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imejipanga kuanza kutumia Kanuni za Rufaa za Ununuzi wa Umma za mwaka 2024 rasmi kuanzia tarehe 1 Julai 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Hayo yalibainishwa jana Jumatano na Katibu Mtendaji wa PPAA, James Sando Jijini Dodoma wakati wa kikao kazi cha kupokea maoni ya uandaaji wa Kanuni…

Read More

DKT. BITEKO AKOSHWA NA MUITIKIO KILI FAIR ARUSHA

 Na Jane Edward, Arusha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko, amefungua rasmi maonesho ya Karibu Kili-Fair yanayofanyika katika viwanja vya Magereza – Kisongo, jijini Arusha. Dkt. Biteko amesema sekta ya utalii ni mhimili muhimu wa uchumi wa taifa kwani inachangia asilimia 7.9 ya pato la taifa na pia ni…

Read More

TLP mguu sawa kampeni uchaguzi serikali za mitaa

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Chama cha Tanzania Labour (TLP) kimesema kitahakikisha kinawanadi wagombea wake zaidi ya 180 wanaoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kuwa wanaamini wote wana uwezo na watashinda. Akizungumza Novemba 21,2024 wakati wa kampeni zilizofanyika katika Mtaa wa Makuti A Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam Katibu Mkuu wa TLP,…

Read More

Benki ya NBC Yashiriki Kongamano la Afya Dar Es Salaam, Waziri Mkuu Majaliwa Aguswa na Jitihada Zake Kuboresha Sekta ya Afya.

Waziri Mkuu  Kassim Majaliwa amepongeza jitihada za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) katika kuendeleza sekta ya afya hapa nchini kupitia huduma za kibenki pamoja program zake mbalimbali zinazolenga kuboresha sekta hiyo muhimu. Waziri Mkuu Majaliwa alitoa pongezi hizo mapema leo alipotembelea banda la maonyesho ya huduma za benki hiyo mahususi kwa wadau wa sekta…

Read More

Fadlu afanya maamuzi magumu Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amesema licha ya wachezaji kuwa katika fomu nzuri ya ushindani, bado ana jambo la kufanya kwa wachezaji wake kabla ya kuvaana na Namungo wiki ijayo. Fadlu ameyasema hayo kutokana na Bodi ya Ligi (TPLB) kuhairisha mchezo wa Ligi Kuu baina ya timu hiyo na Dodoma Jiji, kufuatia ajali iliyowapata…

Read More

IPTL yaendelee kutikisika, deni lafikia bilioni 238

Moshi. Unaweza kusema jinamizi la kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) linaendelea kulitesa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), baada ya deni halisi na riba kufika Sh238.71 bilioni hadi kufikia Juni 30, 2024. Kubainika huko kunatokana na ripoti kuu ya mwaka ya ukaguzi wa mashirika ya umma kwa mwaka wa fedha 2023/2024…

Read More