Mzozo Mashariki ya Kati kuathiri bei ya mafuta duniani

Mashambulizi yanayoendelea Mashariki ya Kati yanahofiwa kupandisha bei ya mafuta duniani kutokana na mataifa katika ukanda huo kuwa wazalishaji wakubwa wa mafuta, jambo litakalochochea kupungua kwa mafuta katika soko la dunia. Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran jana Jumamosi, Februari 28, 2026, zikiwalenga viongozi wake na kuitumbukiza Mashariki ya Kati katika mzozo mpya…

Read More

KONA YA MSTAAFU: Wastaafu tujihadhari na mikopo ya kununua madeni yetu

Wiki za karibuni mstaafu wetu amekuwa akishangazwa na mfululizo wa matangazo kutoka hizi benki kadhaa za dotcom zikijinasibu kwamba zitakuwa zinawasaidia wastaafu ‘kwa kununua madeni ya mikopo yote tuliyojiingiza kwa shida zetu zisizoisha, halafu benki hizo zitatusaidia kwa kutukopesha mikopo mingine juu ya ile iliyo nunuliwa. Pole yetu. Iko hivi. benki zinazodai kuwa ziko karibu na…

Read More

Chadema kibarua tena leo mahakamani Dodoma

Dar es Salaam. Mawakili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo Jumanne, Machi 24, 2026 watakuwa na kibarua kingine kuishawishi mahakama wakati wa usikilizwaji wa mashauri manne yanayotokana na kesi ya madai ya mgawanyo wa rasilimali usio sawa kati ya Tanzania Bara na Zanzibar inayokikabili. Mashauri hayo ya mapitio yaliyopewa usajili wa maombi ya…

Read More

Unawezaje kujinasua na “Kodi ya Meza”

Katika maisha ya mijini, “kodi ya meza” imekuwa utaratibu usioandikwa wa kupanga matumizi ya fedha za nyumbani. Ni utaratibu  wa “kuweka juu ya meza” kiasi fulani kila siku kwa ajli ya matumizi ya siku kama vile chakula, nishati ya kupikia, maji, na hata nauli za watoto kwenda shule. Kwa haraka haraka, mtindo huu unaonekana mwepesi…

Read More

Uwanja wa Nsekela Kujenga mshikamano wa michezo Kyerwa

Na Diana Byera-Kyerwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajjat Fatma Mwassa amezindua rasmi uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu ujulikanao kama Nsekela Stadium uliojengwa na Abdulmajid Nsekela Mwenyekiti wa taasisi ya Abdulmajid Nsekela Foundation. Akizindua uwanja huo uliojengwa Wilayani Kyerwa katika eneo la Rwenkorongo Mkuu wa Mkoa Mwassa amempongeza Abdulmajid Nsekela mzaliwa wa Kyerwa…

Read More

Sh800 bilioni zitakavyomaliza tatizo la umeme Zanzibar

Unguja. Huenda mwarobaini wa kata, washa ya umeme, ikapatikana baada ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuwekeza Sh800 bilioni katika miundombinu hiyo. Zanzibar inapokea umeme kupitia waya za baharini kutoka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco). Kwa upande wa Unguja, zipo waya mbili, moja ya megawati 45 iliyowekwa mwaka 1980 na imeshatumika hadi kufikia asilimia…

Read More

Apata kitita cha Sh30 milioni akiibuka kidedea usomaji Quran

Unguja.  Abdulazizi Ali Khamis amepata kitita cha Sh30 milioni baada ya kuibuka kidedea katika mashindano ya kuhifadhi Quran yaliyofanyika Zanzibar. Mashindano hayo yanayofanyika kwa mara ya tatu mfululizo, yamewashirikisha washiriki 11 kutoka mabara sita katika mataifa ya Uingereza, Brazir, Comoro, Tunisia, Australia, Afrika Kusini, Marekani, Nigeria, Tanzania na mwenyeji Zanzibar. Mshindi wa pili kutoka nchini…

Read More

Sababu 10 Zinazoua Biashara Mpya Kabla Hazijafika Mwaka Mmoja

Kuanza biashara ni hatua ya ujasiri inayohitaji ndoto, mtaji na mipango. Hata hivyo, takwimu na uhalisia vinaonyesha kuwa zaidi ya nusu ya biashara mpya hufa ndani ya miaka miwili ya kwanza. Swali muhimu ni: Kwa nini watu wengi wanaanguka hata baada ya kuanzisha biashara waliyoamini inaweza kuwapa mafanikio? Makala hii inachambua chanzo cha changamoto hizo—ikiungwa…

Read More

Fadlu aigomea Simba,  kuibukia Raja Athletic

SIKU 443 sawa na miezi 14 au wiki 63 tangu kocha Fadlu Davids aanze kuinoa Simba iliyomuajiri Julai 5, 2024  imedaiwa amegoma kusalia kikosini na kuamua kutimkia Raja Casablanca ya Morocco. Mwanaspoti iliyokuwa ya kwanza kueleza kwamba huenda Fadlu asingerudi na timu hiyo nchini, hali imethibitika kwa kutoambatana na msafara wa kikosi hicho kilichokuwa Botswana….

Read More