Wapinzani wa Simba washtuka, washusha ‘bodyguards’ kibao Airport
KATIKA hali isiyo ya kawaida, wapinzani wa Simba, Al Ahli Tripoli wamekodi walinzi binafsi ‘bodyguards’ kwa ajili ya kuwalinda wachezaji pamoja na benchi la ufundi pindi kikosi kitakapotua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam. Al Ahli Tripoli inatarajiwa kuwasili Dar es Salaam saa tatu asubuhi ya leo kwa ajili ya…