Afariki ajali ya moto akijaribu kuuzima shambani

Morogoro. Mratibu wa Elimu, Kata ya Tomondo aliyetambuliwa kwa jina la Mwenge Mnune, amefariki dunia baada ya kuungua kwa moto shambani kwake , wakati akijaribu kuuzima moto huo alioukuta ukiteketeza mazao kwenye shamba hilo. Tukio hilo linadaiwa kutokea Agosti 21, 2024 katika kitongoji cha Banzayage kilichopo katika kata ya Kiroka, mkoani Morogoro ambapo Mnuna na…

Read More

Kilio cha wananchi kutembea masafa marefu sasa basi, vikianzishwa vituo vipya vya daladala

Unguja. Baada ya wananchi kupaza sauti zao wakilalamikia masafa marefu wanayotembea kwa kukosa vituo vidogo vya daladala kufika katika ya mji, Serikali imeweka vituo vya muda vya kushusha na kupakia wakati ukisubiriwa mpango wa muda mrefu. Katika utaratibu uliokuwapo awali, daladala zilizokuwa zikitoka nje ya mji zilitakiwa kuingia na kushusha kituo kikuu cha daladala Kikwajuni,…

Read More

Mgunda afunguka kuhusu Kibu  | Mwanaspoti

BAADA ya minong’ono kuwa mingi kufuatia kukosekana kwa Kibu Denis katika nchezo wa Ligi Kuu Bara ambao Simba imecheza dhidi ya Mtibwa Sugar katika Uwanja wa Azam Complex leo jioni, kaimu kocha mkuu wa Wekundu hao wa Msimbazi, Juma Mgunda ametoa neno. Mgunda ambaye ameiongoza Simba kupata ushindi wake wa kwanza katika ligi amesema Kibu…

Read More

Dakika 630 zaitenga Coastal na ushindi

KOCHA wa Coastal Union, Juma Mwambusi ana kazi kubwa ya kufanya katika mchezo wa kesho, Jumatatu dhidi ya Yanga kuhakikisha anapata ushindi, huku rekodi za mechi saba zilizopita zikiiweka katika mtego mkubwa. Coastal Union ya Tanga itakuwa mgeni wa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam. Yanga…

Read More

Ni bajeti ya kimkakati Zanzibar

Unguja. Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ikitaja vipaumbele vitano katika bajeti ya mwaka 2024/25, uchumi kwa mwaka 2024 unakadiriwa kukua kwa wastani wa asilimia 7.2 kutoka ukuaji wa asilimia 7.1 mwaka 2023. Akisoma hotuba ya bajeti ya Serikali Juni 13, 2024, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Saada Mkuya amesema mapato ya Serikali…

Read More

Dk Jafo mguu wa kwanza Kariakoo

Dar es Salaam. Siku moja baada ya kuapishwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Suleiman Jafo ameanza kushughulikia changamoto za wafanyabiashara, akianzia eneo la Kariakoo jijini hapa. Hivi karibu wafanyabiashara katika baadhi ya maeneo nchini waligoma kushinikiza Serikali kutatua madai yao ambayo wanaeleza yalitatiza ustawi wa biashara zao. Miongoni mwa hayo ni ukaguzi wa…

Read More

Viongozi wa dini wahimiza Watanzania kupiga kura, amani

Na Mwandishi Wetu, Mwanza VIONGOZI wa dini mbalimbali mkoani Mwanza, wametoa wito kwa Watanzania kujitokeza kupiga kura kwa wingi katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, uliopangwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu. Kadhalika katika kongamano la Amani la Viongozi wa Dini lililofanyika jijini Mwanza, viongozi hao wametoa wito kwa wananchi kudumisha amani hasa katika…

Read More

Kocha mpya Yanga akwaa kisiki, kanuni hizi zinambana

Mabosi wa Yanga walishtushwa na uamuzi wa ghafla wa kocha Sead Ramovic ambaye aliomba kuvunja mkataba wake kisha jana Jumanne, Februari 4, 2025 akawaaga wachezaji na maofisa wengine wa timu akiwatonya kuwa amepata ofa nono huko Algeria. Baada ya kuzungumza naye walibaini kuwa CR Belouizdad ya Algeria imempa ofa nono ya mshahara zaidi ya mara…

Read More