Stone Mosabu feat G Nako – Kuku (Official Music Video)

Global Publishers February 25, 2026 0 Comments Stone Mosabu ameshirikiana na G Nako kuleta wimbo mpya wa muziki wa Kiswahili unaoitwa “Kuku”, na tayari umekuwa gumzo kwa mashabiki wa muziki nchini. Wimbo huu unachanganya beat kali, vibes za kipekee, na maneno yanayofaa kwa kuamsha hamasa katika kila party au sherehe. “Kuku” ni ushuhuda wa ushirikiano…

Read More

NMB, DarTU zaingia makubaliano kusaidia vijana

Dar e Salaam. Benki ya NMB na Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es Salaam (DarTU), wamesaini makubaliano ya ushirikiano (MoU) wa kimakakati, wenye lengo la kujenga mfumo rasmi wa uandaaji vijana na kuwajengea maarifa ya kitaaluma, ujuzi wa vitendo na uzoefu wa kukabiliana ushindani wa soko la ajira. Ushirikiano huo wa miaka mitatu, unakwenda kuweka…

Read More

Waungana kusukuma ndoto ya Chato kuwa Mkoa

Geita. Mbunge wa zamani wa Chato, Dk Merdad Kalemani, na Deusdedith Katwale, wameahidi kushirikiana na wabunge wateule wa majimbo hayo kuhakikisha ndoto ya hayati Rais John Magufuli ya kuifanya Chato kuwa mkoa inatimia. Kalemani na Katwale, awatiania kugombea ubunge wa Chato Kusini na Kaskazini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), lakini kura hazikutosha. Machi 26, 2021,…

Read More

MAELEKEZO YA MRAJIS KWA VYAMA VYA USHIRIKA KUTUMIA MIZANI ZA KIDIGITALI KATIKA UPIMAJI WA MAZAO

Mrajis wa Vyama vya Ushirika, Dkt. Benson Ndiege amevitaka Vyama vya Ushirika vya Mazao nchini kutumia mizani za kidigitali katika kupima mazao ya wakulima ili kuondoa udanganyifu na kumlinda mkulima.  Mrajis ametoa maelekezo hayo kupitia barua ya tarehe 13 Machi, 2026 aliyowaandikia Wenyeviti na Wajumbe wa Bodi wa Vyama vya Ushirika vya mazao Tanzania Bara…

Read More

Diarra njia nyeupe, apewa mmoja mpya kikosini

INAWEZEKANA unafuatilia matokeo tu ya Simba, Yanga na Azam FC namna zinavyokimbizana msimu huu, lakini kuna vita nyingine ngumu ipo kwenye mabao yao kwani makipa wa timu hizo wanatoana jasho kwa ubora mkubwa huku Djigui Diarra akionekana hana mpinzani wa karibu kwa sasa. Diarra mmoja kati ya makipa bora kuwahi kutokea kwenye ligi yetu, msimu…

Read More

Wabunifu wahimizwa kuja na teknolojia zitakazochochea matumizi bora ya nishati

Dar es Salaam. Wabunifu nchini wamehimizwa kuja na teknolojia zitakazochochea matumizi bora na sahihi ya nishati, ili kusaidia kupunguza upotevu na kuongeza ufanisi wa matumizi yake. Wito huo umetolewa leo, Septemba 12, 2025, katika hafla ya kuwapongeza washindi 10 wa shindano la ‘Energy Efficiency Innovation Challenge,’ linalolenga kuwahamasisha vijana wabunifu kuibua suluhisho za kiteknolojia kwa…

Read More

Watoto 12 wazaliwa mkesha wa Idd Morogoro

Morogoro. Wakati Waislamu nchini na duniani wakisherehekea Sikukuu ya Eid el-Fitri kwa swala zilizofanyika jana na kuendelea leo, jumla ya watoto 12 wamezaliwa katika mkesha wa sikukuu hiyo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro. Watoto hao wameongeza furaha ya Eid kwa familia zao, huku sita wakizaliwa kwa njia ya upasuaji baada ya mama…

Read More