Foleni yatikisa Dodoma miaka 48 ya CCM

Dodoma. Ikiwa leo ni maadhimisho ya miaka 48 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mji wa Dodoma umekuwa na msongamano mkubwa wa magari kutokana na barabara zinazopita kwenye uwanja wa Jamhuri yanapofanyika maadhimisho hayo kuwa na msongamano wa watu na magari hivyo kusababisha foleni kubwa. Mwananchi Digital imeshuhudia leo Jumatano Februari 5, 2025 msongamano…

Read More

Ujenzi wa nyumba Hanang wafikia asilimia 40

Arusha. Wakati ujenzi wa nyumba za waathirika wa mafuriko ya Hanang ukipiga hatua kufikia asilimia 40, Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dk Jim Yonazi amesisitiza uwekwaji wa anwani za makazi katika eneo linalojengwa nyumba 108 za waathirika hao. Ujenzi wa nyumba hizo unakuja baada ya wakazi wa eneo hilo…

Read More

Rais Ruto Lazima Akomeshe Kutishia Wakenya na Achukue Marekebisho ya Kitaasisi ili kuleta utulivu nchini – Masuala ya Ulimwenguni

Waandamanaji wakati wa maandamano dhidi ya serikali jijini Nairobi. Mkopo: Shutterstock. Maoni na Stephanie Musho (nairobi) Jumanne, Julai 23, 2024 Inter Press Service NAIROBI, Julai 23 (IPS) – Azimio la mzozo unaoendelea wa Kenya ambao tangu wakati huo umebadilika na kuwa vuguvugu dhidi ya serikali sio rahisi kama vile kuondolewa kwa adhabu. Muswada wa Sheria…

Read More

Mnoga agonganisha mabosi England | Mwanaspoti

MWEZI mmoja kabla ya mkataba wake na Salford City ya England kutamatika mwezi ujao (Mei), beki wa kimataifa wa Tanzania, Haji Mnoga ameanza kuwachonganisha viongozi wa timu hiyo. Mnoga alijiunga na Salford City kwa mkataba wa mwaka mmoja wenye kipengele cha kuongezeka ikiwa mchezaji huyo ataonyesha kiwango bora. Mwendelezo wa kiwango alichoonyesha beki huyo wa…

Read More

DP World yakabidhiwa bandari Dar

Dar es Salaam. Wakati Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ikikabidhi Bandari ya Dar es Salaam kwa Kampuni ya DP World, Serikali inaangalia namna ya kufanya upanuzi wa bandari hiyo ili kuendana na ongezeko la mizigo inayohudumiwa. Hiyo ni baada ya baadhi ya wamiliki wa migodi kutoka nchi jirani pia kuonyesha nia ya kuanza kutumia Bandari…

Read More