Hivi ndivyo bima ya afya kwa wote itakavyokuwa

Dar es Salaam. Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umetoa ufafanuzi kuhusu mwelekeo wa mpango wa bima ya afya kwa wote, ukibainisha kuwa gharama kwa kaya moja yenye watu sita itakuwa Sh150,000 kwa mwaka, sawa na Sh25,000 kwa kila mwanakaya. Kifurushi hicho chenye jumla ya huduma 277, kitamuwezesha kiongozi wa kaya kulipa kwa…

Read More

WAZIRI MKUU ASHIRIKI MBIO ZA MBEYA TULIA MARATHON 2024

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 11, 2024 ameshiriki katika tukio la mbio za Mbeya Tulia Marathoni 2024 zilizoandaliwa na Taasisi Isiyo ya Kiserikali ya Tulia Trust. Mbio hizo zilianzia na kuishia kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya Mei 11, 2024. Baadhi ya viongozi walioshiriki mbio hizo ni Mke wa Waziri Mkuu Mary Majaliwa, Spika…

Read More

Fadlu achekelea ratiba Ligi Kuu Bara, CAF

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids amesema kurejeshwa katika ratiba kwa pambano la Ligi Kuu Bara dhidi ya Pamba FC Novemba 22 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza imekaa poa kwani itampa taswira nzuri kabla ya kukutana na Bravos do Maquis ya Angola katika Kombe la Shirikisho Afrika. Fadlu alisema mchezo huo wa ushindani utakuwa…

Read More

TRA Yazindua Dawati Maalum la Uwezeshaji Biashara

KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Juma Mwenda, amezindua Dawati Maalum la Uwezeshaji Biashara litakalosaidia kuwatambua wafanyabiashara ambao hawapo kwenye mfumo rasmi na kutatua changamoto zinazowakabili ili kukuza biashara zao. Uzinduzi huo umefanyika jana, Septemba 27, 2025, katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Mkuu wa Wilaya…

Read More

TPF Net GALA YAPAMBA MOTO-SONGWE.

Na Issa Mwadangala Askari Polisi wa kike Mkoani Songwe wajidhatiti kuendelea kiuchumi na kuwa na afya bora ya akili na mwili kwa kufanya semina, sherehe na midahalo mbalimbali ili kuendelea kujiimarisha kiuchumi. Kauli hiyo imetolewa Aprili 22, 2025 na Mwenyekiti wa Mtandao wa Polisi Wanawake Mkoa wa Songwe (TPF- Net) Mkoa wa Songwe Kamishina Msaidizi…

Read More