DK.SAMIA AANIKA MKAKATI WA KUUFANYA MKOA WA RUVUMA KUWA KITOVU CHA BIASHARA KWA UKANDA MIKOA YA KUSINI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ruvuma MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema katika miaka mitano ijayo Serikali inakwenda kuufungua mkoa wa Ruvuma kuwa kitovu lakini pia ukanda mzima wa kusini (Ruvuma, Mtwara na Lindi) kuwa ukanda wa biashara. Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi wa wa Mji wa Songea mkoani Ruvuma…

Read More

KAMPUNI 27 KUTOKA UFARANSA ZAWEKA NIA YA KUWEKEZA, KUFANYA BIASHARA NA TANZANIA

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV SERIKALI Ya Ufaransa kupitia Ubalozi wake wa Tanzania umedhamiria kuendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania pamoja na sekta binafsi katika kufanya biashara na uwekezaji wenye tija na hiyo ni pamoja kutoa mafunzo kwa watanzania watakaofikiwa na miradi mbalimbali. Akizungumza wakati wa hafla maalum ya kuwapokea wafanyabiashara na wawekezaji hao wa…

Read More

Matumizi nishati safi ya kupikia yafungua fursa mpya za ajira

Mkuranga. Imebainika kuwa matumizi ya nishati safi ya kupikia yanaendelea kufungua fursa mbalimbali za ajira kwa Watanzania, hususan katika uzalishaji wa mkaa mbadala na utengenezaji wa mashine zinazotumika kuzalisha mkaa huo. Mkurugenzi wa Nishati Safi ya Kupikia kutoka Wizara ya Nishati, Nolasco Mlay ametoa kauli hiyo leo Jumatano Desemba 31 wakati wa ziara yake ya…

Read More

Serikali yaipa kongole NMB kazi ya upandaji miti nchini

Kibaha. Katika kuhakikisha kampeni ya upandaji miti inaendelea nchini, Serikali kupitia Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imezishauri taasisi mbalimbali kuhamasisha kazi hiyo muhimu kwa mazingira kama inavyofanya Benki ya NMB. Hatua hiyo inakuja wakati NMB ikitenga Sh225 milioni kwa ajili ya kuzizawadia shule bora katika kampeni ya upandaji miti…

Read More

Unavyoweza kumlea mtoto wa kambo

Malezi ya mtoto wa kambo ni moja ya changamoto kubwa zinazowakumba wazazi wa kisasa, hasa katika familia zilizoanzishwa baada ya ndoa ya kwanza au baada ya  wazazi wa awali kuachana.  Mtoto wa kambo si wako kidamu, lakini kwa mazingira ya ndoa au uhusiano, unahusika moja kwa moja katika malezi yake.  Haha hivyo, kumlea mtoto wa…

Read More

‘Wabunge wajitathmini wamefanya nini miaka mitano’

Dodoma. Mkutano wa 18 wa Bunge la 12 unaanza keshokutwa Jumanne, Januari 28, 2025 huku wachambuzi wa masuala ya siasa na wananchi wakiwashauri wabunge kuutumia muda uliobaki kujifanyia tathmini ya utekelezaji wa majukumu yao kwa miaka mitano. Kuanza kwa mkutano huo kunalifanya Bunge la 12 lililoanza Novemba 2020, kubakiza mikutano miwili kabla ya kumaliza ili…

Read More

Kuficha ‘makucha’ kwenye uchumba kunavyotesa ndoa nyingi

Juma Manyama alianza kusali kwenye moja ya makanisa kwa lengo la kuonekana kwa Happiness naye ni mcha Mungu, ili iwe rahisi kwake kuanzisha uhusiano naye. Anasema alivutiwa na Hapiness, lakini ili awe naye karibu, ilikuwa ni lazima naye aanze kusali kwenye kanisa alilokuwa akisali mwanamke huyo. “Nilifanya hivyo kwa miezi mitatu, Hapiness alinielewa, akakubali nimchumbie…

Read More