Mawakala wapaisha tiketi safari za mikoani

Dar es Salaam. Licha ya mabasi kuwapo, upatikanaji wa tiketi umekuwa na changamoto katika Kituo cha Mabasi cha Magufuli, jijini Dar es Salaam, mawakala wakizihodhi na kuuza kwa bei ya juu. Kutokana na changamoto hiyo inayosababisha baadhi ya abiria kukata tamaa, wamejikuta wakilazimika kukubaliana na mawakala wa mabasi wanaolangua tiketi. Amina Juma, mfanyabiashara aliyekuwa akielekea…

Read More

Gibril Sillah anavyomtumia Pacome wa Yanga!

WINGA wa Azam FC, Gibril Sillah, amebainisha kwamba amekuwa akimtumia kiungo wa Yanga, Pacome Zouzoua kama sehemu ya kuimarisha kiwango kutokana na kufurahishwa na namna anavyocheza mwenzake. Kati ya vitu anavyovipenda Sillah kwa Pacome ni pale anapokuwa na mpira mguuni huwa hamuachii nafasi mpinzani  kumnyang’anya, badala yake anatumia akili na nguvu kuufikisha sehemu sahihi. “Pacome…

Read More

Ushindi wampa ahueni Zahera | Mwanaspoti

USHINDI wa bao 1-0 iliyopata Namungo jana Jumamosi katika mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya Ligi Championship, Mbeya Kwanza umemfanya ahueni kocha wa kikosi hicho, Mwinyi Zahera aliyesema amepata mwanga katika jukumu alilonalo la kubadili upepo mbaya wa matokeo katika Ligi Kuu Bara. Licha ya kuonekana kucheza soka safi, Namungo imejikuta ikianza vibaya msimu…

Read More

WASANII WA FILAMU BONGO KUJIFUNZA ZAIDI KOREA KUSINI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Balozi wa Tanzania Korea Kusini, Ndg. Togolani Edriss Mavura amethibitisha kupokea ugeni wa Wasanii wa Filamu Tanzania nchini humo na kufanya mazungumzo ya namna ya kuendeleza ushirikiano na Korea kusini ili kupata ujuzi na uzoefu zaidi katika kukuza Tasnia ya Filamu nchini Tanzania. “Nimefanya mazungumzo na wasanii wa filamu wa Tanzania waliofika Ubalozini leo asubuhi….

Read More

Stars, Zambia haina kujuana leo kazi kazi

STAA wa Taifa Stars, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ amewaambia mashabiki kwamba mechi ya leo jioni dhidi ya Zambia katika Uwanja wa Levy Mwanawasa nchini humu; “haina kujuana.” Amesisitiza kwamba anaamini hakutakuwapo na mabadiliko ya kutisha sana kwenye kikosi cha  Zambia na wao kama wachezaji wanajua pakuanzia na wameshaifanyia kazi kubwa mechi hiyo ya kuwania kufuzu Kombe…

Read More

Yao atangaza vita mapema | Mwanaspoti

WAKATI mashabiki wakianza kujiuliza mtaani na mtandaoni itakuwaje mara beki wa kulia ya Yanga, Yao Kouassi atakaporejea kutoka kwenye majeruhi kutokana na kiwango kilichoonyeshwa na Kibwana Shomary aliyewashika kwa sasa, lakini beki huyo kutoka Ivory Coast amevunja ukimya na kusema anaukubali uwezo wa mwenzake, huku akisititiza anaamini akipona atarejea katika eneo hilo kama kawaida. Yao…

Read More

Jela miaka mitano kwa wizi wa nguruwe

Simiyu. Washtakiwa wawili kila mmoja amefungwa miaka mitano jela kwa wizi wa nguruwe. Waliokumbwa na adhabu hiyo katika Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu ni Masunga Chenya(20)na Daud Elias(19) wakazi wa Mtaa wa Sola mjini Maswa. Kabla ya hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Aziz Khamis kutoa hukumu hiyo leo Jumanne Machi 11,2025, Mwendesha mashitaka…

Read More