Sababu za kupungua miamala ya kutoa kwa mawakala

Dar es Salaam. Wakati kiwango cha fedha kinachowekwa benki kupitia mawakala kikiongezeka kuliko kile kinachotolewa, wachumi wamesema inaweza kuwa moja ya hatua nzuri kueleke uchumi wa kidijitali. Ripoti ya uchumi wa kikanda ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inaonyesha kuwa katika robo ya mwaka iliyoishia Septemba 2024 zaidi ya Sh25.84 trilioni zilizowekwa benki katika kipindi…

Read More

Waziri Kombos atua Tanzania kwa niaba ya EU

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus, Constantinos Kombos amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu akilenga kufanya mazungumzo muhimu na serikali ya Tanzania kuhusu demokrasia, haki za binadamu, na uchaguzi mkuu ujao wa Oktoba. Kombos anafanya ziara hiyo kwa niaba ya Mwakilishi Mkuu wa Umoja wa Ulaya wa Masuala…

Read More

Kiongozi mkuu kundi la Hamas auawa Iran

Kiongozi Mkuu wa Kundi la Hamas, Ismail Haniyeh amefariki dunia leo Julai 31, 2024 alipovaamiwa kwenye makazi yake mjini Tehran, Iran. Haniyeh ameuawa siku moja baada ya kushiriki sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Iran, Masoud Pezeshkian aliyeapishwa jana Jumanne. Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran (The Iranian Revolutionary Guard Corps) limesema chanzo…

Read More

Ile mishuti ya Ulomi sio ya bahati mbaya

HIVI unayafuatilia mabao anayofunga mshambuliaji wa Mashujaa, David Ulomi? Hadi sasa nyota huyo ana mabao manne na yote yanafanana, licha ya kuyafunga kwa timu mbili tofauti na mwenyewe akifichua mabao hayo hayafungi kwa kubahatisha ila anayafanyia kazi mazoezini. Ulomi alifunga bao la pili kali katika ushindi wa mabao 2-0 iliyopata Mashujaa dhidi ya Pamba Jiji…

Read More

Serikali yajizatiti kutafuta fedha za ujenzi wa miradi

Dar es Salaam. Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar amesema Wizara ya Fedha imebeba matumaini ya Serikali na wananchi katika kuhakikisha inatafuta fedha za kuendeleza ujenzi wa miradi ya maendeleo itakayochochea ukuaji wa uchumi na maendeleo ya wananchi. Balozi Omar amesema hayo katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Wizara ya Fedha (Treasury Square),…

Read More

Hitilafu ya Amazon yavuruga dunia

Hitilafu iliyotokea katika huduma za Amazon Web Services (AWS) leo Jumatatu Oktoba 20, 2025 imesababisha usumbufu mkubwa katika mtandao, ikiathiri mamia ya programu na tovuti maarufu duniani kote. Huduma kama Snapchat, Canva, Venmo, Duolingo, Coinbase, Fortnite na Roblox zimepata changamoto za kushindwa kufunguka, utendaji wa taratibu au kukatika kabisa kwa muda. Kwa mujibu wa tovuti…

Read More

Ajira 26,755 serikalini: Mbinu bora ya kuomba, kufanikiwa

Dar es Salaam. Wakati Serikali ya Tanzania ikitangaza ajira 26,755 ndani ya kipindi cha miezi miwili, wataalamu wa masuala ya rasilimali watu wameeleza mbinu za kuomba ajira hizo na kuingia kwenye usaili. Baadhi ya mbinu hizo, wakati wa usaili ni lazima muombaji wa ajira aonyeshe anakwenda kuongeza ubunifu na kuleta matokeo na si uhitaji wa kazi,…

Read More