AICC KUENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZAKE

Na Mwandishi wetu KITUO cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC)kimesema kuwa kinaendelea kuboresha kumbi zake mbalimbali huku kikiwakaribisha wadau wa kimataifa na kitaifa kufanya shughuli zao za mikutano katika kumbi zao kutokana na madhari uwepo wa madhari nzuri. Akizungumza leo Septemba 26,2025 wakati akiongea na waandishi wa habari katika maonesho ya 22 ya wahandisi yanayoendelea…

Read More

Ng’ondya: Geita Gold haikamatiki, atuma salamu kwa wapinzani

KIUNGO mshambuliaji wa Geita Gold, Richardson Ng’ondya, amesema licha ya tofauti ndogo ya pointi na wapinzani wao msimu huu, wasitarajie kuwa rahisi kuikabili timu yake kutokana na mikakati imara waliyojiwekea ya kufanikisha malengo yao. Ng’ondya amesema ubora wa benchi la ufundi na wachezaji wa kikosi hicho unawapa motisha ya kuipambania timu hiyo ili irejee tena…

Read More

Wiki mbili tu, hati ya uwanja mpya Yanga freshi

YANGA imehakikishiwa kuwa, ndani ya wiki mbili tu itakabidhiwa rasmi hati ya ongezeko la eneo la ujenzi wa uwanja unaotarajiwa kujengwa makao makuu ya klabu hiyo mtaa wa Jangwani. Eneo hilo awali ndiko ulikokuwa Uwanja wa Kaunda ulioifanya Yanga kuwa klabu ya kwanza kumiliki uwanja kabla ya mambo kuwatibukia na kuhaha kuurejesha, ila kikwazo ilikuwa…

Read More

AKU’s F4L Project Transforms Education in Tanzania

*Revolutionizing primary education in Tanzania, one teacher at a time *A three-year journey to revolutionize primary education has culminated in a powerful success story. By Reporter The Aga Khan University’s Institute for Educational Development, East Africa (IED, EA) recently celebrated the conclusion of its groundbreaking Foundations for Learning (F4L) project (2022-2025), a pivotal initiative aimed…

Read More

Raundi 10 ZPL kuchezwa Gombani, Bodi yafafanua

KATIKA kuhakikisha Pemba inafunguka kimichezo, Bodi ya Ligi Zanzibar (ZBL) ipo katika mazungumzo ya kuomba kuutumia uwanja mkubwa wa Gombani katika raundi 10 zilizosalia za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Hatua hiyo inalenga kuzisaidia timu, hasa kutoka Pemba, kurushwa mubashara kama ilivyo za Unguja. Katika misimu miwili mfululizo, mechi zinazochezwa kwenye Uwanja wa Mao Zedong uliopo…

Read More

Serikali yawabana wauzaji holela wa miwani za urembo

Dar es Salaam. Wakati ongezeko la wauzaji wa miwani ya urembo na fremu likishika kasi mitandaoni, Wizara ya Afya imetoa tahadhari juu ya hali hiyo, huku ikitaka udhibiti zaidi kufanyika ili kunusuru afya za Watanzania. Ili kuzuia hilo, imependekezwa kwamba utoaji wa leseni za biashara za miwani, hata zile zinazoitwa za urembo ikiwemo ya jua,…

Read More