
Zitto aahidi kupigania meli mpya, maisha mapya Kigoma
Kigoma. Mgombea ubunge wa Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema kuwa iwapo wananchi wa mji huo watamrudisha tena bungeni, atahakikisha mradi mkubwa wa ujenzi wa meli na chelezo wenye thamani ya zaidi ya Sh600 bilioni unakamilika kwa wakati na kwa ubora unaostahili. Akihutubia maelfu ya wananchi leo, Jumamosi, Septemba 20, 2025, katika…