RC SENDIGA APINGA TAKWIMU ZA DAWA MANYARA

Na Mwandishi Wetu, Manyara. MKUU wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, amepinga takwimu zinazoonesha kuwa upatikanaji wa huduma za dawa mkoani humo umefikia asilimia 93, akisema kuwa takwimu hizo haziakisi uhalisia wa hali iliyopo kutokana na wingi wa malalamiko kutoka kwa wananchi kuhusu ukosefu wa dawa na huduma muhimu za afya. Sendiga ametoa kauli…

Read More

ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 435 ZATOLEWA KWA WAKULIMA

::::::: BENKI ya Kilimo Tanzania (TADB) imetoa zaidi ya shilingi bilioni 435 kama mikopo kwa wakulima nchini, hatua iliyochochea maendeleo ya sekta ya kilimo na uzalishaji. Mikopo hiyo imewezesha kufadhili jumla ya miradi 250, ikiwahusisha wakulima zaidi ya 203,000 kutoka mikoa mbalimbali nchini. Akizungumza jijini Dar es Salaam kuhusu mwenendo wa benki hiyo kwa kipindi…

Read More

TISEZA YAHAMASISHA MIUNDOMBINU BORA KAMA KICHOCHEO KIKUU CHA KUVUTIA NA KULINDA UWEKEZAJI

Viongozi kutoka Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) wakitembelea shule ya msingi Savannah iliyopo katika Manispaa ya ShinyangaMeneja wa Uhamasishaji Uwekezaji wa Ndani kutoka TISEZA, Felix John akizungumza baada ya kutembelea uwekezaji katika sekta ya elimu Shule ya Msingi na Sekondari Savannah Manispaa ya Shinyanga. Na Mwandishi wetu _ Malunde 1…

Read More

Wakulima 90,000 Mbeya wanufaika na mbolea ya ruzuku

Mbeya. Zaidi ya wakulima 91,126 kutoka Wilaya ya Mbeya wamenufaika na mbolea ya ruzuku tani 13,140 baada ya kusajiliwa kwenye mfumo rasmi wa Serikali. Idadi hiyo imehusisha wanawake 44,117 na wanaume 46,951 ambao walisajiliwa kati ya Oktoba 2025 na Januari 2026. Hatua hiyo imekwenda sambamba na Serikali kutaka maofisa kilimo kutoa elimu kwa wakulima kuhusiana…

Read More

Lugola ahoji uhuru wa Polisi na DPP, awashukia ‘machawa’

Dodoma. Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola, amesema ili kumaliza mafisadi na wabadhirifu nchini na kuipata ‘Tanzania mpya’, ni lazima vyombo vya dola, kwa maana ya Jeshi la Polisi na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), viwe huru. Mbali na hayo, amesema watu aliowaita ‘machawa’ ndiyo wameifikisha nchi hapa, akitaka wabunge wawe huru wasibanwe,…

Read More

Mbunge Ulenge aishauri Serikali kuendeleza Tehama kwa elimu endelevu

Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu, Aisha Ulenge ameitaka Serikali kuendelea kuwekeza katika Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa walimu wa sayansi na kuhakikisha wanafunzi wa mijini na vijijini wanapata elimu yenye viwango sawa. Akizungumza leo, Januari 29, 2026, wakati akichangia hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan iliyotolewa Novemba…

Read More

Uume uliokatwa waunganishwa tena Ethiopia

Ethiopia. Timu ya madaktari bingwa kutoka Ethiopia imefanikiwa kuunganisha uume wa kijana aliyejikata mwenyewe usiku wa manane, baada ya kufanyiwa upasuaji maalumu uliodumu kwa saa saba. Kwa mujibu wa taarifa ya BBC, madaktari hao kutoka Hospitali ya ALERT jijini Addis Ababa, nchini Ethiopia, walifanya upasuaji huo kwa mafanikio licha ya changamoto ya muda uliopita tangu…

Read More

Sababu Serikali kujikita kwenye umahiri wa KKK

Dar es Salaam. Serikali imeandaa mpango mkakati wa kisayansi wa kujenga umahiri wa Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kwa watoto wa elimu ya awali na darasa la kwanza hadi la pili ili kukabiliana na changamoto ya uwepo wa wanafunzi wanaohitimu elimu ya msingi wakiwa hawajui kusoma. Mpango mkakati huo utakaotekelezwa ndani ya miaka mitano unalenga…

Read More