CCM Yawakaribisha Wanachadema na G55

•kutangaza kuhama kwa waliokua viongozi waandamizi ni uthibitisho mgogoro ndani ya Chadema MVOMERO: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinawakaribisha kujiunga na chama hicho John Mrema na wenzake kutoka katika kundi la G55 waliojiondoa katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla ameeleza hayo leo…

Read More

Serikali yalifunga Kanisa la Kiboko ya wachawi

Dar es Salaam. Serikali imeagiza kufungwa Kanisa la Christian Life Church linaloongozwa na Mchungaji Domique Kashoix Dibwe maarufu Kiboko ya Wachawi, lililopo Buza Kwa Lulenge. Hatua hiyo imechukuliwa baada ya kanisa hilo kwenda kinyume cha taratibu za usajili. Barua hiyo ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kupitia Ofisi ya Msajili wa Jumuiya za…

Read More

Mtoto wa siku moja atupwa kwenye ndoo Moro

Morogoro. Mwili wa mtoto mchanga (Kichanga) umeokotwa leo juni 28, baada ya kutelekezwa daraja la Kasanga Msikitini, Barabara ya Kuu ya Morogoro Iringa Mtaa wa Mgaza Kata ya Mindu Manispaa ya Morogoro na mtu ambaye hakufahamika. Akizungumza na Mwananchi Digital leo juni 28, Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa  Mtaa wa Mgaza Spesioza Sylivestre amethibitisha…

Read More

Tsh 4,000,000/= za kasino ya mtandaoni Disemba hii zinakusubiri.

Haiwezekani msimu huu wa Sikukuu Usiambulie chochote kutoka Meridianbet, ndugu jamaa na marafiki wafurahishe kwa kucheza kasino ya mtandaoni na michezo ya Bragg na ushinde mgao wa Tsh 4,000,000/= Promosheni inafanyika kwa mfumo wa mashindano kwenye michezo iliyochaguliwa iliyoandaliwa na Bragg (Gamomat, Atomic Slot Lab, Blue beri): scss Sticky Diamonds (GAM) Fruit Mania (GAM) Aura…

Read More

Ridhiwani ashauri mazungumzo utatuzi wa migogoro kazini

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Ridhiwani Kikwete ameshauri njia bora kwa waajiri kuboresha mazingira ya ufanyaji kazi kwa waajiriwa wao, ni kutatua  migogoro ya kazi kwa njia ya mazungumzo. Ridhiwani amebainisha hayo leo Juni 19, 2025 wakati akifungua mkutano mkuu wa 66 wa Chama…

Read More

Get Program yatema tisa | Mwanaspoti

GET Program ambayo inapitia ukata itawapa mkono wa kwaheri nyota tisa ambao itashindwa kuendelea nao katika dirisha hili dogo la uhamisho kutokana na changamoto ya kifedha. Wachezaji hao ni Koku Kipanga, Diana Mnally, Zubeda Mgunda waliotimkia Yanga Princess, Janeth Nyagali, Anandez Lazaro, Zainabu Ally, Nasma Manduta, Lucy Mrema na Elizabeth Nashon. Chanzo kiliiambia Mwanaspoti kuwa…

Read More

SIO ZENGWE: Kwani kuna ulazima msajili mapro wa kigeni 12?

MWAKA  huu tumeshuhudia klabu nne za Tanzania zikitakiwa kuwalipa wachezaji fedha ama kukumbana na adhabu ya kuzuiwa kusajili msimu huu baada ya wachezaji kushinda kesi zao za madai walizozipeleka Shirikisho la Kimataifa la Soka (Fifa). Kati ya klabu hizo nne, Yanga pekee ililazimika kulipa zaidi ya Sh800 milioni baada ya wachezaji wawili iliowaacha kuwasilisha madai…

Read More