Costech yaja na ‘Tanzania Ventures Lab’ kuwezesha bunifu, biashara changa

Dar es Salaam. Katika mwendelezo wa kuhakikisha bunifu na biashara changa za vijana zinaendelezwa, Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech) kwa kushirikiana na Sahara Ventures imekuja na programu ya kitaifa inayolenga kuimarisha mfumo wa ubunifu nchini Tanzania. Pia kuharakisha ukuaji wa biashara changa haswa zinazofanywa na vijana ili waweze kukua zaidi. Programu hiyo…

Read More

Salum Mwalimu aahidi Tanzania ya ‘maziwa na asali’

Tanga. Mgombea urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu amewaomba Watanzania kumchagua kwa kishindo ifikapo Jumatano Oktoba 29, 2025, ili alitengeze taifa lenye ustawi na neema, akiahidi kuigeuza Tanzania kuwa “nchi ya maziwa na asali’ iwapo atapewa ridhaa ya kuingia Ikulu. Akihutubia wakazi wa Muheza katika viwanja vya Madaba, jijini Tanga kwenye…

Read More

Chaumma yateua wagombea ubunge, yakacha urais Z’bar

Dar es Salaam. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimetangaza kuwa hakitasimamisha mgombea wa urais visiwani Zanzibar, huku kikiweka hadharani awamu ya kwanza ya orodha ya makada wake 119 walioteuliwa kugombea ubunge wa majimbo Tanzania Bara. Uamuzi wa Chaumma kutosimamisha mgombea Zanzibar unakuja katikati ya maswali mengi ya wadau wa siasa, waliohoji ni nani atakayepewa…

Read More

Zanzibar, Qatar zasaini makubaliano ya Sh25 trilioni

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa Dola za Marekani 10 bilioni zaidi ya Sh25 trilioni na kampuni kutoka Qatar. Kiasi hicho cha fedha kinalenga kutumika katika sekta miradi ya kimkakati na kipaumbele ukiwemo uchumi wa buluu, utalii, uhifadhi wa mafuta, bandari na nishati ya umeme. Mkataba huo…

Read More

Taifa Stars yaishia njiani kama Kenya

Tanzania imeungana na Kenya zikiwa nchi wenyeji kutupwa nje ya fainali za Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), baada ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Morocco kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Bao la dakika ya 63 likifungwa na mshambuliaji Oussama Lamlioui akipokea pasi ya kiungo Youssef Belammari limetosha kusitisha matumaini ya…

Read More

Vaso Psycho Inawasha Moto wa Ushindi Mkubwa

Global Publishers March 12, 2026 0 Comments Wapenzi wa michezo ya kasino mtandaoni sasa wana sababu mpya ya kutabasamu baada ya kuzinduliwa rasmi kwa Vaso Psycho, mchezo mpya wa kusisimua kutoka Expanse Studios unaopatikana Meridianbet. Mchezo huu umeletwa mahsusi kwa wachezaji wanaopenda burudani ya kipekee na nafasi ya kushinda zawadi kubwa kwa mtindo wa kisasa….

Read More