Watendaji wa uboreshaji watakiwa kutunza vifaa vya uandikishaji
Washiriki wa Mafunzo yaliyotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa Watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Mwanza, wakila kiapo cha kujitoa uanachama wa chama cha siasa na kutunza siri wakati wa kutekeleza majukumu yao. Mafunzo hayo yameanza leo tarehe 10 Agosti, 2024 na yamehusisha Mratibu wa Mkoa…