TBA yaja na mkakati utekelezaji wa Dira 2050

Dar es Salaam. Katika hatua inayochangia utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050, Umoja wa Mabenki Tanzania (TBA) na Chama cha Watoa Huduma za Fedha kwa Njia ya Kidijitali(Tafina) wamesaini makubaliano yenye lengo la kuimarisha uchumi wa kidijitali na kuboresha usalama wa mifumo ya kifedha nchini. Dira ya 2050 iliyozinduliwa na Rais Samia Suluhu Hassan Julai 17, 2025 inalenga kuijenga Tanzania…

Read More

Wabunge wawachachamalia wanaharakati kutoka nje

Dodoma. Baadhi ya wabunge leo wamegeuka mbogo wakiwataja wanaharakati kutoka Kenya kwamba “wanachezea amani na usalama wa Tanzania”. Wengine wamekwenda mbali wakisema Tanzania ni Taifa imara na lenye nguvu na watu wake wana akili na wanajitambua. Wametoa kauli hizo kwa nyakati tofauti wakati wakichangia hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi kwa Wizara ya Mambo…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Sasa tutaona ubora wa David Ouma

KOCHA David Ouma alifanya kazi nzuri na ya kipekee katika kikosi cha Coastal Union msimu uliopita tofauti na matarajio ya wengi. Jamaa aliikuta Coastal Union inayosuasua kwenye Ligi, lakini ndani ya muda mfupi akaibadilisha na ikaanza kufanya vizuri hadi kufanikiwa kumaliza katika nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu Bara msimu uliomalizika. Coastal ambayo…

Read More

Watumia miaka miwili kujenga daraja la Sh10 milioni

Tabora. Wananchi wa Kata ya Chemchem Manispaa ya Tabora, wamefanikiwa kukamilisha ujenzi wa daraja lenye urefu wa futi 12 na upana wa futi 10 kwa gharama ya Sh10 milioni baada ya watu kusombwa na maji katika eneo hilo. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Septemba 8, 2024, Diwani wa Chemchem, Kasongo Risassi amesema waliamua kuchukua hatua…

Read More