
‘Waliotumwa na afande’ wamaliza kujitetea, hawakuwa na vielelezo
Dodoma. Upande wa utetezi kwenye kesi ya jinai inayowakabili washtakiwa wanne wanaokabiliwa na mashtaka ya kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume na maumbile binti mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam umekamilisha kutoa ushahidi wao. Leo Alhamisi, Septemba 26, 2024 mashahidi wawili wametoa utetezi wao hivyo kufanya idadi ya mashahidi wa utetezi kufikia wanne…