Ukuaji Sekta ya Madini Waongeza Mahitaji ya Umeme Nchini – Dkt. Biteko
……………… ☑️ Serikali Kuendelea Kupeleka Umeme Kwenye Maeneo ya Uchimbaji ☑️ Benki Kuu Yanunua Tani 10 za Dhahabu Zenye Thamani ya Zaidi ya Shilingi Trilioni 2.5 ☑️ Sekta ya Madini Yaendelea Kuwa Himilivu na Mhimili wa Uchumi 📍Geita, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amesema ongezeko la shughuli za uchimbaji na…