Simba kuna jambo, Fadlu achora ramani mpya

KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua kujiandaa kuikabili CS Sfaxien katika mechi ya tatu ya Kombe la Shirikisho itakayopigwa kesho Jumapili, lakini habari njema kwa Wanamsimbazi ni kitendo cha kocha Fadlu David kuchora ramani mpya ya mabao kabla ya kukabili watunisia hao. Simba itakuwa wenyeji wa mechi hiyo ya Kundi A, ikiwa imevuna pointi tatu katika…

Read More

Usichojua ibada ya Hijja wakatoliki Kishomberwa

Mwanza. Kitongoji cha Kishomberwa kilichopo katika Kijiji cha Kigazi, wilayani Missenyi, Kagera, Tanzania, kimekuwa na umuhimu mkubwa kutokana na Kituo cha Hija cha Mtakatifu John Marie Muzeeyi, Mtanzania wa kwanza kutangazwa mtakatifu na Kanisa Katoliki. Kituo hiki huvutia maelfu ya waumini na watalii kila Januari, wakikumbuka maisha ya Muzeeyi na mashahidi wa Uganda waliouawa kwa…

Read More

Maofisa kozi ya kistratejia waweka kambi Kagera

Bukoba. Maofisa 10 waandamizi wa kijeshi, kiraia na vyombo vya ulinzi na usalama kutoka ndani ya nchi na nchi rafiki, ambao ni wanachuo wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Tanzania (NDC), wamepiga kambi ya mafunzo kwa vitendo mkoani Kagera kwa siku 10. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu, Januari 6, 2025, Mkuu wa Chuo cha…

Read More

DC Linda Salekwa abariki mashindano ya Pool Table….

Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dkt Linda Salekwa ambaye pia ndiye alikuwa Mgeni Rasmi katika Mashindano ya Mchezo wa Pool Table yaliyoandaliwa na Kampuni ya Ryan Company nakufanyika siku ya Leo Mtaa wa Summer Night ili kutafuta Washindi wanne wa Mchezo Huo Mjini Mafinga. Dkt Linda Salekwa Ameupongeza Uongozi wa Ryan company kwa Kuandaa mashindano…

Read More

Onyesho la Nane la SITE kuanza Oktoba 11

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) katika kutangaza Vivutio vya Utalii na fursa mbalimbali za Uwekezaji zilizopo nchini imeandaa Onesho la nane la Site kwa mwaka 2024 litakalofanyika kuanzia Oktoba 11 hadi 13 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo Septemba 12, 2024 jijini…

Read More

LIVE: Hatua kwa hatua maendeleo Zanzibar

Unguja. Rais Hussein Mwinyi amesema Zanzibar inapoadhimishwa miaka 61 ya Mapinduzi, inajivunia mafanikio makubwa yaliyopatikana, ikiwamo kudumisha amani, umoja na mshikamano na kukuza uchumi. Mbali ya hayo, amesema kumefanyika ujenzi wa miundombinu, uwekezaji na biashara, kuboresha huduma za jamii na kuimarisha demokrasia na utawala bora. Hatua kwa hatua maendeleo Zanzibar Dk Mwinyi alisema hayo jana,…

Read More

Urusi yaishambulia Ukraine, mtu mmoja auawa, 10 wajeruhiwa – DW – 15.11.2024

Meya wa Odessa Gennadiy Trukhanov amesema mashambulizi kwenye mji huo kwa kiasi kikubwa yameharibu majengo, mifumo ya usambazaji wa umeme, makanisa na vituo vya elimu na kukiri kwamba yalikuwa ni mashambulizi makubwa mno kutoka kwa adui. Kulingana naye, mwanamke mmoja wa miaka 35 aliyekuwa amelala karibu na dirisha ndiye aliyeuawa baada ya jengo la makazi kushambuliwa. Idara…

Read More