Karia atangaza hali ya hatari kwa marefa Bara 

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Wallace Karia ametangaza hali ya hatari kwa waamuzi watakaochezesha Ligi msimu ujao. Akifunga semina ya waamuzi hao iliyokuwa ikifanyika makao makuu ya TFF, Karia amesema, msimu ujao utakuwa wa tofauti ambapo watahakikisha wanasimamia umakini. Karia, aliyeambatana na Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB), Nassoro Idrissa, amesema…

Read More

MAADILI YA RAMADHAN YAHIMIZWA KUDUMISHWA MBEYA

Na Mwandishi Wetu, Mbeya MKUU wa Wilaya ya Mbeya, Solomon Itunda, amewahimiza viongozi wa dini ya Kiislamu kuendelea kusimamia na kuimarisha maadili kwa waumini hata baada ya kumalizika kwa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Itunda ametoa wito huo wakati wa hafla ya Iftari iliyoandaliwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, Erica Yegella, iliyolenga…

Read More

Mkutano wa NCCR-Mageuzi Sumbawanga wakwama, sababu yarajwa

Rukwa. “Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia NCCR-Mageuzi, Ambari Haji Hamisi, ameshindwa kuhutubia mkutano wa kampeni katika viwanja vya Sabato Jangwani, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, baada ya kujitokeza wananchi wachache. Tukio hilo limetokea baada ya wananchi kutojitokeza kwa wingi kama ilivyotarajiwa. Hata hivyo, mkutano uliendelea kwa kuhutubiwa na wagombea wawili wa…

Read More

Profesa Wa Sheria, Mwanadiplomasia Costa Mahalu Afariki Dunia Akiwa na Umri wa Miaka 77

Bakari Mahundu March 9, 2026 0 Comments   Profesa wa sheria na mwanadiplomasia, Costa Mahalu (77), amefariki dunia. Taarifa kutoka kwa familia yake imethibitisha kuwa Profesa Mahalu amefariki leo Jumatatu, Machi 9, 2026, katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), alipokuwa akipatiwa matibabu. Profesa Mahalu alitambuliwa kama msomi mahiri, mwalimu mwenye bidii na mwanadiplomasia mwenye…

Read More

KWAHANI FC MABINGWA MASAUNI CUP

Na; Mwandishi Wetu, Unguja TIMUya Kwahani FC imetwaa ubingwa wa Masauni Cup baada ya kuichapa Mwembeladu FC kwa changamoto ya mikwaju ya penati 1-0 baada ya sare ya bao 1-1 katika muda wa kawaida na kujinyakulia kombe pamoja na kitita cha shilingi milioni tano. Kwahani FC ndio walitangulia kupata bao katika muda wa kawaida lililofungwa…

Read More

UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI NI FURSA MPYA YA VIJANA KUINUKA

Na Pamela Mollel, Arusha. Vijana nchini wametakiwa kuchangamkia fursa ya uwekezaji katika ufugaji wa kuku wa kienyeji, kwa kuwa ni biashara yenye faida kubwa na soko pana linalokua kila siku. Akizungumza na vijana waliomtembelea katika soko la Morombo jijini Arusha, mjasiriamali maarufu wa kuku, Mudy Musa, alisema ufugaji wa kuku wa kienyeji ni miongoni mwa…

Read More