Airtel Yazindua Kampeni ya Wese ni Bure Inayotoa Zawadi ya Mafuta Katika Vituo vya Mafuta Zaidi ya 62 Nchini
Dar es Salaam, Januari 2026. KAMPUNI ya Airtel Tanzania leo imezindua kampeni ya Wese ni Bure ambayo inatokana na kampeni mama Inayoitwa Mwaka umenyooka na My airtel money app, Kampeni hii inalenga kuhamasisha matumizi ya miamala ya kidigital kupitia huduma ya Lipa namba kila unapoweka mafuta kwenye vituo vya mafuta zaidi ya 62 kote nchini…