Mgulani yatishia kushusha timu BDL

BAADA ya Mgulani (JKT) kuifunga Savio kwa pointi 66-62, timu hiyo ina nafasi ya kubwa ya kucheza hatua ya nane bora ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Nafasi ya kucheza hatua hiyo itakuja endapo timu hiyo itashinda michezo minne iliyosalia ya mzunguko wa pili wa mashindano hayo. Kupanda kwa Mgulani kutoka…

Read More

Serikali: Hakuna kigugumizi uanzishaji baraza la vijana

Dodoma. Kongamano la vijana la siku mbili linaanza leo Agosti 10, 2024 jijini Dodoma, huku Serikali ikisema hakuna kigugumizi cha kuanzisha Baraza la Vijana isipokuwa ushirikishwaji wa wadau ndio unaendelea ili kutengeneza chombo madhubuti kitakachoshughulika na masuala ya vijana. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi amesema…

Read More

Kocha Azam atoa kauli nzito Mzizima Dabi

ZIKIWA zimesalia siku mbili ili kuchezwa Mzizima dabi, kocha wa Azam Rachid Taoussi ajitanua kifua mbele kwa Simba akisema kikosi chake hakina sababu za kufungwa na Wekundu wa Msimbazi. Azam ambayo iko nafasi ya tatu katika ligi, ikiwa imecheza mechi 20 ikivuna jumla ya alama 43, huku mchezo wa mwisho wakitoka na suluhu dhidi ya…

Read More

Rais Samia aizawadia Stars milioni 700 kufuzu Afcon 2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta Samia Suluhu Hassan ameizawadia Taifa Stars Sh700 milioni kama pongezi baada ya timu hiyo kufuzu Afcon 2025 itakayofanyika mwakani nchini Morocco. Stars imefuzu kwenye mashindano hayo Kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuitandika Guinea bao 1-0, lililofungwa na Simon Msuva dakika ya 61. Akizungumza kwa niaba…

Read More

Samatta bado moja kurudi Ligi ya Mabingwa Ulaya

NAHODHA wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Mbwana Samatta anasubiri ushindi wa mechi moja ili kuweka rekodi ya kucheza michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa mara ya pili katika historia ya maisha yake ya soka. Chama la Samatta, PAOK linahitaji ushindi wa pointi tatu kwenye mechi mbili zilizosalia ili kushiriki michuano hiyo mikubwa na…

Read More