Aliyekuwa Spika Bunge la Ukraine auawa kwa kupigwa risasi

Dar es Salaam. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Ukraine, Andriy Parubiy ameuawa kwa kupigwa risasi katika Jiji la Magharibi la Lviv jana Jumamosi, kwa mujibu wa taarifa za Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu. Taarifa zinaeleza kuwa,  mtu mwenye silaha alifyatua risasi kadhaa na kumuua Parubiy papo hapo kisha kukimbia na msako mkubwa umeanzishwa kumtafuta muuaji…

Read More

Nangu, Yakoub wapata warithi jeshini

BAADA ya JKT Tanzania kutangaza kuachana na kipa Yakoub Suleiman na beki Wilson Nangu waliojiunga na Simba, kocha wa timu hiyo, Ahmad Ally amesema ameshapata mbadala wao. Nangu na Yakoub wamesajiliwa Simba kila mmoja akisaini mkataba wa miaka mitatu, jambo ambalo Ally limemfurahisha akiona kwamba vijana wake wamewapa heshima kubwa JKT Tanzania. Alisema katika nafasi…

Read More

Wahamiaji haramu 10,960 wakamatwa wakiingia nchini, RC Mwassa akerwa

Bukoba. Idara ya uhamiaji mkoani Kagera imefanikiwa kuwakamata wahamiaji haramu 10,960 wakiingia nchini kinyemela kuanzia Januari hadi Septemba 2025. Akizungumza na Mwananchi Digital, Septemba 3, 2025 ofisa Uhamiaji Mkoa wa Kagera, Mrakibu mwandamizi, Eleneus Kasimbazi amesema idara hiyo ya uhamiaji Mkoa wa Kagera kupitia doria mbalimbali walizozifanya kwenye maeneo muhimu ya mipaka ya nchi jirani…

Read More

Vinyozi, wasusi, wapigapicha sasa kusajiliwa Basata

Dar es Salaam. Vinyozi, wasusi, wabunifu wa michoro, wapigapicha, wachoraji na wataalamu wengine wa kazi za ubunifu sasa watalazimika kusajiliwa na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) ili kuendesha shughuli zao kihalali nchini Tanzania. Agizo hili jipya linatokana na marekebisho ya kanuni za Basata zilizochapishwa katika Gazeti la Serikali Juni 30, 2025, na kuashiria mabadiliko…

Read More

Kardinali Pengo alivyoumaliza mwendo, kauli za viongozi

Dar es Salaam. Ameumaliza mwendo. Ndivyo inavyoweza kuelezwa hitimisho la safari ya mwisho ya Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo katika maziko yake yaliyokusanya maelfu ya waombolezaji, wakiwemo viongozi wa kitaifa na wa kidini pamoja na wananchi wa kada mbalimbali. Shughuli hizo zilianza kwa misa takatifu iliyoongozwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es…

Read More

RAIS MSTAAFU KIKWETE:WANAOSEMA UTARATIBU HAUKUFUATWA KUMPATA MGOMBEA URAIS CCM WANAJITOA UFAHAMU

Asema utaratibu uliotumika kumpata Dk.Samia kuwa mgombea Urais ndio huo huo uliotumika kwa wengine huko nyuma *Asema wanaosema utaratibu umekiukwa walikuwepo awamu zote lakini kwanini wanasema hayo leo *Asisitiza utaratibu wa Mkutano Mkuu uliofanyika Januari 18 na 19 uko sahihi na anauunga mkono  Na Said Mwishehe,Michuzi TV RAIS Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne,…

Read More

Hii ndiyo sababu – Masuala ya Ulimwenguni

Vingi vya vifo hivi vinaweza kuzuilika kwa njia zilizothibitishwa, za gharama ya chini na upatikanaji wa huduma bora za afya, ripoti inasisitiza. Kwa mara ya kwanza, uchambuzi unatoa picha kamili ya sio tu ni watoto wangapi wanakufa na wapi – lakini pia kwa nini, kwa kuunganisha kikamilifu makadirio ya kimataifa juu ya sababu za kifo….

Read More