Walimu wengine 189 waajiriwa, majina haya hapa
Dar es Salaam. Serikali imewaita kazini walimu wapya 189 ambao walifanyiwa usaili na baadhi waliopo katika kanzidata. Walimu hao wameitwa kazini ikiwa ni siku tisa tangu Serikali iwaite kazini walimu wengine wapya 319 wa fani mbalimbali, ambapo halmashauri saba zilinufaika na ingizo hilo jipya. Tangazo hilo limetolewa jana Ijumaa Machi 21, 2025 na Katibu wa…