Walimu wengine 189 waajiriwa, majina haya hapa

Dar es Salaam. Serikali imewaita kazini walimu wapya 189 ambao walifanyiwa usaili na baadhi waliopo katika kanzidata. Walimu hao wameitwa kazini ikiwa ni siku tisa tangu Serikali iwaite kazini walimu wengine wapya 319 wa fani mbalimbali, ambapo halmashauri saba zilinufaika na ingizo hilo jipya. Tangazo hilo limetolewa jana Ijumaa Machi 21, 2025 na Katibu wa…

Read More

IGP Wambura: Tumejipanga kuimarisha usalama siku ya uchaguzi

Kilombero. Wakati uchaguzi wa serikali za mitaa ukitarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024, Jeshi la Polisi nchini limejipanga kuimarisha usalama na utulivu siku ya uchaguzi, ili wananchi washiriki katika upigaji kura ikiwa ni sehemu ya kutimiza haki yao ya kikatiba. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Jeshi hilo (IGP), Camilius Wambura alipokuwa katika hafla ya utoaji…

Read More

Marcio: Mambo yameiva KMC | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa KMC, Marcio Maximo amesema kikosi chake kiko fiti kwa asilimia kubwa na kinachoendelea ni kutengeneza mbinu zitakazokipa matokeo mazuri mapema mwezi ujao ligi itakapoanza. KMC imerejea kwenye uwanja wa nyumbani baada ya kuweka kambi ya wiki mbili  Zanzibar huku kocha huyo akidai kuwa maandalizi kwa ujumla yanakwenda vizuri na anaridhishwa na uwezo…

Read More

Kuendelea kutofanya kazi licha ya ripoti ya G20 juu ya ukosefu wa usawa – maswala ya ulimwengu

Maoni na Jomo Kwame Sundaram (Kuala Lumpur, Malaysia) Jumatano, Novemba 26, 2025 Huduma ya waandishi wa habari KUALA LUMPUR, Malaysia, Novemba 26 (IPS) – Ingawa usawa kati ya nchi bado unachukua sehemu kubwa zaidi ya usawa wa mapato ulimwenguni kuliko usawa wa kiwango cha kitaifa, majadiliano ya usawa yanaendelea kuzingatia mwisho. Jomo Kwame Sundaram Mpango…

Read More

RAIS SAMIA APONGEZWA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA AFYA

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali imeendelea kuwekeza kwenye miundombinu ya vifaa vya uchunguzi na vifaa tiba katika kuboresha huduma kwenye hospitali, vituo vya afya na zahanati. Ambapo katika kipindi cha miaka mitatu, Serikali imenunua mashine za altrasound 457 na hivyo kufikisha idadi ya mashine 970 ambazo zimesambazwa…

Read More