Simba yafuata fundi Uganda | Mwanaspoti

KIKOSI cha Simba kipo mjini Bukoba, mkoani Kagera kumalizana na wenyeji wao, Kagera Sugar katika mechi ya Ligi Kuu Bara, lakini unaambiwa mabosi wa klabu hiyo wanapiga hesabu kali ya kuimarisha kikosi hicho kama mapendekezo ya kocha Fadlu David na sasa imevuka mpaka hadi Uganda kufuata fundi wa mpira. Ndio, baaada ya kumnasa Ellie Mpanzu…

Read More

Kilio zaidi kwa walioharibiwa mali zao kwenye vurugu

Dar es Salaam. Huenda baadhi ya wamiliki wa mali zilizoharibiwa wakati wa maandamano wasipate fidia kutoka kampuni za bima baada ya kubainika kuwa, sera za kawaida za bima hazijumuishi matukio yanayosababishwa na shughuli za kisiasa. Mali hizo zilibaribiwa wakati wa maandamano yaliyofanyika Oktoba 29 mwaka huu yakilenga kupinga uchaguzi mkuu uliokuwa ukifanyika. Katika maandamano hayo,…

Read More