Fahamu Maporomoko ya Maji Yanayopatikana Tanzania – Video
Fahamu Maporomoko ya Maji Yanayopatikana Tanzania – Video – Global Publishers Home Habari Fahamu Maporomoko ya Maji Yanayopatikana Tanzania – Video
Fahamu Maporomoko ya Maji Yanayopatikana Tanzania – Video – Global Publishers Home Habari Fahamu Maporomoko ya Maji Yanayopatikana Tanzania – Video
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema hakuna mgonjwa anayesafirishwa kwa njia ya Pikipiki huku akiwa amewekwz kwenye Tenga kupelekwa kupata huduma za Afya. Mhe. Mchengerwa ameyasema hayo wakati akitoa salaam za Wizara kwenye mkutano wa hadhara wa Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na…
Dar es Salaam, Juni 26, 2025 – Tuzo ya Kiswahili ya SAFAL ya Fasihi ya Afrika imetangaza orodha fupi ya miswada iliyofuzu kwa mwaka 2024, ikionesha ushindani mkali kutoka kwa waandishi wa Kiswahili katika ukanda wa Afrika Mashariki. Tuzo hiyo, inayodhaminiwa na kampuni ya Safal Group kupitia ALAF-Tanzania na Mabati Rolling Mills ya Kenya, imelenga…
Mchambuzi mkongwe wa michezo nchini, Saleh Jembe, ameibua mjadala baada ya kueleza kuwa kwa mujibu wa takwimu alizonazo kuhusu mwenendo wa timu ya Young Africans (Yanga SC), kocha wa timu hiyo hana sababu ya kufukuzwa kazi. Jembe alisema kuwa matokeo na takwimu za hivi karibuni zinaonyesha bado kuna uthabiti ndani ya kikosi…
Kuelekea mchezo wa kwanza wa hatua ya Makundi wa Kombe la Shirikisho Afrika wa Simba SC dhidi ya Bravos ya Angola utakaochezwa Novemba 27, Simba SC kwa kushirikiana na Mo Dewji Foundation wamerejesha kwa Jamii. Simba SC leo wametoa msaada wa vitu mbalimbali katika Kituo cha kutunzia Watoto Yatima cha Mwandaliwa kilichopo Mbweni Jijini Dar…
Dar es Salaam. Aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni (CCM) na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile anatarajiwa kuzikwa Jumanne ya Desemba 3, 2024 katika makaburi ya Mwongozo yaliyopo Kigamboni jijini Dar es Salaam. Rasimu ya ratiba ya mazishi ya marehemu Dk Ndugulile Novemba 29 hadi Desemba 3, 2024…
KIKOSI cha Simba kipo mjini Bukoba, mkoani Kagera kumalizana na wenyeji wao, Kagera Sugar katika mechi ya Ligi Kuu Bara, lakini unaambiwa mabosi wa klabu hiyo wanapiga hesabu kali ya kuimarisha kikosi hicho kama mapendekezo ya kocha Fadlu David na sasa imevuka mpaka hadi Uganda kufuata fundi wa mpira. Ndio, baaada ya kumnasa Ellie Mpanzu…
Last updated Feb 13, 2025 Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Petroli na Gesi Asilia wa India, Hardeep Singh kuhusu nia ya nchi hiyo kuzidi kuimarisha biashara kati yake na Tanzania kupitia sekta binafsi, kufanya uwekezaji kwenye Sekta ya Nishati na kujengea uwezo…
Na Mwandishi Wetu KAMA unapenda filamu zenye mizizi ya kihistoria, zenye maana ya kina, na zinazotangaza utambulisho wa Kiafrika – basi hii ni habari njema: FESTAC ‘77, filamu inayosubiriwa kwa hamu, imechaguliwa na Shirika la Filamu la Nigeria (NFC) kwa onyesho maalum katika Tamasha la Filamu la Cannes 2025! Filamu hiyo ya kipekee, iliyotayarishwa na…
Dar es Salaam. Huenda baadhi ya wamiliki wa mali zilizoharibiwa wakati wa maandamano wasipate fidia kutoka kampuni za bima baada ya kubainika kuwa, sera za kawaida za bima hazijumuishi matukio yanayosababishwa na shughuli za kisiasa. Mali hizo zilibaribiwa wakati wa maandamano yaliyofanyika Oktoba 29 mwaka huu yakilenga kupinga uchaguzi mkuu uliokuwa ukifanyika. Katika maandamano hayo,…