Wabunifu wahimizwa kuja na teknolojia zitakazochochea matumizi bora ya nishati

Dar es Salaam. Wabunifu nchini wamehimizwa kuja na teknolojia zitakazochochea matumizi bora na sahihi ya nishati, ili kusaidia kupunguza upotevu na kuongeza ufanisi wa matumizi yake. Wito huo umetolewa leo, Septemba 12, 2025, katika hafla ya kuwapongeza washindi 10 wa shindano la ‘Energy Efficiency Innovation Challenge,’ linalolenga kuwahamasisha vijana wabunifu kuibua suluhisho za kiteknolojia kwa…

Read More

Gamondi anataka majembe ya kazi Singida Black Stars

KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi anatarajia kuwasili nchini mwisho wa mwezi huu huku akiutaka uongozi wa timu hiyo kumsajilia nyota wenye uzoefu ambao watampa taji na kutoa ushindani kimataifa. Gamondi anarudi nchini kwa mara ya pili baada ya kuinoa Yanga kwa mafanikio na kuondoka Novemba 2024 akikaa kwa takribani msimu mmoja na…

Read More

Jimbo la Kivu Kusini lahitaji dola Mil. 56 kujijenga upya – DW – 31.05.2024

Tathmini hii imetangazwa kufuatia ziara ya Ujumbe wa Wafadhili wa Kongo unaoongozwa na Mratibu Mkaazi wa Umoja wa Mataifa nchini Kongo, Bruno Lemarqui katika jimbo hilo ili kutathmini hali ya mambo na kuhakikisha maendeleo na utulivu pale MONUSCO itakapoondoka.  Ujumbe huu unaundwa na washirika yapata ishirini wa kiufundi na kifedha wa Kongo wakiwemo wakuu wa ushirikiano…

Read More

Mwabukusi asimulia saa chache kabla Padri Kitima kushambuliwa

Dar es Salaam. Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amesimulia kile ambacho walikuwa wakikifanya siku nzima na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima kabla ya kushambuliwa. Padri Kitima amelazwa hospitalini hapo baada ya kushambuliwa na kitu butu kichwani usiku wa jana Jumatano, Aprili 30, 2025. Shambulio…

Read More

VIDEO: Kesi ya Mdude yakwama, kusikilizwa Novemba 28

Mbeya. Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya imeahirisha shauri la kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mdude Nyagali baada ya wajibu maombi kukosa kiapo kinzani na sasa itasikilizwa Alhamisi ya Novemba 28, 2024. Kesi hiyo namba 33247/2024 iliyofunguliwa mahakamani hapo kupitia mawakili wa utetezi wakiongozwa na Boniface Mwabukusi na Philip Mwakilima kuiomba…

Read More

SERIKALI KUJENGA KIWANDA KIKUBWA CHA SUKARI.

Na Oscar Assenga,Pangani. RAIS DKt Samia Suluhu amesema kwamba Serikali inakusudia kujenga Kiwanda Kikubwa cha Sukari eneo la Bandarini Jijini Tanga ili kujitosheleza na mahitaji hapa nchini. Aliyasema hayo February 26,2025 mjini Pangani wakati wa ziara yake ya Wilayani Pangani baada ya kuweka jiwe la Msingi Kwenye barabara ya Tanga-Pangani pamoja na daraja la Mto…

Read More

Viongozi wa dini, Serikali wasisitiza amani na utulivu

Pwani. Watanzania wametakiwa kulinda, kutunza amani na utulivu hasa kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani utakaofanyika mwakani. Viongozi wa dini ya Kiislamu wametoa rai hiyo kwenye kongamano na dua maalumu ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan iliyoandaliwa na mbunge wa Mkuranga, Abdallah Ulega, kwa ushirikiano na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania…

Read More

BALOZI NCHIMBI ATUA KIGOMA, KUTIKISA KANDA YA ZIWA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amewasili mkoani Kigoma tayari kuanza ziara ya mikoa mitano ya Kigoma, Geita, Kagera, Mara na Mwanza Balozi Nchimbi amewasili leo asubuhi Agosti 4, 2024 katika Uwanja wa Ndege wa Kigoma akiwa amembatana na Katibu wa NEC, Oganaizesheni, Ndg. Issa Haji Usi Gavu, Katibu wa…

Read More

RAIS DKT. SAMIA KUFUNGUA RASMI KIKAO KAZI CHA MSAJILI WA HAZINA NA WAKUU WA TAASISI AGOSTI 28, 2024 JIJINI ARUSHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufungua rasmi kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji wakuu wa Taasisi za Serikali (CEO FORUM 2024), kitakachofanyika kwa siku tatu kuanzia Agosti 27 hadi 30, 2024, kwenye kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha AICC Jijini Arusha. Mkutano huo ulioandaliwa na Ofisi…

Read More