PIGABET YAWAZAWADIA WASHINDI KUPITIA KAMPENI ZA KILA WIKI

 Dar es Salaam  Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya Pigabet imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni kabambe zinazofanyika kila wiki kwa wateja nchini kote. Katika hafla ya hivi karibuni, Hemed Misonge, mhudumu kutoka Pigabet, aliungana na washindi wa promosheni hizo kwa kuwapatia zawadi nono zikiwemo: Smartphone Samsung Galaxy A26 5G kupitia…

Read More

Zitto aendelea kutangaza neema Kigoma

Kigoma. Mgombea ubunge wa Kigoma Mjini kupitia tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema endapo atachaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo, mojawapo ya kipaumbele chake cha awali kitakuwa kuboresha miundombinu ya masoko ya jioni yaliyopo katika Kata ya Buhanda, hususan masoko ya Mwansenga na Mgeo. Akizungumza leo Jumatano, Septamba 24, 2025 kwenye mkutano wa…

Read More

Wanawake wagombea wapewa mbinu kukabiliana na vikwazo

Unguja. Wakati mchakato wa uchaguzi ukiendelea katika hatua za kuchukua na kurejesha fomu za kuomba kuteuliwa, wanawake watakaogombea nafasi za urais, uwakilishi na udiwani kupitia vyama mbalimbali kisiwani hapa wamepewa mbinu za kuzungumza na hadhira na kutokatishwa tamaa na maneno ya kejeli na vikwazo vya kiuchumi. Akizungumza katika mafunzo hayo leo, Jumatano, Septemba 3, 2025,…

Read More

Mukwala anahesabu saa tu | Mwanaspoti

DIRISHA la usajili la usajili linatarajiwa kufungwa usiku wa leo, huku kukiwa na sapraizi kubwa kwa klabu ya Simba baada kutema mastraika wawili walioibeba timu hiyo msimu uliopita, huku winga aliyekuwa akitajwa huenda angefyekwa, akisalimika kama zali. Ipo hivi. Msimu uliopita, Simba iliongozwa eneo la mbele ya washambuliaji Steven Mukwala na Leonel Ateba kila mmoja…

Read More

Sillah ashindwa kujizuia kwa Tepsie

WINGA wa zamani wa Azam FC, Gibril Sillah ameshindwa kujizuia na kummwagia sifa nyota wa timu hiyo, Tepsie Evans akisema makali na kipaji kikubwa alichonacho kitakuwa msaada mkubwa kwa kikosi hicho baada ya kuondoka kwake. Azam chini ya kocha Florent Ibenge imekita kambi jijini Kigali, Rwanda kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya na imecheza…

Read More

UDP kukomalia kilimo cha umwagiliaji ikishinda uchaguzi mkuu

Siha. Mgombea Urais kupitia Chama cha UDP, Saumu Rashidi ametangaza mambo matano ambayo anakwenda kushughulika nayo pindi atakapopata ridhaa ya wananchi ya kuwa kiongozi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Miongoni mwa mambo anayopigania mgombea huyo kipaumbele cha kwanza ni kilimo cha umwagiliaji, viwanda, afya, elimu pamoja na maji. Saumu amesema leo Jumatano Septemba 24,…

Read More

Hizi Hapa Changamoto Za Kuchanganya Mapenzi Na Kazi

NI wiki nyingine ninapokukaribisha msomaji wangu kwenye ukurasa huu, mada tunayoendelea nayo ni ile tuliyoianza wiki iliyopita, ya namna ya kukabiliana na changamoto za kuchanganya mapenzi na kazi. Jambo la msingi unalopaswa kulitambua, siku zote mapenzi na kazi ni vitu ambavyo havitakiwi kuchanganywa, kama unafanya kazi na mwenzi wako, basi mkiwa kazini ni mfanyakazi mwenzako…

Read More

Manusura ajali ya boti Kigoma, wafunguka

Kigoma. Majeruhi walionusurika katika ajali ya boti iliyouwa saba, wakiwemo watumishi wanne wa idara ya afya mkoani Kigoma, wamesimulia mkasa mzima hadi kutokea kwa tukio hilo. Ajali hiyo, ilitokea Machi 13, 2026 katika Kijiji cha Kalalangabo ndani ya Ziwa Tanganyika, saa 2 asubuhi na mwili wa mtu mmoja hadi sasa bado haujapatikana. Majeruhi hao, wametoa…

Read More