Mtengenezaji wa sinema wa Syria Waad al-Kateab juu ya mustakabali wa nchi yake-maswala ya ulimwengu
Baada ya miaka 14 ya vita, Syria imeingia katika sura mpya na isiyo na shaka. Nchi imeharibiwa – asilimia 90 ya Washami wanaishi katika umaskini. Licha ya changamoto hadi watu milioni moja wanaoishi katika kambi na maeneo ya kuhamishwa katika kaskazini magharibi mwa nchi hiyo wanakusudia kurudi nyumbani ndani ya mwaka ujao. Wakati Wasiria hao…
Dk Mpango awataka viongozi wa dini kutetea ukweli bila woga
Dodoma.Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amewataka viongozi wa dini, kuishi wito wao wa kinabii, kusema na kuutetea ukweli kwa ajili ya maslahi ya wananchi hasa wanyonge na wafanye hivyo kwa uhuru bila woga. Ameyasema haya leo Jumapili Mei 12, 2024, jijini Dodoma kwenye Misa Takatifu ya kuwekwa wakfu kwa Askofu Msaidizi Wilbroad Kibozi iliyofanyika Kituo…
Air Tanzania Yatua Victoria Falls kwa Mara ya Kwanza, Yaongeza Safari Zimbabwe
NDEGE ya Shirika la Ndege Tanzania (Air Tanzania) imefanya first touch down katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Victoria Falls, Zimbabwe, leo mchana tarehe 18 Desemba 2025, hatua inayozidi kuimarisha ushirikiano wa usafiri wa anga kati ya Tanzania na Zimbabwe. Katika safari hizo mpya, shirika hilo limetangaza ofa ya tiketi ya kurudi (return ticket)…
Mtoto asimulia aliyozungumza na baba yake saa chache kabla ya kuuawa
Moshi. Glory Mallya, mtoto wa marehemu Isaack Mallya (72), aliyeuawa nyumbani kwake kijijini Umbwe Onana, Wilaya ya Moshi, Kilimanjaro na watu wasiojulikana, ameeleza aliyozungumza na baba yake siku moja kabla ya kifo chake. Desemba 2, 2024, mwili wa Mallya ulikutwa nje ya nyumba yake ukiwa na majeraha mwilini, huku jicho moja likiwa limetobolewa. Glory, mtoto…
Miaka 13 ya vita vya wenyewe kwa wenyewe Syria imefika mwisho?
Dar es Salaam. Swali ambalo wengi wanajiuliza ni kwamba kupinduliwa kwa Rais Bashar al-Assad nchini Syria itakuwa mwanzo wa maisha mapya ya amani kwa Wasyria baada ya mapigano ya wenyewe kwa wenyewe yaliyodumu kwa miaka 13? Mapigano nchini humo yalianza 2011 baada ya vuguvugu la kumng’oa Assad kushindikana hadi kufikia jana, Desemba 8, 2024, huku…
Shinda Mamilioni ya Pesa na Meridianbet Leo – Global Publishers
Wikendi yako inaanza kwa kusuka jamvi na Meridianbet mechi zote ambapo mechi hizo zina odds kubwa na machaguo uyapendayo. Ingia kwenye akaunti yako na utimize ndoto zako leo. Tukianza na LALIGA kule Hispania pia kuna maokoto ya maana ambapo baada ya Girona kushinda mechi yake iliyopita, leo hii atakuwa mwenyeji wa Sevilla ambao walitoa sare…
Kibwana bado yupo yupo sana
UONGOZI wa klabu ya Yanga, umemuongeza mkataba wa miaka miwili beki wao wa kulia, Kibwana Shomari kuendelea kuitumikia klabu hiyo. Kibwana ambaye ameitumikia Yanga kwa miaka mitatu tangu ametua akitokea Mtibwa Sugar, ataendelea kubaki zaidi ndani ya timu hiyo ya Jangwani kwa miaka mingine miwili. Beki huyo ambaye ametwaa mataji mawili ya Ligi Kuu Bara…
Kikosi cha Uholanzi – DW – 30.05.2024
Kocha Ronald Koeman amemjumuisha kiungo wa kati wa Barcelona Frenkie de Jong katika kikosi chake cha mwisho cha wachezaji 26 kwa ajili ya mashindano ya Euro 2024 licha ya kwamba bado anauguza jeraha la kifundo cha mguu. Koeman hata hivyo amemuacha nje beki wa kushoto Ian Maatsen, ambaye amekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya…
Taifa Stars Stars kuvuna Sh9.9 bilioni
MICHUANO ya Fainali za Ubingwa kwa Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) 2024 inaanza leo, Agosti 2, 2025 kwa mechi ya ufunguzi kati ya Tanzania (Taifa Stars) dhidi ya Burkina Faso itakaochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Kuanza kwa michuano hiyo kunaifanya Stars mezani kuwa na kitita cha Sh9 bilioni…