Dk Mwinyi : Sera ya nishati kukuza utafiti, teknolojia na uvumbuzi Zanzibar

Unguja. Wakati ikizinduliwa sera ya nishati, imetajwa kukuza uwekezaji katika utafiti, teknolojia na uvumbuzi kwenye maeneo ya nishati safi, matumizi bora na teknolojia za kisasa zinazopunguza gharama na kuongeza ufanisi. Hayo yamebainishwa leo Septemba 11, 2025 na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi wakati wa kuzindua sera hiyo Unguja Zanzibar. Amesema sera hiyo inahamasisha matumizi…

Read More

BIASHARA YA KABONI YAFUNGUA NEEMA MPYA LINDI

Na Mwandishi Wetu, Lindi Fursa ya biashara ya kaboni imeelezwa kuwa mkombozi mpya wa uchumi wa misitu nchini, huku Serikali ikihimiza wananchi na wadau kuchangamkia rasilimali hiyo kwa manufaa ya kiuchumi na uhifadhi wa mazingira. Hayo yamebainishwa Machi 18, 2026 katika Uwanja wa Ilulu, Manispaa ya Lindi, wakati wa Jukwaa la Majadiliano ya Biashara kwa…

Read More

VITA MASHARIKI YA KATI: Tujipange, bei ya mafuta kupaa

Dar es Salaam. Mpaka sasa vita vya Mashariki ya Kati vinavyohusisha Marekani na Israel dhidi ya Iran vimegharimu maisha ya watu wengi katika mataifa hayo, lakini kwa Afrika vinang’ata kwa namna yake, ikiwemo kupanda kwa bei na changamoto ya upatikanaji wa mafuta. Tayari bei ya mafuta imepanda hadi kufikia karibu Dola 100 za Marekani jana,…

Read More

Serikali yawabana wauzaji holela wa miwani za urembo

Dar es Salaam. Wakati ongezeko la wauzaji wa miwani ya urembo na fremu likishika kasi mitandaoni, Wizara ya Afya imetoa tahadhari juu ya hali hiyo, huku ikitaka udhibiti zaidi kufanyika ili kunusuru afya za Watanzania. Ili kuzuia hilo, imependekezwa kwamba utoaji wa leseni za biashara za miwani, hata zile zinazoitwa za urembo ikiwemo ya jua,…

Read More

Mechi za Kufuzu Kombe la Dunia Kukupatia Ushindi

JE unajua kuwa unaweza kushinda leo kwenye mechi za kufuzu Kombe la Dunia Mataifa ya Afrika?. Mechi kibao za pesa zipo leo kuanzia majira ya saa 10:00 jioni. Ingia kwenye akaunti yako na uanze safari ya ushindi hapa. Katika kundi H, kutakuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya Equatorial Guinea dhidi ya Tunisia…

Read More

Simba yavamia jeshini, yataka kubeba kocha

BAADA ya kufuzu raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ikiwa chini ya kaimu kocha mkuu, Hemed Suleiman ‘Morocco’ uongozi wa Simba umetuma maombi ya kumhitaji kocha wa JKT Tanzania, Ahmad Ally ili kuongeza nguvu benchi la timu hiyo kama kocha msaidizi. Simba iliyofikia makubaliano ya kuachana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo,…

Read More

TADB YATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM ZANZIBAR

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) leo Machi 9, 2026 imetembelea watoto wenye mahitaji maalum katika vituo viwili vya kulelea watoto Zanzibar kwa lengo la kuwafariji na kuwaunga mkono katika kipindi hiki cha mfungo mtukufu wa Ramadhani. Katika ziara hiyo, benki ilifika katika Kituo cha ZASO Children Home kilichopo Fuoni Mambo Sasa ambacho kina…

Read More

Jacob Massawe awatolea uvivu mawakala

KIUNGO mshambuliaji wa Namungo, Jaccob Massawe amesema mawakala wanapaswa kuacha tamaa na kuangalia malengo ya wachezaji wadogo akitolea mfano ishu ya Clement Mzize. Mkongwe huyo anayeitumikia Namungo kwa msimu wa tano sasa tangu ajiunge nayo msimu wa 2020/21 akitokea Gwambina. Akizungumza na Mwanaspoti, Massawe mwenye uwezo wa kucheza kama winga amesema mawakala wengi wanakwamisha viwango…

Read More