Akandwanaho, Chobwedo wailiza Fountain Gate

MABAO mawili yaliyofungwa na Joseph Akadwanaho na Ramadhan Chobwedo, yametosha kuipa furaha Tabora United na kupeleka kilio Fountain Gate. Hiyo ilikuwa katika mchezo wa kwanza wa Kundi A kwenye michuano ya Tanzanite Pre-Season International iliyoanza leo Agosti 31, 2025. Michuano hiyo inayofanyika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manywara, Akandwanaho alianza kuifungia Tabora United…

Read More

BARAZA LA WAFANYAKAZI PBPA LAHIMIZWA KUWA NA UADILIFU KATIKA KUWAKILISHA MASLAHI YA WATUMISHI

📍Kibaha, Pwani – Machi 11, 2026 WAJUMBE wa Baraza la Wafanyakazi wa Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) wametakiwa kuzingatia uadilifu, uwazi na weledi katika kuwasilisha na kushughulikia changamoto za watumishi wanaowawakilisha, ili kuongeza ufanisi na tija katika utendaji kazi wa taasisi. Wito huo umetolewa leo Machi 11, 2026 na Meneja wa Fedha na…

Read More

Maximo achekelea kupewa mechi ngumu

KOCHA Mkuu wa KMC, Marcio Maximo amesema uwepo wa timu hiyo katika michuano ya Kombe la Kagame 2025 itakuwa chachu katika kufanya maandalizi bora ya msimu 2025/26 kutokana na kukutana na timu ngumu zinazoshiriki michuano ya kimataifa. KMC na Singida Black Stars zimepata nafasi ya kushiriki michuano hiyo baada ya Simba na Yanga kujiengua kutokana…

Read More

Mashambulizi ya anga kwenye mazishi yanasisitiza kuongezeka kwa idadi ya raia nchini Sudan – Masuala ya Ulimwenguni

Watu saba waliuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa Wakati shambulio la anga lilipotokea kwenye mkutano wa mazishi katika Milima ya Nuba huko Kordofan Magharibi Ijumaa iliyopita, kulingana na vyanzo vya ndani, ofisi ya uratibu wa misaada ya UN ilisema, OCHA. Vita, vilivyoanza Aprili 2023 kati ya wanamgambo wa Rapid Support Forces (RSF) na Wanajeshi wa…

Read More

Makocha wazawa waichunia Simba | Mwanaspoti

Wakati uongozi wa Simba ukianza kupokea maombi na wasifu wa makocha mbalimbali kwa ajili ya kumrithi Kocha Mkuu, Fadlu Davids aliyeamua kutimkia Raja Casablanca, hadi sasa hakuna kocha mzawa aliyeomba nafasi hiyo. Hilo linatokea huku kocha huyo akiiaga klabu hiyo huku akijiunga na rasmi na Raja Casablanca ya Morocco. Tangu juzi mara baada ya kuwepo…

Read More

Aucho ajibu tuhuma za utovu wa nidhamu Singida BS

BAADA ya uongozi wa Singida Black Stars kutangaza kumsimamisha kwa miezi mitatu Khalid Aucho kwa tuhuma za utovu wa nidhamu na kuchelewa kazini, kiungo huyo raia wa Uganda, ameonekana kujibu kupitia ujumbe aliouchapisha katika ukurasa wake wa Instagram. Taarifa ya Singida Black Stars iliyotolewa leo Februari 27, 2026 na ofisi ya mtendaji mkuu wa klabu…

Read More