Wabunge wa Somalia waapishwa kujiunga na Eala

Arusha. Hatimaye wabunge tisa kutoka Somalia wameapishwa rasmi kujiunga na Bunge la Afrika Mashariki (Eala), baada ya mvutano wa kisheria wa muda mrefu kuhusiana na mchakato wa uteuzi na changamoto za kifedha zinazoikabili Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Wabunge hao wameapishwa Machi 17, 2026 jijini Arusha ndani ya makao makuu ya Bunge hilo ambapo wanatarajiwa…

Read More

Sh7 bilioni zahitajika kudhibiti Mto Mbulumi wilayani Mvomero

Morogoro. Zaidi ya wananchi 1,200 wa vitongoji vya Msufini na Sokoni katika Kijiji cha Kichangani, Kata ya Mhonda wilayani Mvomero, wameiomba Serikali kuchukua hatua za haraka kudhibiti Mto Mbulumi uliobadili mkondo na kuingia katika makazi yao, hali iliyosababisha athari kwa zaidi ya kaya 700. Mafuriko yaliyotokea Februari 26, 2026 yamebomoa nyumba 20, huku nyingine zikiwa…

Read More

Faida nane cha kituo cha kuwanoa wajasiriamali

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, ametaja faida nane zitakazopatikana kupitia kituo kipya cha pamoja cha kuwezesha manunuzi na mauzo ya nje, akisema kitawarahisishia wajasiriamali kupata mitaji na teknolojia za kisasa za uzalishaji. Amesema matokeo chanya ya kituo hicho yanatarajiwa kuanza kuonekana mwaka 2030, ambapo programu…

Read More

Ahmed Ally awatuliza presha mashabiki Simba

Baada ya kusambaa kwa taarifa zinazomuhusu kocha wa Simba, Fadlu Davis kuondoka klabuni hapo pamoja na benchi lake la ufundi akisalia Kocha Msaidizi pekee, Selemani matola, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo Ahmed Ally amewataka mashabiki wa klabu hiyo kuwa na subira. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Ahmed Ally amechapisha ujumbe huo huku…

Read More