Kinda la Tanzania linaitaka Ligi ya Zambia

MSHAMBULIAJI kinda wa Tanzania, Mourice Sichone anayekipiga katika timu ya Trident FC ya Zambia amesema anatamani aisaidie timu hiyo kuipandisha Ligi Kuu msimu huu. Msimu uliopita Trident ilishuka daraja na kushiriki Ligi Daraja la Kwanza baada ya kumaliza mkiani na pointi 26. Kinda huyo (18) alisajiliwa dirisha dogo akitokea Mpulungu Harbour FC ya nchini humo…

Read More

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ASHIRIKI MKUTANO WA JUKWAA LA MIUNDOMBINU KATI YA KOREA NA AFRIKA JIJINI SEOUL, JAMHURI YA KOREA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia Viongozi pamoja na Wageni mbalimbali walioshiriki Mkutano wa Jukwaa la Miundombinu baina ya Korea na Afrika ambao umefanyika Westin Josun Jijini Seoul, Jamhuri ya Korea tarehe 05 June, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na…

Read More

Mkongomani kumchomoa Diao Azam FC

UONGOZI wa Azam FC upo kwenye hatua za mwisho kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa AC Rangers ya Congo, Enock Lihonzasia. Azam FC ikiwa na mpango wa kunasa saini hiyo, inaelezwa anakwenda kuchukua nafasi ya Alassane Diao ambaye mkataba wake unamalizika mwishoni mwa msimu huu. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Azam FC kimeliambia Mwanaspoti kuwa…

Read More

Mgombea  Urais CCK aahidi kukomesha njaa nchini

Arusha. Mgombea urais wa Tanzania kupitia chama cha Kijamii (CCK), David Mwaijojele, ameahidi akipewa ridhaa ya kuongoza, atahakikisha anakomesha njaa kwa Watanzania, ikiwemo kuanzisha mashamba makubwa na kusambaza chakula kwa wananchi pamoja na kutoa ajira. Mgombea huyo ametoa ahadi hiyo leo Jumatatu, Septemba 8, 2025, akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Soko Kuu Arusha. “Tunataka…

Read More

Tanzania kujifunza teknolojia ya magari ya umeme Singapore.

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko, amesema kuwa Tanzania inayo nafasi kubwa ya kujifunza Teknolojia ya uwambaji wa magari (Assembling) yanayotumia umeme kutoka kiwanda cha magari cha HYUNDAI kwani ni rafiki kwa mazingira na hupunguza uchafuzi wa hali ya hewa. Dkt. Biteko ameyasema hayo leo Oktoba 23, 2024 nchini Singapore…

Read More

Niyonzima arejea Rayon Sport | Mwanaspoti

Kiungo mkongwe Haruna Niyonzima amerejea nchini kwao Rwanda baada ya kusaini mkataba na timu yake ya zamani ya Rayon Sport. Niyonzima, amesaini mkataba wa mwaka mmoja wenye kipengele cha kuongeza mwaka mwingine kuitumikia Rayon. Hii inakuwa ni mara ya pili kwa Niyonzima kufanya kazi na Rayon, ambayo aliwahi kuitumikia msimu wa 2006-2007. Tayari Rayon, imeshamtambulisha…

Read More