Sababu uchaguzi TLS kukosa ‘hamasa’

Dar es Salaam. Wakati Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) ikiongeza muda wa siku saba kutoa nafasi kwa wanachama zaidi kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama hicho, baadhi ya mawakili wameeleza sababu ya uchaguzi huo kudorora ikiwamo mabadiliko ya sheria ya chama hicho.  Sababu nyingine imetajwa kuwa ni kuchoshwa…

Read More

Watiania ubunge, uwakilishi Chaumma kujulikana kesho

Arusha. Zikiwa zimesalia siku nne kwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kufanya uteuzi wa watiania wa nafasi za urais, ubunge na udiwani, Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kinatarajia kupitisha majina ya wagombea wake kesho, Agosti 24, 2025, baada ya kikao chake kilichoanza leo. Vyama vya siasa nchini vinaendelea na mchakamchaka wa kuwateua…

Read More

JKT Tanzania yajitosa dili la Nkane

MAAFANDE wa JKT Tanzania wameingilia kati dili la kumpata kwa mkopo nyota wa Yanga, Denis Nkane, baada ya mchezaji huyo anayecheza nafasi mbalimbali uwanjani kushindwa kupenya katika kikosi cha kwanza kutokana na ushindani mkubwa uliopo. Awali, mabosi wa TRA United walikuwa wa kwanza kumuhitaji nyota huyo baada ya aliyekuwa mshambuliaji nyota wa timu hiyo, Emmanuel…

Read More

Morocco: Stars haina kazi rahisi Afcon 2025

SAA chache baada ya timu ya taifa, Taifa Stars kupangwa kundi moja na DR Congo, Guinea na Ethiopia katika kuwania kufuzu ushiriki wa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 zitakazofanyikia Morocco, kocha mkuu wa timu hiyo, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amekiri hilo sio kundi jepesi na kwamba Tanzania ni lazima ikaze kwelikweli ili iende…

Read More

COSTECH YASISITIZA USHIRIKIANO NA VYOMBO VYA HABARI KUSAMBAZA TAARIFA ZA KISAYANSI

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Dkt Amos Nungu akizungumza Septemba 30, 2025 katika Media Café iliyofanyika jijini Dar es Salaam kwaajili ya kubadilishana uzoefu kati ya wanahabari na Wanasayansi.  Na Avila Kakingo, Michuzi Tv. TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imesisitiza umuhimu wa ushirikiano wa karibu kati yake…

Read More

Dk Nchimbi aahidi neema Tarime, makundi ya ubunge yavunjwa

Tarime.  Wakati mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi akiwaahidi mambo mbalimbali wananchi wa Nyamongo, Wilaya ya Tarime, viongozi wa chama hicho wamevunja makundi yaliyotokana na ubunge wa Tarime Vijijini. Dk Nchimbi amesema Serikali ya CCM Itatekeleza ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami katika vipande vinne na kupanua zaidi…

Read More