Waislamu nchini watakiwa kulinda amani, kuepuka matamanio

Dodoma. Waislamu nchini wametakiwa kudumisha amani na utulivu huku wakisisitizwa kujiepusha na tabia ya kuchanganya masuala ya dini na matamanio yao binafsi. Wito huo umetolewa leo Jumamosi, Machi 21, 2026 na Sheikh Omar Itara wakati akitoa mawaidha katika Swala ya Idd El-Fitri iliyofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma. Akizungumza mbele ya waumini, Shekhe Itara…

Read More

Watoto 12 wazaliwa mkesha wa Idd Morogoro

Morogoro. Wakati Waislamu nchini na duniani wakisherehekea Sikukuu ya Eid el-Fitri kwa swala zilizofanyika jana na kuendelea leo, jumla ya watoto 12 wamezaliwa katika mkesha wa sikukuu hiyo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro. Watoto hao wameongeza furaha ya Eid kwa familia zao, huku sita wakizaliwa kwa njia ya upasuaji baada ya mama…

Read More

‘Endelezeni mema baada ya Ramadhan’

Pemba. Waumini wa dini ya Kiislamu wamehimizwa kuendeleza amali njema walizokuwa wakizifanya katika mwezi mtukufu wa Ramadhan ili kustahili malipo mema Akhera. Wito huo umetolewa na Sheikh Hamad Khamis mara baada ya kumalizika kwa swala ya Idd El-Fitr iliyoswaliwa katika Msikiti wa Ijumaa Sizini, Wilaya ya Micheweni, Mkoa wa Kaskazini Pemba. Akizungumza na waumini hao,…

Read More

Rais Mwinyi awataka wananchi kuendeleza maadili ya swaumu

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema wametekeleza ibada ya swaumu katika hali ya amani na utulivu, hivyo kuwataka wananchi kuendelea kudumisha mshikamano na kuleta umoja kwa maslahi ya Taifa hilo. Pia, amewataka kuendeleza mema waliyoyafanya wakati wa swaumu kwani kitabu kitukufu cha Quran hakina ukomo wa kufanya mema jambo ambalo litachochea ustawi wa…

Read More

Sheikh Njalambaha awapigia ‘chapuo’ vijana serikalini

Mbeya. Serikali imeombwa kuongeza jitihada za kuwawezesha vijana kiuchumi ili kuwaondoa katika makundi yasiyofaa, huku jamii ikihimizwa kuendeleza matendo mema, mshikamano na kusameheana hata baada ya kumalizika kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Wito huo umetolewa leo Jumamosi Machi 21, 2026 na Sheikh wa Mkoa wa Mbeya, Alhaji Sheikh Msafiri Njalambaha wakati akizungumza na waumini kwenye…

Read More

GGML Kili Challenge Yashiriki Maonesho ya Kilimanjaro Marathon 2026

Moshi, Tanzania GGML Kili Challenge inayotekelezwa kupitia GGML Kili Trust, inashiriki Kilimanjaro Marathon 2026, maarufu kama “Mbio za Watu”, kupitia maonesho yanayofanyika katika viwanja vya Ushirika, Moshi, yaliyoanza tarehe 20 na kuendelea hadi 22 Machi.  GGML Kilimanjaro Challenge Against HIV/AIDS ni mpango wa kuhamasisha ushiriki wa wadau mbalimbali katika mapambano dhidi ya UKIMWI nchini. Kupitia…

Read More

Hivi unaishi au unategemea ndoto?

Kuna wakati watoto wa mjini walipiga hela kiulaini sana. mtu aliivizia nguzo ya umeme usiku pasipo na watu, akaibandika karatasi lililoandikwa “Mpigie Mganga wa Ndoto”. Chini akaweka namba kwa maandishi makubwa na wino uliokolezwa zaidi. Watu wakaota, wakapiga simu naye akawajibu baada ya muamala wake kusoma. Ni rahisi sana, haina Brela wala TRA.

Read More