Mbunge Ulenge aishauri Serikali kuendeleza Tehama kwa elimu endelevu

Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu, Aisha Ulenge ameitaka Serikali kuendelea kuwekeza katika Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa walimu wa sayansi na kuhakikisha wanafunzi wa mijini na vijijini wanapata elimu yenye viwango sawa. Akizungumza leo, Januari 29, 2026, wakati akichangia hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan iliyotolewa Novemba…

Read More

Uume uliokatwa waunganishwa tena Ethiopia

Ethiopia. Timu ya madaktari bingwa kutoka Ethiopia imefanikiwa kuunganisha uume wa kijana aliyejikata mwenyewe usiku wa manane, baada ya kufanyiwa upasuaji maalumu uliodumu kwa saa saba. Kwa mujibu wa taarifa ya BBC, madaktari hao kutoka Hospitali ya ALERT jijini Addis Ababa, nchini Ethiopia, walifanya upasuaji huo kwa mafanikio licha ya changamoto ya muda uliopita tangu…

Read More

Sababu Serikali kujikita kwenye umahiri wa KKK

Dar es Salaam. Serikali imeandaa mpango mkakati wa kisayansi wa kujenga umahiri wa Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kwa watoto wa elimu ya awali na darasa la kwanza hadi la pili ili kukabiliana na changamoto ya uwepo wa wanafunzi wanaohitimu elimu ya msingi wakiwa hawajui kusoma. Mpango mkakati huo utakaotekelezwa ndani ya miaka mitano unalenga…

Read More

WANANCHI KUNUFAIKA NA MRADI WA RAMANI ZETU, SAUTI ZETU

Na Mwandishi wetu, Morogoro. Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) imezindua mradi wezeshi wa “Ramani Zetu, Sauti Zetu”, unaolenga kuwajengea uwezo Wananchi wa Mikoa ya Dar es Salaam, Morogoro na Pwani katika kukabiliana na Majanga. Akizungumza katika Uzinduzi huo uliofanyika leo tarehe 29 Januari, 2026 Mkoani Morogoro Mkurugenzi Msaidizi…

Read More

CCM Simiyu yaapa kuilinda amani, umoja na mshikamano

Maswa. Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu kimewataka wanachama wake kuendelea kuwa mabalozi wa amani, umoja na mshikamano ndani na nje ya chama katika kuadhimisha miaka 49 tangu kuanzishwa kwa chama hicho mwaka 1977. Hayo yamebainishwa leo Januari 29, 2026, katika Kata ya Isanga, Wilaya ya Maswa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu,…

Read More

KISHINDO CHA DKT. KIJAJI MAMLAKA YA HIFADHI YA NGORONGORO.

Na Kassim Nyaki, Arusha. Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) leo tarehe 29 Januari, 2026 jijini Arusha amezindua bodi ya wakurugenzi wa Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) na kuielekeza kusimamia uhifadhi, kubuni mazao mapya ya utalii na kuyatangaza na kuboresha huduma za maendeleo kwa wananchi wa  wilaya ya Ngorongoro. Dkt….

Read More

Muhimbili yatangaza zabuni ya mshauri wa ujenzi wa hospitali mpya

Dar es Salaam. Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imetangaza zabuni ya kumtafuta mshauri wa ujenzi wa hospitali mpya ya kisasa, hatua inayotekeleza mkakati wa Serikali wa kuimarisha huduma za afya ya rufaa na kupunguza msongamano wa wagonjwa hospitalini hapo. Mradi huo wa ujenzi unaokadiriwa kugharimu Sh1.3 trilioni, unahusisha usanifu wa majengo, usimamizi wa ujenzi, ushauri…

Read More

BIL. 73.8 KUPELEKA UMEME VITONGOJI 527 MKOA WA TANGA

📌 Wakandarasi wasisitizwa kujiepusha na vitendo vya rushwa, lugha za kuudhi 📌Mradi wa umeme kwenye vitongoji kufungua zaidi fursa za kiuchumi Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi wa shilingi bilioni 73.8 wa kusambaza umeme katika vitongoji 527 mkoani Tanga. Hayo yamebainishwa leo Januari 29, 2026 Jijini Tanga na Mkurugenzi Mkuu wa REA,…

Read More

Wananchi Iringa walia kukosa daraja, Serikali yabainisha mpango

Iringa. Wananchi wa mitaa ya Isakalilo na Kitwiru Manispaa ya Iringa wamesema changamoto ya ukosefu wa daraja la uhakika imeendelea kuwakwamisha kiuchumi na kijamii, wakidai kwamba ahadi za ujenzi wa daraja hilo na barabara ya lami zimekuwa zikitolewa kwa miaka mingi bila kutekelezwa. Wakizungumza na Mwananchi leo Januari 29, 2026, wananchi hao wamesema changamoto ya…

Read More