Mbunge Ulenge aishauri Serikali kuendeleza Tehama kwa elimu endelevu
Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu, Aisha Ulenge ameitaka Serikali kuendelea kuwekeza katika Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa walimu wa sayansi na kuhakikisha wanafunzi wa mijini na vijijini wanapata elimu yenye viwango sawa. Akizungumza leo, Januari 29, 2026, wakati akichangia hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan iliyotolewa Novemba…