Morrison: Simba ilistahili ubingwa | Mwanaspoti

NYOTA wa zamani wa Simba na Yanfa, Bernard Morrison, amefunguka baada ya Wekundu kushindwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika, licha ya juhudi kubwa ilizoonyesha dhidi ya RS Berkane ya Morocco. Morrison ambaye kwa sasa anakipiga KenGold, klabu iliyoshuka daraja Ligi Kuu Bara, alisema pamoja na kwamba si mchezaji wa Simba kwa sasa, moyo…

Read More

MFUMO MPYA WA RAMANI KUZUIA MAJANGA WAZINDULIWA MOROGORO

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – Sera, Bunge na Uratibu imezindua mfumo mpya wa kisasa wa ramani ya maeneo hatarishi, Tanzania Climate Vulnerability System (TVCVS), unaolenga kubaini mapema maeneo yanayokumbwa na majanga na kusaidia kupunguza athari kwa Wananchi na Taifa kwa ujumla. Akifungua mafunzo ya mfumo huo tarehe 16 Juni,…

Read More

Makonda ataka waliokula fedha za Tasaf waburuzwe kortini

Arusha. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Arusha, imesema inawashikilia watu watatu wakiwamo watumishi wa Mkoa wa Arusha kwa tuhuma za ubadhirifu wa Sh428 milioni. Fedha hizo zilitolewa kwa ajili ya utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf). Takukuru imesema inaendelea na taratibu ili kuwafikisha watuhumiwa hao mahakamani. Jana Jumamosi…

Read More

Standard Chartered yakamilisha uhamishaji biashara za kibenki kwa wateja wa hali ya juu na reja reja kwa Access Bank PLC

Tunayo furaha kutangaza kukamilika kwa uhamishaji wa biashara ya huduma za kibenki kwa wateja wa Hali ya juu na wa kawaida (rejareja) ya Standard Chartered kwa Access Bank PLC. Uhamisho huu ni sehemu ya mkakati wa kimataifa wa Standard Chartered, unaolenga kuongeza ufanisi wa uendeshaji, kupunguza ugumu, na kuongeza uwezo wa kutoa huduma kwa kiwango…

Read More

NEWZ ALERT : LORI LAUA 11 WALIOKWENDA KUSHUHUDIA AJALI SEGERA.

Na Oscar Assenga, Handeni. WATU 11 wamefariki dunia wa Kijiji cha Chang’ombe kilichopo Kata ya Segera wilayani Handeni Mkoani Tanga baada ya kugongwa na lori lililokuwa limebeba saruji baada ya kupoteza uelekeo wakati walipojitokeza barabarani walipokuwa wakishanga ajali ya gari dogo aina ya tata .Watu hao walijitokeza barabarani ili kuweza kutoa msaada kufuatia ajali ya…

Read More

Majina waliochaguliwa kujiunga Idara ya Uhamiaji haya hapa

Dar es Salaam. Idara ya Uhamiaji Tanzania imetangaza majina ya vijana 331 waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya idara hiyo kuanzia Machi 1, 2025. Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo hayo limetolewa leo Alhamisi Februari 6, 2025 na Kamishna Jenerali wa idara hiyo. “Kamishna Jenerali wa Uhamiaji anawatangazia vijana ambao wamechaguliwa kujiunga na Idara ya Uhamiaji kuripoti…

Read More

CCM IRINGA WAWAPONGEZA WALIMU WAZALENDO

Katibu Siasa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM mkoa wa Iringa, Joseph Ryata akiongea na walimu wazalendo wilaya ya Kilolo mkoani Iringa Na Fredy Mgunda, Iringa CHAMA cha Mapinduzi CCM mkoa wa Iringa kimewpongeza walimu wazalendo kufundisha kwa juhudi na kumuunga mkono Rais Dr Samia suluhu Hassan katika kutekeleza ila ya CCM ya 2020/2025 kwa vitendo….

Read More