Taka za plastiki zaipasua kichwa Serikali

Arusha. Katika kukabiliana na madhara yatokanayo na kuzagaa kwa taka za plastiki nchini, serikali imewaita wadau wa sekta binafsi kushirikiana kupunguza tatizo hilo ikiwemo kufanya bunifu mbalimbali zenye kuzirejesha katika matumizi. Tanzania inakadiriwa kuzalisha zaidi ya tani milion 20 za taka ngumu kila mwaka, ikiwa ni wastani wa kilo 300 kwa mtu mmoja kwa mwaka…

Read More

DISEMBA 30, DARAJA LA JPM (KIGONGO-BUSISI) KUANZA KUTUMIKA-ENG AMBROSE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Daraja la J.P. Magufuli (Kigongo – Busisi) lenye urefu wa Kilomita 3.0 na barabara unganishi Kilomita 1.66 linatarajiwa kuanza kutumika Tarehe 30 Disemba 2024 likiunganisha Barabara Kuu ya Usagara – Sengerema – Geita zenye urefu wa Kilomita 90. Daraja hilo linajengwa Urefu wa kilometa 3.0 Upana meta 28.45; unaojumuisha njia mbili (2) za Magari (Carriageways)…

Read More

Nyoni, Kagere bado wapo sana Namungo

WAKATI baadhi ya nyota walioitumikia msimu uliopita wakianza kuondoka klabuni, mabosi wa Namungo wameamua kuuma jongoo kwa meno kwa kuwazuia wachezaji wakongwe Erasto Nyoni na Meddie Kagere kwa lengo la kuwafanya kama viongozi wa wenzao ndani ya kikosi hicho. Chanzo cha ndani kutoka Namungo, kinasema awali nyota hao wa zamani wa Simba walikuwa wafyekwe hasa…

Read More

Asaka rekodi ya kupanda Mlima Kilimanjaro akipiga danadana

WAKATI wengine hupanda Mlima Kilimanjaro kwa kutembea kawaida, staa wa danadana kutoka Sweden, Emil Jylhänlahti, ameanza safari ya kuupanda mlima huo maarufu duniani huku akichezea mpira kwa danadana. Staa huyo wa dunia anayetikisa dunia, Emil Jylhanlahti, sasa amepewa majukumu mapya kuwa mkuu wa programu ya soka kwa watoto wa Norrby IF nchini Sweden. Nyota huyo…

Read More

Kupaa kwa bei ya samaki kwamwibua mbunge, ajibiwa

Dodoma. Serikali ya Tanzania imesema mapendekezo ya kupunguza tozo na kodi za uingizaji wa samaki kutoka nje ya nchi yatafanywa kulingana na matokeo ya tathmini itakayofanywa na Kamati ya Maboresho ya Mfumo wa Kodi. Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande ameyasema hayo leo Jumatano Aprili 9, 2025 wakati akijibu swali la msingi la Mbunge…

Read More

Latra kuanzisha utaratibu mpya wa usafiri Dar

Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra), inatarajia kuanzisha huduma ya ‘Ride Sharing’ kabla ya kuisha mwaka huu wa fedha 2024/25. Watu tisa hadi 14 wataweza kupanda gari moja kwa kuomba kupitia mitandao ya simu hata kama wapo vituo tofauti. Akizungumza na Mwananchi, leo Jumanne, Agosti 13, 2024 Mkurugenzi wa Udhibiti Usafiri wa…

Read More

Mauaji ya Mwalimu Tungaraza yaacha simulizi kwa familia, mke aendelea kusota mahabusu

Morogoro. Wakati Jeshi la Polisi mkoani Morogoro likiendelea na uchunguzi wa tukio la mauaji ya mwalimu mkuu wa Shule ya Msingi Signal, Christian Tungaraza, mdogo wa marehemu, Clavery Tungaraza amesema mara ya mwisho kaka yake alimtumia picha yake na kumwelekeza kwamba itumike kwenye mazishi yake atakapokuwa amekufa. Clavery amebainisha kwamba hadi sasa hafahamu mauaji hayo…

Read More

Serikali kuboresha mifumo ya takwimu za afya

Dar es Salaam. Serikali kwa kushirikiana na wadau imeanzisha mfumo wa kuimarisha ukusanyaji wa takwimu za vizazi na vifo, zitakazounganishwa na mifumo mingine ya Serikali ili isomane. Akizungumza leo Jumatatu, Juni 2, 2025 katika ufunguzi wa mkutano huo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema Serikali inachokikusudia katika mfumo huo ni kutambua…

Read More

“Safari ya kutimiza ndoto yako na programu ya Sanaa inayoishi” kuanzia Tanzania hadi Zimbabwe Novemba 2024

Chama cha Wamiliki wa Landrovers Tanzania kupitia  Mwenyekiti wake Winna Shango imetoa ufadhili kwa ajili ya “Safari ya Barabara ya Kutimiza Ndoto Yako’ na Programu ya Sanaa inayoishi” kutoka Tanzania kwenda Zimbabwe, kusherehekea uteuzi wa Zimbabwe kama Mwenyekiti wa SADC. Kwakupitia progamu hii wanachama 16 na Landrovers zao, kila moja atakuwa na ishara/nembo ya kiwakilishi…

Read More