Usimamizi mbovu mikataba ya miradi ya ujenzi unavyoigharimu Serikali mabilioni ya fedha

Arusha. Usimamizi mbovu wa mikataba ya miradi ya ujenzi wa miundombinu ya usafiri imetajwa kama kaa la moto, linaloteketeza mabilioni ya fedha za Serikali. Kutokana na hilo, Serikali imewataka wataalamu wa sekta ya ujenzi na usafirishaji kuhakikisha wanaongeza uelewa, umakini na kuweka uwazi katika mikataba ya miradi ya miundombinu, ili kulinda thamani ya fedha za…

Read More

Yanga, Simba zapishana na mamilioni CAF

Hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu wa 2025/2026 inaanza wiki hii bila uwepo wa klabu za Tanzania kwa vile klabu za Yanga, Simba, Azam na Singida Black Stars zimeishia katika hatua ya makundi. Timu hizo nne za Tanzania hasa Simba na Yanga ni kama zimepishana…

Read More

Lissu aitahadharisha Mahakama kuhusu afya yake mahabusu 

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameieleza Mahakama ya Rufani yuko katika hatari ya afya yake kuathirika zaidi kwa kushindwa kuhudhuria kliniki ya matibabu yake kutokana na kushikiliwa mahabusu kwa muda mrefu. Hivyo, ameiomba Mahakama hiyo kulisikiliza kwa dharura shauri la mapitio lililofunguliwa mahakamani hapo na Jamhuri dhidi yake kupinga uamuzi wa…

Read More