
Morrison: Simba ilistahili ubingwa | Mwanaspoti
NYOTA wa zamani wa Simba na Yanfa, Bernard Morrison, amefunguka baada ya Wekundu kushindwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika, licha ya juhudi kubwa ilizoonyesha dhidi ya RS Berkane ya Morocco. Morrison ambaye kwa sasa anakipiga KenGold, klabu iliyoshuka daraja Ligi Kuu Bara, alisema pamoja na kwamba si mchezaji wa Simba kwa sasa, moyo…