Usimamizi mbovu mikataba ya miradi ya ujenzi unavyoigharimu Serikali mabilioni ya fedha
Arusha. Usimamizi mbovu wa mikataba ya miradi ya ujenzi wa miundombinu ya usafiri imetajwa kama kaa la moto, linaloteketeza mabilioni ya fedha za Serikali. Kutokana na hilo, Serikali imewataka wataalamu wa sekta ya ujenzi na usafirishaji kuhakikisha wanaongeza uelewa, umakini na kuweka uwazi katika mikataba ya miradi ya miundombinu, ili kulinda thamani ya fedha za…