Majaliwa awapa ujumbe viongozi wa dini

Manyara. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewasihi viongozi wa dini nchini waendelee kukemea vikali vitendo vyote ambavyo ni kinyume na maadili ya dini na utamaduni wa Mtanzania. Majaliwa ametoa rai hiyo leo Jumapili Machi 9, 2025 alipomwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika ibada ya kuwekwa wakfu na kutawazwa kwa Askofu wa Pili wa kanisa…

Read More

Bashe aonya janjajanja ununuzi wa korosho, mnada ukianza

Dar es Salaam. Wakati msimu wa korosho ukitarajiwa kuanza kesho, Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema hatasita kuwafutia leseni wafanyabiashara wakubwa na wadogo watakaoleta janjajanja katika ununuzi wa zao hilo kuu la kibiashara kwa mikoa ya kusini. Bashe ambaye yupo ziarani mkoani Mtwara ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Septemba 30, 2024 na kusema kuwa anatambua…

Read More

Henry Joseph hana presha Moro Kids

LICHA ya kuanza kwa kusuasua katika First League, nyota wa zamani wa Simba na Mtibwa Sugar, Henry Joseph Shindika amesema hana hofu yoyote kwani anajua mwisho wa msimu ataifikisha Moro Kids katika nchi ya ahadi. Henry anayeinoa Moro Kids ameanza bila ushindi katika mechi tatu za kundi A kwenye First League akiambulia sare dhidi ya…

Read More

Simbachawene: Madai ya Chadema hayatekelezeki

Dodoma. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikiendelea kutangaza ajenda yake ya ‘No Refomrs, No Election’, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema madai ya chama hicho  kutaka katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu, hayatekelezeki kwa kipindi kilichobaki kuelekea Oktoba mwaka…

Read More

DK.JAFO ASEMA SERIKALI IMEWEKA MAZINGIRA MAZURI YA KUFANYA BIASHARA,AAGIZA UJENZI VIWANDA 30

WAZIRI wa Viwanda na Biashara Dk.Selemani Jafo amesema Serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi ya kufanyia biashara kwa kufanya uwekezaji ikiwa ni pamoja na kuboresha miundombinu mbalimbali ya usafirishaji pamoja na sekta ya Kilimo. Dk.Jafo ameyasema hayo Septemba  10,2024 na Waziri wa Viwanda na Biashara, Seleman Jafo,wakati akifunga maonesho ya 19, ya Afrika Mashariki yanayofanyika uwanja…

Read More