Kilichojiri kesi ya wanaodaiwa kumuua mwanafamilia

 Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga Februari 26, 2025, kuwasomea hoja za awali (PH) Sophia Mwenda (64) na mwanaye, Alphonce Magombola(36) wanaokabiliwa na kesi ya mauaji. Mwenda ambaye ni mkazi wa Mbagala anadaiwa kushirikiana na mtoto wake huyo wa kiume, kumuua Beatrice Magombola, ambaye ni binti yake wa kumzaa mwenyewe. Uamuzi huo…

Read More

KONA YA MALOTO: Muda wa kuyatazama matukio haya ya utekaji kwa jicho la sayansi kali

Kabla ya Novemba 2016, Tanzania haikuwa na historia endelevu ya utekaji na upotevu wa raia. Yalikuwepo matukio machache, na matumaini ya wananchi yalikuwa kwa polisi. Ghafla, mwaka 2016 ukielekea ukingoni, hali ilibadilika. Tukio lilikuwa moja, yakafuata mengine. Miaka tisa baadaye, inakuwa mazoea, watu kupotea au kuuawa, kisha taifa linasahau. Ni miaka minane na miezi sita…

Read More

Geita Gold yampa mzuka Josiah

PAZIA la Ligi ya Championship msimu wa 2024/2025 linafunguliwa kesho huku wageni wa michuano hiyo, Geita Gold wakianzia nyumbani Nyankumbu dhidi ya TMA ya Arusha saa 8:00 mchana, huku Kocha Mkuu wa timu hiyo, Amani Josiah akitamba kuanza vizuri. Geita Gold inashiriki michuano hiyo baada ya kushuka daraja kutoka Ligi Kuu Bara msimu uliopita, ina…

Read More

Usiri watawala vikao vya CCM

Dar/ mikoani. Usiri umetawala wa kinachoendelea ndani ya vikao vya Kamati za Siasa za Chama cha Mapinduzi (CCM) katika ngazi ya mikoa vitakavyotoa mapendekezo ya kuwafyeka watiania 3,293 wa ubunge. Kwa mujibu wa taarifa ya karibuni ya Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla watiania wa nafasi ya ubunge katika majimbo 272…

Read More

Polisi sita mbaroni wakihusishwa na kutoweka kwa bodaboda

Dar/Mikoani. Mambo mapya yamejitokeza kuhusu tuhuma zinazowakabili baadhi ya askari polisi, wakiwemo wa Kitengo cha Intelijensia mkoani Kilimanjaro, wanaodaiwa kukamatwa kuhusiana na kutoweka kwa mshukiwa wa uhalifu ambaye mwili wake haujapatikana. Taarifa zinaeleza kuwa askari hao walikamatwa kufuatia uchunguzi ulioanzishwa baada ya kupotea kwa Deogratius Shirima (35), dereva maarufu wa bodaboda mjini Moshi, ambaye alitoweka…

Read More

Viboko Mto Mwiruzi wageuka tishio Biharamulo

 Biharamulo. Viboko waliopo Mto Mwiruzi wamegeuka tishio kwa wananchi kwa kuharibu mashamba ya mpunga mtama, mahindi na miwa zaidi ya ekari 2,000, huku wakihatarisha maisha ya wananchi. Wakizungumza na Mwananchi leo Septemba 3, 2024 baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Msekwa wilayani Biharamulo, Kasiri Mabula wamesema adha ya viboko imekuwa ikiwakumba kwa zaidi ya miaka…

Read More