RC Chongolo aiwakia halmashauri kwa kutowalipa wazabuni

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo ameiagiza halmashauri ya mji wa Tunduma kuwalipa wazabuni madai yao, yanayodaiwa kufika Sh1.8 bilioni tangu mwaka 2019, hali inayosababisha malalamiko mengi. Akizungumza katika kikao cha Kamati ya Ushauri ya Maendeleo ya Mkoa (RCC) kwa ajili ya kupitisha bajeti ya mwaka wa fedha 2025/26, Chongolo ameonyesha masikitiko yake…

Read More

Waajiri na viongozi ofisi za umma wapewa neno,matumizi ya Kiswahili Sanifu na Fasaha katika nyaraka mbalimbali

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Gerson Msigwa amewataka Waajiri na Viongozi katika ofisi za umma kuwapa fursa Waandishi Waendesha Ofisi (Masekretari) kuwasidia katika uandishi kwa kutumia Kiswahili sanifu na fasaha katika nyaraka mbalimbali badala ya Maboss hao kung’ang’ania kuandika wenyewe na mwisho kupelekea makosa mengi kwenye nyaraka. Msigwa amesema hayo Mkoani…

Read More

Marekani yashambulia ngome 15 za Wahouthi, Yemen – DW – 05.10.2024

Kulingana na televisheni ya wanamgambo wa Houthi Al Masirah, mashambulizi hayo yamelenga maeneo 4 tu. Marekani na Uingereza zimekuwa zikifanya mashambulizi yenye lengo la kuusitisha uwezo wa Wahouthi kuzishambulia meli, ila mashambulizi ya waasi hao kwa meli zinazopitia Bahari ya Shamu na Ghuba ya Aden, yameendelea. “Kamandi Kuu ya Marekani (CENTCOM) imefanya mashambulizi ikilenga ngome…

Read More

Kagera SUGAR kushusha mashine mpya 12

KIKOSI cha Kagera Sugar kitaanza maandalizi ya kujifua na msimu mpya Jumatatu Julai 8, mwaka huu mjini Bukoba huku kikitarajiwa kushusha mashine mpya 12 na kuweka kambi yake mkoani Shinyanga kusaka utulivu. Mastaa wa timu hiyo walipaswa kuwasili mjini Bukoba kuanzia juzi (Jumatano) na kambi kuanza Alhamisi lakini kutokana na changamoto mbalimbali maandalizi hayo yamesogezwa…

Read More

KOICA Yajenga Maabara ya Kisasa ya 3D ATC

Na Mwandishi Wetu, Arusha Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Korea (KOICA), kimezindua rasmi maabara ya kisasa ya 3D Design yenye lengo la kuwajengea wanafunzi wa Kitanzania ujuzi wa kisasa katika fani za uhandisi na ubunifu. Uzinduzi huo umefanyika Mei 23, mwaka huu, na umeashiria kukamilika kwa…

Read More

Simulizi ya baba wa bibi barusi alivyopata taarifa ya ajali Same akiwa kwenye sherehe

Moshi. Jaffary Michael ambaye ni baba wa bibi harusi aliyepoteza ndugu, jamaa na marafiki 30 katika ajali ya mabasi mawili yaliyogongana na kulipuka moto wilayani Same Mkoa wa Kilimanjaro, amesimulia jinsi alivyopokea taarifa ya ajali hiyo akiwa ukumbini wakati sherehe ya binti yake ikiendelea. Michael aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi mjini mwaka 2015-2020, ametoa simulizi…

Read More

MKUTANO WA SADC WAFANYWA KWA NJIA YA MTANDAO

:::::: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania . Dkt. Philip Mpango amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Dharura wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliyofanyika kwa njia…

Read More

SERIKALI YARIDHIA KUTOA HEKTA 2,871 KWA WANANCHI WA KISIWA CHA MAISOME – MWANAHARAKATI MZALENDO

Serikali ya Tanzania imekubali ombi la wananchi wa Kisiwa cha Maisome kwa kuwapatia hekta 2,871.782 za ardhi kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya kijamii. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dunstan Kitandula, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa eneo hilo, Mhe. Eric James Shigongo, aliyependa kujua ni lini serikali itatekeleza ahadi…

Read More

Twiga Stars mdomoni mwa vigogo Wafcon 2024

Dar es Salaam. Timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’ imeangukia katika kundi C la fainali za mataifa ya Afrika kwa wanawake (Wafcon) 2024 zitakazofanyika Morocco mwakani, ambalo linaundwa na timu tatu zenye uzoefu na historia nzuri na mashindano hayo. Timu hizo tatu pinzani za Twiga Stars kwenye fainali hizo za Wafcon ambazo…

Read More