MALIASILI SC YAIBURUZA TAMISEMI 2-1
……. Na Sixmund Begashe Timu ya Wanawake ya mchezo wa kuvuta kamba ya MNRT Sports Club ya Wizara ya Maliasili na Utalii, imeiburuza vikali 2-1 timu ya TAMISEMI wanawake katika mchezo wa marudiano uliofanyika leo Mkoani Singida kwenye mashindano ya Maadhimisho ya Siku ya wafanyakazi Duniani (MEI MOSI 2025). Wakizungumzia michezo hiyo inayoshika kasi Mjini…