Siku 170 za Mbowe nje ya siasa

Dar es Salaam. Zimetimia siku 170, tangu Freeman Mbowe alipowekwa kando kwenye uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya nafasi yake kuchukuliwa na Tundu Lissu huku maswali yakitawala likiwemo anakwenda wapi? Mbowe aliyeiongoza Chadema kwa miaka 21 kwa nafasi ya uenyekiti, uongozi wake ulitamatika asubuhi ya Januari 22, 2025 baada ya wajumbe…

Read More

Mama adaiwa kuwaua wanaye wawili mgogoro wa familia watajwa

Hai. Mary Mushi (26), mkazi wa Kijiji cha Mungushi, Hai mkoani Kilimanjaro, anadaiwa kuwaua wanawe wawili, mmoja wa miaka minne na mwingine wa miezi sita, kisha kujijeruhi, chanzo kikitajwa ni mgogoro wa kifamilia. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Abel Mtagwa amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, akisema limetokea leo Juni 20, 2025. “Ni kweli…

Read More

JIMBONI KWA CHONGOLO NI FULL VIBE WAKIMSURI MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA SULUHU HASSAN

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Makambako  YAANI ni full vibe… ni shangwe tu kwa wananchi wa Makambako!Ndivyo unavyoweza kueleza wakati mamia ya wananchi wakiwa wamejitokeza katika mkutano wa kampeni wa mgombea Urais wa CCM Dk.Samia Suluhu Hassan  Katika mkutano huo ambao unafanyika mapema asubuhi ya leo Septemba 6,2025 wakimsubiri mgombea Urais kupitia CCM Rais Dk.Samia Suluhu Hassan…

Read More

Wanahabari wamkalia kooni mtoto wa Mbowe

Dar es Salaam. Wanahabari 10 waliokuwa wakifanya kazi katika Gazeti la Tanzania Daima lililokuwa linamilikiwa na Kampuni ya Fee Media Ltd, wameanza mchakato wa kumfunga gerezani mkurugenzi wa gazeti hilo, Dudley Mbowe kwa kukiuka makubaliano ya malipo ya madai ya stahiki zao. Wanahabari hao, Maregesi Paul na wenzake tisa ambao walikuwa waandishi wa habari na…

Read More